tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Dah Africa bado sn wallahi, yani nmetoka kuoneshwa madude ya Chengdu alafu wewe unakuja kunionesha huu ushuzi wallahi ni sawa na umenipa nanasi nile alafu ukanipa maji ya kunywa![]()




Dah Africa bado sn wallahi, yani nmetoka kuoneshwa madude ya Chengdu alafu wewe unakuja kunionesha huu ushuzi wallahi ni sawa na umenipa nanasi nile alafu ukanipa maji ya kunywa![]()




Marekani inatumia mbinu ya kenya kujiinua mbele ya china baada ya kugundua inaelekea kuwa nothing kwa chinaIMF walisema by 2030 China inaweza kuwa Superpower, wewe unasema 2070, inawezekana wewe upo vizuri zaidi ya IMF, "who knows?
![]()
Kwa kweli mzee maana China ni balaa ila moyo uko USBaba China noma, ila cc wengine kwasababu tunaipenda US tangu tukiwa wadogo we tuache na US yetu![]()


Hata sisi watz kipindi cha magufuli mambo yalikuwa yanaji active kila kona ya nchi yetu hadi wazungu walianza kumtukuza magufuli japo kwa kujificha ila walikubali jamaa alikuwa ni genius wa maendeleoHawa jamaa wana laana sana wallahi, yn wanatupeleka mchaka mchaka kweli kweli, usije kuta cc tunapata nao tabu kupambana kumbe wenzetu walishaungana na![]()
Happy New year..., 2022 we change gear ya battle, ikue just comparison analysis na discussion ya everything development, agree and disagree, look at the advantages and disadvantages ya various development projects, tunajua mazuri na mapungufu ya kila nchi. This is gonna be my stance onwards.Wakuu kwa pamoja kabisa nawaombea kila la heri katika kusubiri mwaka mpya wa 2022, tumekuwa pamoja humu kwa muda mrefu japo tunakwaruzana lkn ukweli ni kwamba tumefunguana upeo kwa kiasi kikubwa sana
Ningependa kuwashukuru wote humu uwe Mtz, Mkenya, Mnyarwanda, Mganda, Mburundi n.k mapambano yaendelee mpk tuhakikishe EA ina lead Africa ktk suala zima la development, Mungu awabariki sana.
Cc Emc2 kadoda ichoboy01 Geza Ulole joto la jiwe Mkikuyu- Akili timamu Yule msee Mgagaa na Upwa
babayao255 NDINDA Sama boy 255
game over tuusan Simon Mkwanzania Nicxie NairobiWalker komora096 dyfre Lwiva Tony254 MK254 Don YF noma sana Amari ntazana ntazana Walker255 mwaswast Magix Enga Janerose mzalendo Lusematic Shebby01 Chamoto LightYagami Tz_one eliakeem chongchung Naton Jr Fundi kitasa Ntaghacha Gwakagwaka IamLee Teargas zuwena Undava King WAKUDAMSH nao Edward Wanjala Dotworld asvptx Smartkahn KENPAULITE Coco reborn xng hua nairobae Simba 254 nguvusimba NAWATAFUNA TEMLO DA VINCA dickchiller kikihboy muhogo_kiks Mashashola coodip1 manimac jiwe jeusi
List inaendelea.
Hiyo ni mazuzu wafanyakazi wa serikali awajui kuwa mfumuko wa bei ndiyo kitu muhimu kukidhibiti kuliko kuongeza mishahara ,magu alifanya elimu bure maana yake nikama kupandisha mishahara kwa watz wote mil60Kwa mfumuko wa bei iliopo ni hatari, ukidhibiti mfumuko wa bei unasaidia maisha ya watanzania wote, kupandisha mishahara inagusa watanzania wachache sana wanaofanya kazi serikalini. Na kumbuka mishahara ikipanda ya hao wachache na bei za vitu huwa zinapanda.
Gharama za lot 3 ya sgr ni matokeo ya mfumuko wa bei.
Naomba kuwasilisha
Northern Kenya has quality roads compared to Dar.
Very true.., but I will still be proud of Kenya and Africa, tumetoka mbali, we are going somewhere.., ni mda tu dunia itatutambua.., imeandikwa kwa kitabu takatifu; "wakwanza watakua wa mwisho, na wa mwisho watakua wakwanza.." ofcourse I have eisegetically quoted the scriptures, but naamini Africa will rise to the top one day, ata kama sio kwa hii generation yetu.,, ✊✊💪Dah Africa bado sn wallahi, yani nmetoka kuoneshwa madude ya Chengdu alafu wewe unakuja kunionesha huu ushuzi wallahi ni sawa na umenipa nanasi nile alafu ukanipa maji ya kunywa![]()
Marekani hakuna kitu,... wamezubaa kama waingereza wa kizazi hiki uingereza ilikuwa nchi kubwa sana duniani yenyeushawishi zamani sasa hivi ni gofu,kinacho ifanya marekani kuwa juu ya china kiuchumi ni kukubalika kwa US dola kuwa ndiyo pesa kuu ya kibiashara duniani pote hivyo marekani hata hakichapa pesa nyingi kiasi gani inamnufaisha yeye badara ya kuporombosha uchumi wakeSi ndiyo hata mm nmeshangaa sn, kumbe huwa tunapigwa sana na vitu vizito plus picha za upande upande![]()
Hivi wewe kichwa chako ni timamu kweli ? Ukweli ni kwamba amjawai kuongezewa mishahara ila uzuzu wenu ndiyo unao wafanya mjidanganye mmeongezewa mishaharaMfumuko wa bei unahusiana nn na kupandisha mishahara wewe?bei za bidhaa zinapanda kwa factors zingine kabisa wacha kua kama hukuenda shule...btw watumishi wa serikali kuongezewa mishahara iko kisheria wala sio utashi wa raisi...sijui unawaza nn hata ivyo
in the US, they have what is referred to as 'Projects',. in SouthAfrica, they have 'Townships',. in Jomieca they have 'Ghettos',. in Kenya we have what we refer to as 'Slums',.. this is normal in any major urban setting. a major city is never complete without this..Jamani kama ninyi hamjawaelewa shauri yenu, mimi tayari nimemuelewa sababu kinyume cha hayo yote tuliopost kuhusu North Korea ambayo amesema sio maendeleo ni hivi vitu
Kwa hiyo tukubaliane kuanzia leo haya nayo yajumuishwe kwenye indicators za maendeleo na tuachane na decent housings, skyscrapers, barabara nzuri, umeme, surveyed areas, maji ya uhakika, subways za trains, technologies and everything,
Turudi huku kwenye maendeleo maalum! 🚮🚮🚮🚮🚮
View attachment 2064657View attachment 2064658View attachment 2064659View attachment 2064660View attachment 2064661
Don't talk until it happens. As it stands, trade favors us.Ndio imetoka hiyo babu 😂😂😂 ikirudi Ina pancha/ndio ntolee .. kama miezi sita tumewakimbiza unafkiri report ya mwaka mzima ndio mtawezana.? Juzi mama kasema tume export kenya mara tatu zaidi ya tulivyofanya mwaka jana, kwahyo tegemea namba za tz kuongezeka zaidi report ya mwaka mzima 2021 ikitoka
Unazungumza kama layman hv happy new yearHivi wewe kichwa chako ni timamu kweli ? Ukweli ni kwamba amjawai kuongezewa mishahara ila uzuzu wenu ndiyo unao wafanya mjidanganye mmeongezewa mishahara
Wafanyakazi wa serikali ambao huwa wanaongezewa mishahara kweli ni kikundi cha watu wasiozidi 2400 tu wengine wote mnashangilia uzuzu tuUnazungumza kama layman hv happy new year
Ahsante Sana mkuu, Tuendelee kuipenda Tanzania siku zote 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Wakuu kwa pamoja kabisa nawaombea kila la heri katika kusubiri mwaka mpya wa 2022, tumekuwa pamoja humu kwa muda mrefu japo tunakwaruzana lkn ukweli ni kwamba tumefunguana upeo kwa kiasi kikubwa sana
Ningependa kuwashukuru wote humu uwe Mtz, Mkenya, Mnyarwanda, Mganda, Mburundi n.k mapambano yaendelee mpk tuhakikishe EA ina lead Africa ktk suala zima la development, Mungu awabariki sana.
Cc Emc2 kadoda ichoboy01 Geza Ulole joto la jiwe Mkikuyu- Akili timamu Yule msee Mgagaa na Upwa
babayao255 NDINDA Sama boy 255
game over tuusan Simon Mkwanzania Nicxie NairobiWalker komora096 dyfre Lwiva Tony254 MK254 Don YF noma sana Amari ntazana ntazana Walker255 mwaswast Magix Enga Janerose mzalendo Lusematic Shebby01 Chamoto LightYagami Tz_one eliakeem chongchung Naton Jr Fundi kitasa Ntaghacha Gwakagwaka IamLee Teargas zuwena Undava King WAKUDAMSH nao Edward Wanjala Dotworld asvptx Smartkahn KENPAULITE Coco reborn xng hua nairobae Simba 254 nguvusimba NAWATAFUNA TEMLO DA VINCA dickchiller kikihboy muhogo_kiks Mashashola coodip1 manimac jiwe jeusi
List inaendelea.
Wow nice one. I am so happy to hear this. Two quarters when we are growing at 10%. joto la jiwe Sama boy 255 ichoboy01 tuusan uchumi wetu mwaka wa 2021 unapiga kila nchi Afrika nzima.Morocco here we come......Watch this pace....
View attachment 2065040
Chengdu kumbe ni nyoko hivi? Huenda Sama boy 255 yupo sahihi kwenye suala hili.
Yani US imekua ni kituko cha dunia, mipango ya kujenga California high speed railway with 1287 km, mipango ya tangu mwaka 1996-2008 walipoanza ujenzi na yet hadi leo mchongo bado upo U/C eti ndio ishindane na china 😂😂😂 👇. Naomba kuuliza wajameni hizo utajiri mnataja kumilikiwa na US, hizo pesa Huwa wanazitumia kufanyia nini.? 😂😂😂.. eti bros Tony254 The best 007 ichoboy01