Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, japo sina Elimu kubwa kukuzidi lakini sidhani Kama upo sahihi, wafanyakazi serikalini hawazidi laki Moja Tanzania, hata wakiongezewa kila mmoja Tshs 300000 kwa mwezi, hiyo inakua ni 3B kwa mwezi, kweli unataka kusema TSH 3B kwa mwezi ikiingizwa katika mzunguko wa uchumi wa Tanzania kwa mwezi inaweza kutumbisha uchumi wa Tanzania kiasi cha kusababishwa mfumuko wa Bei?,

Kwa siku Moja tu wachimbaji wadogo wadogo hapa Tanzania wanaingiza zaidi ya Tsh20B kila siku na bado hawasababishi mfumuko wa Bei, wewe unazungumzia 3B kwa mwezi.

Sababu kubwa ya mfumuko wa Bei ni upungufu wa bidhaa hasa chakula usioendana na mahitaji ya wananchi, ndio sababu mfumuko wa Bei hupungua kipindi cha mavuno na kupanda kipindi cha kilimo. Jaribu kufuatilia kwa makini mienendo ya mfumuko wa Bei hapa Africa
Huyo kakariri neno inflation hata haelewi upana wake kwenye uchumi.

Anakomaa tuu wasiongeze salary sijui uta create vipi consumption demand na liquidity..

Akirejea theory ya poverty circle anaweza elewa kidogo.

Usikute Hawa ndio walikuwa washauri wa uchumi wa Mwendazake 😆😆..

Kila kitu ni contractionary sijui economy ita expand vipi .
 
Nakubaliana na ww kwa asilimia 100,alinishangaza jamaa mmoja ambae alisema kuongeza mishahara ni changa la macho kwani vitu vinapanda bei...anasahau vitu haviwezi kuacha kupanda bei kwani wanunuaji sio kundi fulani la watu bali wananchi wote....mishahara lazima ipande kurudisha pesa mtaani...tatizo hapa kuna watu hawataki kutumia akili zao wanapenda kulishwa propaganda na wanaziamini
On top of that ,Duniani kote vitu vimepanda bei na inflation iko juu sababu kubwa wanasema covid ilisababisha kushuka kwa uzalishaji na Ili disrupt global supply chain.

Baada ya chanjo ,Dunia ikafingua uchumi demand ikawa kubwa kuliko uzalishaji na uchache wa makontena uliikumba China.

Hata projection za mwaka huu ,global economy itazidi ku expand lakini tatizo la inflation litaendelea kuwepo hasa kutokana na Mr omicron kwamba atavuruga tena global supply.
 
Magogo hayajaanza leo kusafirishwa,wakati mnakata miti mil.3 kule kwenye Bwawa hamkujua mnharibu ikolojia?

Au mlijua mnawakomoa chadema na mabeberu
Tanzania kuna maeneo mengi yanaitaji miti kwanini mama sa100 asiende na kasi ya magufuli kupanda miti milioni 20 kila mwaka kuanzia 2021 maana ulikuwa ni mkakati wa magufuli kuwa kuanzia 2021 kila mwaka ni kupanda miti mil20 ,sasa wajinga wanadhungumzia miti milioni tatu kukatwa wakati vision ya jpm ilikuwa kupanda miti 20 milioni per yr
 
Kenya mlikusanya pesa ngap dec?
Results za Kenya zinatoka quaterly and not monthly. Zenye ziko available ni from January to September where September alone KRA collected $1.84B.
 
Tanzania kuna maeneo mengi yanaitaji miti kwanini mama sa100 asiende na kasi ya magufuli kupanda miti milioni 20 kila mwaka kuanzia 2021 maana ulikuwa ni mkakati wa magufuli kuwa kuanzia 2021 kila mwaka ni kupanda miti mil20 ,sasa wajinga wanadhungumzia miti milioni tatu kukatwa wakati vision ya jpm ilikuwa kupanda miti 20 milioni per yr
Consult VP na Jafo ndio Kazi yao,mama alishatoa maelekezo,Nchi haiwezi tegemea mtu mmja ndio maana ilikwama.

Unaweza nionuesha hiyo miti mil.20? Juzi nilikuwa mtumba Mji wa serikali kukame hadi unashangaa.
 
Huyo kakariri neno inflation hata haelewi upana wake kwenye uchumi.

Anakomaa tuu wasiongeze salary sijui uta create vipi consumption demand na liquidity..

Akirejea theory ya poverty circle anaweza elewa kidogo.

Usikute Hawa ndio walikuwa washauri wa uchumi wa Mwendazake ..

Kila kitu ni contractionary sijui economy ita expand vipi .
Mimi uniwezi kwenye uchumi asilimia 80 ya mifumuko ya bei africa ni matokeo ya viongozi wahuni isipokuwa 20% tu ndiyo matatizo ya dunia
 
Consult VP na Jafo ndio Kazi yao,mama alishatoa maelekezo,Nchi haiwezi tegemea mtu mmja ndio maana ilikwama.

Unaweza nionuesha hiyo miti mil.20? Juzi nilikuwa mtumba Mji wa serikali kukame hadi unashangaa.
Sasa ulikuwa unalia nini kuhusu kukata miti mil 3 wakati umejua vision ya mama na serikali yake chovu ndiyo inashindwa kufanya mambo mbona wakati wa jpm mawaziri walikuwa wanakimbizana kufanya kazi sasa kwanini wakati wa mama tusiseme maana yeye ndiye mkuu wao akiona awaendani na kasi ni kupiga chini "tumbua"
Kama raisi umetoa maelekezo na uliowapa awafanyi kazi what next???? Tumbua tu hivyo ndivyo jpm alivyo fanikiwa kufanya kazi nyingi kwa pamoja ,lakini mama yenu ana baki kudemka tu eti naye analialia kuwa watu awafanyi kazi atakavyo pumbaaaafuu puss wa hedi
 
Consult VP na Jafo ndio Kazi yao,mama alishatoa maelekezo,Nchi haiwezi tegemea mtu mmja ndio maana ilikwama.

Unaweza nionuesha hiyo miti mil.20? Juzi nilikuwa mtumba Mji wa serikali kukame hadi unashangaa.
Mkakati ulikuwa unapangwa kuanza 2021 kwa kutumia nguvu kazi mbali mbali wakiwemo wafungwa na kuzalisha miche mashuleni,nagerezani ,kishakutumianguvukazi zote ,sema baada ya kifo cha magu mambo yote yameachwa
 

jesus christ of nasareth, how will i explain this to you. this numbers, were only due to covid19 mayhem.. wait for this year,.. for heaven sake kenya is still a force to reckon with, in the entire eastern and central africa region.. mark my words
 
Kilimani

1641128501353.png


1641128588265.png



1641128675257.png
 
Wakulungwa mmeongea sana kuhusu Uchumi wa Nchi na Majiji ila kwa analysis mnapita mle mle ingawa kila mtu anaelezea kwa upande wake kwa jinsi alivyo deep . Lakini ukichukulia kwa mapana wote mpo sahihi lakini kuna ule wivu wa kupendelea eneo lako unaonekana live bila chenga. Ila kwa ujumla mnaongelea pale pale ni Kama Chakula chenye ingredients/ Condiments nyingi na kila ingredient inataka kusema ule utamu na ubora wa chakula unatokana na yeye peke yake na ku ignore juhudi za wengine.

IMO.
 
Ni muhimu pia ukielewa context.
249M - 76.4% of Tanzania's total imports within the EAC is from Kenya.
230M - 28.4% of Kenya's total imports within the EAC is from Tanzania.
GDP ya makaratasi ni noma. 😂😂😂

Tanzania exports to Kenya more than it imports (current data)

Tanzania do more export to SADC than EAC though Tanzania is still the largest exporter of intra regional markets in EA.
 
North korea is a very poor country. infact in this image below, you can clearly see the boundaries between N/S Korea, and China&Nkorea, by lights alone! Pyongyang only looking like a little star. UN classify N korea as a highly impoverished country
Screenshot_20220102-161946_Earth.jpg
 
Tanzania exports to Kenya more than it imports (current data)

Tanzania do more export to SADC than EAC though Tanzania is still the largest exporter of intra regional markets in EA.

Good evening.

 
Chicago is the 8th most powerful and influential city in the world even ahead of shanghai....
chengdu iko wapi watanganyika wehu
Screenshot_20220102-163249_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom