tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Iyo picha majengo yenu yako kawaida sanaThese beautiful babies are going to kiss Nairobi skyline soon with pride. Eight towers 34 floors each! View attachment 2026031View attachment 2026033
Iyo picha majengo yenu yako kawaida sanaThese beautiful babies are going to kiss Nairobi skyline soon with pride. Eight towers 34 floors each! View attachment 2026031View attachment 2026033
Kwenye picha tu mbn hatuwawezi, Mana nyie wazee wa lipstick, yn hapo mmeitengeneza alafu mnaongopea wazungu kwamba mko vzr East and Central Africa alafu wazungu wanaingia mkenge, njoo ground ss, shuzi la mbuzi![]()

So u try to compare Tz ya 2012 na Tz ya 2021 are you mad? Tz ya 2012 ilikuwa na BRT, ilikuwa na real estate yenye thamani kubwa kuliko ya Nairobi, ilikuwa na electrical SGR, ilikuwa na bwawa kubwa la umeme, ilikuwa na flyovers za kisasa, ilikuwa na interchanges, ilikuwa na modern Airpots, ilikuwa na cable stayed bridges, ilikuwa na modern bus terminals, ilikuwa na modern Planes, ilikuwa na concrete jungle kuliko nchi yoyote East and Central Africa, ilikuwa na electricity connectivity kuliko nchi yoyote EA? Kuwa na akili hayo mambo walizungumza enzi hizo wkt tukiwa hovyo zaidi na c ss.Swala la urban planning limezungumziwa hapa na watanzania wengi sana. Walker255 si wa Kwanza and he'll certainly won't be the last View attachment 2025951View attachment 2025952View attachment 2025953View attachment 2025954View attachment 2025956View attachment 2025958
Fala wewe huwa una support wakiiponda Tz na c Kenya, mbwa wewe haya ni support na mm basi ninayesema serikali ya Kenya imejaa weziJust because we differed doesn't mean I can't support him in anything he says here. Na hata ukiangalia conversations yangu na yeye there are a number of times where we used to strike a common ground. I like open-minded people. People who take a minute to reason. Sio vilaza kama wewe na wenzako who can't think beyond their noses. Nimesupport mawazo ya Watanzania wengi sana hapa. The likes of Tuusan, Choice Variable na hata Geza Ulole. They are a few Tanzanians in here who have a voice of reason, sio Kama wewe na kundi lako la blind patriots






Ilo gate vp kiongoziWestlands
![]()
Mazee..hawa jamaa wanatia huruma aisee..sijui kwnn hawa majamaa wanakua hivi kiakili
Kasi Yao hata Kobe ana speed . Labda kinyonga Kwa kweli . Yaani hao wakandarasi na wachina wanaojenga mwendokasi ya mbagala wanafanana speed zao . Sasa na mvua zimeanza sipati picha kule maeneo ya magomeni mikumi wamechimba chimba wanaweza rudia kazi udongo plus matope itakua issue. Strabag walikua well equipped na Kasi Yao ilkua nzuriIngawa wanaijenga polepole kinoma..ila itaisha..
These beautiful babies are going to kiss Nairobi skyline soon with pride. Eight towers 34 floors each! View attachment 2026031View attachment 2026033
Mombasa hyo
Itokee Tz Jangwani..ambapo inaeleweka kuna Mto una cross under the bridge uone Wakenya watavyokandia na Picha za 2012 tenanairobi expressnyie
Kw upana huo hatari sana, no uswazi
Phase 3 sijui ataipata nani..naona tender haimaliziwi kutangazwaKasi Yao hata Kobe ana speed . Labda kinyonga Kwa kweli . Yaani hao wakandarasi na wachina wanaojenga mwendokasi ya mbagala wanafanana speed zao . Sasa na mvua zimeanza sipati picha kule maeneo ya magomeni mikumi wamechimba chimba wanaweza rudia kazi udongo plus matope itakua issue. Strabag walikua well equipped na Kasi Yao ilkua nzuri
Mwambie Tony254 aweke yale aliyosema hatuyajui Kwanza halafu na watanzania ndio waache uzalendo. Maana kasema Nairobi kuna mambo yakiwekwa hapa itakua hatariNi watanzania wachache sana wanaweza ongea huu ukweli umesema hapa. Yani watanzania wengi humu ndani wameshindwa kuacha ushabiki na kuongea ukweli panapohitajika. The few who have tried doing that huwa wanarushiwa maneno makali sana na kuitwa wakenya. Blind patriotism tunafaa kuwachana nayo
Mzee wa slum battle


Its good to see your real estate sector rising fast..lakini nikuulize swali..What is the view of it...Je mna demand kubwa..ya kujaza haya majengo...isije ikatokea kama mambo ya evergrande..These beautiful babies are going to kiss Nairobi skyline soon with pride. Eight towers 34 floors each! View attachment 2026031View attachment 2026033
Old town still rocks

Huyu mama ana makende na ujuzi kuliko jpm kwa mbali sana.Huyu mama has balls to do what men failed to do sadly