Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobery. Highrises coming up in every direction you look
632f237fce94d9e86e7b0e5bfd7a6a55.jpg
images(46).jpg
images(48).jpg
 
So 5 years is a lot of time? Fanya hivi, tupatie the current picture of the same place (same angle and same everything) tuone kilichobadilika hapo. Picha ya 2021
2016 to saiv hujui Sehem inaweza Ikabadilika? Tupe picha ya express au Westland muda huo tuone🙂
 
Ni kweli sehemu nyingi karibu zote Dar zina masterplan tatizo ni ubishi wa watu kujenga Kwenye road reserve na wapimaji wachache wa viwanja na maafisa ardhi wanaopenda ela .
Watu wakija kubomolewa wanalia
Kuna vitu vinakera kusema ukweli sijui watendaji ni wachache sijui equipments hazitoshi,ujinga mtupu kama tunaona mambo yametuzidia tutangaze kama international Tender usiende mbali kwa East Africa tu uone kama nchi nzima haijapimwa ndani ya mwaka tu au miwili, deploy makampuni mengi kwa segment tu kwa kuangalia umuhimu!!!!Simamia sera na sheria!!!Mbona kwingine tunaweza?!
 
2016 to saiv hujui Sehem inaweza Ikabadilika? Tupe picha ya express au Westland muda huo tuone🙂
Ndio maana nikasema utupe the current picture ya same angle we compare notes na hiyo ya 2016. Mbona jambo rahisi tu?
 
Ndio maana nikasema utupe the current picture ya same angle we compare notes na hiyo ya 2016. Mbona jambo rahisi tu?
We nimekupa mfano simple 2006 ya Westlands na saiv? Nyie siuga mnajiona bora kuliko Tanzania? alafu si mnaijua Tanzania? Kuliko wazawa? Naomba utusaidie🙂
 
We nimekupa mfano simple 2006 ya Westlands na saiv? Nyie siuga mnajiona bora kuliko Tanzania? alafu si mnaijua Tanzania? Kuliko wazawa? Naomba utusaidie🙂
Kama huna jibu nyamaza bongolala
 
Kuna vitu vinakera kusema ukweli sijui watendaji ni wachache sijui equipments hazitoshi,ujinga mtupu kama tunaona mambo yametuzidia tutangaze kama international Tender usiende mbali kwa East Africa tu uone kama nchi nzima haijapimwa ndani ya mwaka tu au miwili, deploy makampuni mengi kwa segment tu kwa kuangalia umuhimu!!!!Simamia sera na sheria!!!Mbona kwingine tunaweza?!
Shida wanaosimamia sekta hii ndio hao hao wenye miradi ya viwanja vilivyopimwa!!!!Ekari na ekari. Ukipima maeneo yote bei za viwanja vyao zitashuka hawatafanya biashara tena,wako pale kwa ajili ya kukwamisha ili maisha kwao yaendelee!!!Nina mifano hai kabisa ndo maana mimi siwapendi sana madiwani!!!! siwapendi kabisa!!!!Hawa ni kati ya watu wanaoleta usumbufu sana na kukwamisha vitu vingi sana kwa maslahi yao!!! Na viongozi wa juu wanachekacheka nao tu coz wana nguvu sana unapokuja kwenye swala la mtaji wa kisiasa!!!! Kwa bahati mbaya hata Hayati Mzee wetu hajawahi kuwagusa watu hawa ila ni kati ya watu hovyo kweli kweli kwenye nchi hii!!
 
Back
Top Bottom