Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Nyinyi ndo mnaharibu Tanzania na nyumba zakufinyana zenye mabati yakuungua.Tatizo liko wapi hapo?
Nyinyi ndo mnaharibu Tanzania na nyumba zakufinyana zenye mabati yakuungua.Tatizo liko wapi hapo?
Kweli Dodoma waga inanichoma moyo nikiskia ni capital city 💩💩 kmmke Isiolo inaafadhali.🤣🤣Wakenya Dodoma inawauma Sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ichoboy01 soma na ulie chooni,Kwa Mwanza hutanidanganya chochote. Wala usijaribu. Unataka kuniambia kuwa hayo makazi niliyopost Kwa sasa hayapo? Tena Kwa aibu kubwa, ukiingia mjini kutoka south, kitu cha kwanza kuona ni hayo makazi. CBD ya Mwanza yenyewe haina nafuu. Ni maeneo tajiri tu kama Capripoint ndio utaona ahueni.
Oya Tony254 njoo uone Kariakoo nnayoijua mimi ilivyo kali, sijui mtaleta uchafu gani huko kwenu kulinganisha na Kk au Coco reborn unasemaje 😂😂 umieni kwa pamoja 👇.
Hujajibu swali, tatizo liko wapi kwenye mpangilipo wa hizo nyumba?Nyinyi ndo mnaharibu Tanzania na nyumba zakufinyana zenye mabati yakuungua.
Mbona unaandika kwa uchungu na nguvu nyingi🤣🤣Classic beib, itawachukua Wakenya miaka 500 kumiliki road isiyo na vumbi km hii.View attachment 2025569View attachment 2025570View attachment 2025571
Utaua mzeeSiku Kenya land mkiwa na picha kama hii plz tag me.
View attachment 2025541
If you don't Gerrit fogerritHujajibu swali, tatizo liko wapi kwenye mpangilipo wa hizo nyumba?
Hii itasaidia vipi tatizo la uswazi dar💩💩Siku Kenya land mkiwa na picha kama hii plz tag me.
View attachment 2025541
Vumbi cku hz ni tarmac roadTarmacking of Tatu City residential roads.
![]()
















