shida yako ww kubwa unalazmisha tufanane haiwezekani tukafanqna budaa slum huku hakuna na sio kwamba mzungu hakuona kwenye sattelite aliona vzr sana na ndio maana akaona za nairobi 🤣🤣🤣🤣Bongolala, we are talking about URBAN PLANNING sio slums. Why are you always on the defensive everytime the word 'urban planning' is mentioned and link it with slums? What's the relationship between urban planning and slums you know that we don't know?
mchina kuchukua port of mombasa ni kurudisha pesa yake na riba juu hio ndio aim kubwa 🤣🤣🤣 sasa fikiria nchi kama kenya yenye debt to GDP ratio of about 86% itakua kwenye hali gani???Ndio maana Uganda iko hapa na kuahidi kutumia bandari zetu zaidi.
Wasi Wasi wangu ni kwamba, China iki take over KPA itataka kuwa hub ya Afrika. Ukizingatia mizigo mingi inatoka Asia na pia wana vessels na shipping line kubwa sana. Hivyo threat kwao Kwa Sasa ni Tanzania.
Wakubwa zetu na wenye maamuzi wawe makini sana maana mchina lazima atutupie ndoano kali sana ya kutuvuta. Huu ndio muda ya kuchanga karata na kupiga hesabu zetu vizuri.
Utaumiza kichwa mkuu, wakenya ndo walivyo longo longo,tangu juzi picha za 2001 mpaka 2007 kuna mmoja alipost picha ya 2005 juzi yani full kicheko🤣🤣🤣Kwani we jamaa ukitumia picha ambazo ni current Ili kutoa povu lako, utakufa.? Mbona muoga muoga mpaka uokote picha za zamani uko Google ndio uje kujifurahisha, mbona sisi huwa tunapost maisha yenu mnayoishi leo na tunawabeza tu, kwanini usiwe fair kijana .? Au unaogopa kuzidiwa.?
Effect yake itashuka hadi huku Bongo mkuu. Ikutokea mchina ka take over lazima mambo yaharibike hadi kwetu upande wa bandari maana mchina ataitumia Mombasa to the maximum. Ikishakuwa chini yake lazima aiboreshe na atavutia vessels nyingi na liners kwake.mchina kuchukua port of mombasa ni kurudisha pesa yake na riba juu hio ndio aim kubwasasa fikiria nchi kama kenya yenye debt to GDP ratio of about 86% itakua kwenye hali gani???
Yaaan huoni aibu ku post picha za zamani? Unashangaza Sana 🙄Pwapwapwapwapwa👇👇👇👇💩💩💩💩View attachment 2025645
Hawa jamaa wa BRT ni wavivu kweli wa kutoa updates zao!!!!Huu ni mradi wa wananchi hatujui hata umefikia asilimia ngapi?!.Hawajifunzi kwa wenzao?!BRT Mbagala almost done, ipo kwenye final touch tu, sijapata nafasi ya kupiga picha vzr.View attachment 2025376View attachment 2025377View attachment 2025378
Dunia nzima inajua mkenya ana kichwa kigumu,anapenda sifa za kijinga,ana tamaa na roho ngumu🙂Waliyo na roho mbaya wanajulikana dunia nzima. Dunia haijasahau jinsi mlivyochoma vifaranga wasio na hatia
Mkunya hapendi kushindwa😃Walivyo wabishi watapinga tuu hata kama ni fact jamaa wana roho ngumu sana hawa.
Wakunya bwana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwahyo hizo picha alizopost ni za one year ago we fala 😂😂😂 hizo ni picha za zaidi ya miaka kumi iliyopita
Tonney254 ni mtanzania?Nitajie mfano wa wakenya wenye uhuru wa kutoa mawazo Yao namna hiyo kwenye huu uzi. Au blind patriotism inasomeka Kwa wa TZ pekee?
All of which you can't proveDunia nzima inajua mkenya ana kichwa kigumu,anapenda sifa za kijinga,ana tamaa na roho ngumu🙂
2016 Ni zamani?Yaaan huoni aibu ku post picha za zamani? Unashangaza Sana 🙄
2016 mpaka saiv miaka mingap? Mbona sisi tunawapa vitu current?2016 Ni zamani?
Kwenye picha tu mbn hatuwawezi, Mana nyie wazee wa lipstick, yn hapo mmeitengeneza alafu mnaongopea wazungu kwamba mko vzr East and Central Africa alafu wazungu wanaingia mkenge, njoo ground ss, shuzi la mbuzi![]()
mwakani pataeleweka tu 🤣🤣🤣
So 5 years is a lot of time? Fanya hivi, tupatie the current picture of the same place (same angle and same everything) tuone kilichobadilika hapo. Picha ya 20212016 mpaka saiv miaka mingap? Mbona sisi tunawapa vitu current?