Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Its good to see your real estate sector rising fast..lakini nikuulize swali..What is the view of it...Je mna demand kubwa..ya kujaza haya majengo...isije ikatokea kama mambo ya evergrande..
Zote zilizojengwa zina wateja. Demand iko. Though one thing we need to look at is housing for the extremely poor. Real Estate focuses too much on the middle class and rich.
 
Photoshop hiyo Boss ( Baada ya ka research Kadogo)

Hapo kuna picha mbili tofauti, zikiwa zimepigwa na camera inaweza kuwa moja ila lens tofauti.

Lens iliyotumika kupiga mwezi ni Zoom lens na iliyotumika kupiga hiyo long exposure kupata hizi light trails ni Wide angle.

So technically huwezi zoom hadi kwenye Mwezi na bado ukapata hilo li angle lote kutokana na focal length.

Pia kama angepiga mwezi na hizo light trails kwa pamoja na mwezi pia ungeweka trail kwa kuwa na wenyewe unamove taratibu, Ungeweka mstari wa mwanga pia .

So hapo Jamaa ka merge picha mbili na kupata moja.
Alafu wanawatumia wazungu wakisema Nairobi is the most developed city in EA
 
500km from Nairobi
FB_IMG_16380116973971418.jpg
 
Utaumiza kichwa mkuu, wakenya ndo walivyo longo longo,tangu juzi picha za 2001 mpaka 2007 kuna mmoja alipost picha ya 2005 juzi yani full kicheko
Aafu kasema kuna MTU Yupo Dar angemuomba amtumie picha current ingekua poa
Alisema atamtuma mtu aje Dar kupiga picha
 
Back
Top Bottom