Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Southern Bypass

258872491_1041339879988276_9130100892004822100_n.jpg
Kwenye picha tu mbn hatuwawezi, Mana nyie wazee wa lipstick, yn hapo mmeitengeneza alafu mnaongopea wazungu kwamba mko vzr East and Central Africa alafu wazungu wanaingia mkenge, njoo ground ss, shuzi la mbuzi
 
Sikufahamu kuwa ili manispaa iwe jiji inatakiwa eneo lake liwe kubwa. Lakini kama Magufuli alitumia mamlaka yake kuifanya Dodoma kuwa jiji, Kwa nini wasifanye hivyo na Moshi?
Inaelekea serikali inataka kubana gharama maana kuwa jiji ni lazima liendane na ongezeko la human resource. Hata Kahama yenyewe bado inabaniwa sababu za kisiasa tuu maana kahama ina hadhi ya jiji lakini wanaona ita outshadow Shinyanga mjini ambayo ni administrative center ya mkoa.
 
Kama mnalipa kodi na makato ya kila aina kwanini msilalamike Kwa serikali mnapoona kasoro? Mimi nafika wakati nashindwa kuwaelewa watanzania. Kwa nini mnatetea hali hii? Kwasababu ya ushabiki wa CCM? Kodi zenu zinaliwa na viongozi ambao hawafanyi kazi yao na nyie mnaendelea Kuwa mashabiki? This makes no sense to me. Somebody please make me understand!
Hii unaiona leo
 
Hata kama ungekuwa unajua hadi chini ya ziwa Victoria kukoje, hutaweza kukataa the fact kuwa Mwanza haina mpangilio. Watu wanajenga kila mahali na sasa everything is just a mess. Siku nitaenda Mwanza nipige picha mwenyewe.
Huyo ndugu yako anapenda ubishi sana. He's ''always right''
 
Back
Top Bottom