RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,884
- 129,915
Duh mimi na maji tofauti...nitakula kwa macho tuLeo siku nzuri ya kwenda Mbudya Island in Dar es slaaam.
View attachment 1951981
View attachment 1951982
View attachment 1951983
Duh mimi na maji tofauti...nitakula kwa macho tuLeo siku nzuri ya kwenda Mbudya Island in Dar es slaaam.
View attachment 1951981
View attachment 1951982
View attachment 1951983
ndo upumbavu wa watu wa Chatogang na Sukumagang! Kule ukiwa mawanamke mzee unauwawa kwa kashfa za uchawi! Yaani kabisa mwanamke aliyejikomboa kifikra na elimu yake mwenye hata uwezo wa kuongea lugha ya kigeni unadiriki kumsema hafikii PHD iliyoshindwa kuongea lugha aliyosomea! Nilishawaona upuuzi wao ndo maana nikaukataa!I'M sorry to say umeandika paragraph nyingi sana lakini ulichoandika haki reflect kama aliyeandika ni msomi au mtu anayefuatilia mifumo ya serikali kiutendaji.Umeanza kwa kulinganisha magufuli na samia kiakili na kiutendaji unasema samia hamfikii Magufuli kwa kila kitu,Msomi hawezi kuja na mawazo ya mtindo huo hasa unapocompare leadership.Leadership sio akili kichwani au utendaji mzuri is all about vision,chosing the best style kulingana na wakati husika.Style ya samia kiuongozi na JPM kwa vyovyote hawawezi fanana sana japo kuna vitu vitafanana.Style ya uongozi huja na mtazamo wa mkiongozi kwa anaowaongoza pia.Hivyo unapaswa kuchambua style zao za uongozi na kusema ipi inafaa kwa TANZANIA.Hoja yako ya kusema kama sio Magufuli barabara sisingejengwa kwa wingi wakati wa JK ni hoja MFU kabisa, unasahau kua serikalini kuna vipaumbele vinavyoenda kulingana na wakati kama kikwete asingependa barabara angelazimisha fedha zingeenda kwenye vitu vingine na usisahau kua fedha za kujenga hazitafutwi na waziri wa ujenzi ni Ofisi ya RAIS pamaoja na wizara ya fedha japo kuna maduhuli pia.Nikumbushe tu kabla ya JPM kuingia madarakani alizikuta shule,Vyuo vikuu,viwanda kadhaa binafsi,Bandari,Majengo mengi ya serikali na vingine vingi vilivyokua nje ya wizara ya ujenzi na uchukuzi nchi sio uchumi wa nchi wa ujenzi na uchukuzi pekee yake ni suala mtanziko.
Duh mimi na maji tofauti...nitakula kwa macho tu

hata hiyo sawa mkuu.😂 😂 😂hapo kidogo Rayvanny amekaa kama uhuru 😆😆😆😆😆😆 View attachment 1951041
So unataka mradi uanze pasipo mazungumzoMazungumzo mazungumzo mazungumzo.






Duh! 🤦🏾♂️😁😁😁😁😁😁simba kapakatwa asee View attachment 1951128
Yeah huyo tumuacheni tu aweke siasa but cc tusim quote cz hatuna uwezo wa kumtoa, hata mods pia hawana uwezo wa kumtoa kwasababu kila mtu ana haki ya kusema atakacho ilimradi tu asivunje sheria za JF.Poa kaka
Kwisha habari yao, KQ chaliii5H TCL (Tanzanite).. Itawezesha hilu
my predicition we will start with daily NBO and 3x weekly to Ndola and LubumbashiView attachment 1950378View attachment 1950379






Anaabiwa ndo nn? utaporomoshewa mitusi humu ndani... Kaa chonjo 🙏🙏🙏Hivi mbona magufuli anaabiwa namna hii? Mzee Malaika nadhani watu wakubali kulikuwa na positive na negative zake na zijadiliwe kimapana! Kibiashara nampa 0/10!
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Wadanganyika ni mashoga tu hadi wenye wako hapa no wonder ni wajinga. View attachment 1951821
Ssaru anawakilisha KE vizuri, ametoka mbali aisee, she deserves it! 👏🏽 🇰🇪
Hehehehee hawa wakunya soon wataleft hii battleKuna wale wajinga walikuwa wanasambaza barua humu kuwa huu mradi umesitishwa






