ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,356
- 136,505
Naombeni nikiwa kama mwenyekiti naomba hii mada tuachane nayo turudi kwenye battle yetu Geza Ulole Simon lwiva Chamoto NDINDA The best 007 Uhuru n Umoja Fundi kitasa etc turudi kwenye umoja wetu tunasafari ndefu sana ya kimaendeleo lazma tujikite kutoa ushauri na kupendekeza yaliomema kwa nchi yetu 🤝🤝🙏🙏
Ni heshima kwenu nyote na wote munajua ni namna gani tulivoitengeneza hii thread na namna gani tumetoka nayo mbali sana
Ni heshima kwenu nyote na wote munajua ni namna gani tulivoitengeneza hii thread na namna gani tumetoka nayo mbali sana