Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naombeni nikiwa kama mwenyekiti naomba hii mada tuachane nayo turudi kwenye battle yetu Geza Ulole Simon lwiva Chamoto NDINDA The best 007 Uhuru n Umoja Fundi kitasa etc turudi kwenye umoja wetu tunasafari ndefu sana ya kimaendeleo lazma tujikite kutoa ushauri na kupendekeza yaliomema kwa nchi yetu 🤝🤝🙏🙏

Ni heshima kwenu nyote na wote munajua ni namna gani tulivoitengeneza hii thread na namna gani tumetoka nayo mbali sana
 
Leo siku nzuri ya kwenda Mbudya Island in Dar es slaaam.
GOPR7957.jpg

GOPR7957.jpg

GOPR7939.jpg
 
Back
Top Bottom