Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The United Mall, Kisumu. this is a photo of one out of the 11 malls within kisumu city, i took recently
20210825_150911.jpg
20210825_151134.jpg
20210825_151126.jpg
 
Wameiwasha na taa, aisee panapendeza, I can’t wait unaunganisha na daraja mpaka coco….what an ocean drive.
Wekeni picha basi, hivi serikalini hakuna watu wa kimikakati wa kutangaza na kupiga picha HQ za vitu kama hivi sikuizi hata yule jamaa aliyekuwa yupo vizuri kutuletea mambo ya sgr wamemtoa sijui ? Wameweka watu wasio jua kutangaza wala kupiga picha vizuri
 

Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger

September 14, 2021
Africa Intelligence


Spotlight TANZANIA Issue dated 14/09/2021

Jakaya Kikwete.


Jakaya Kikwete. © Luiz Rampelotto/EuropaNewswire/picture alliance / Luiz Rampelot/Newscom/MaxPPP

After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant. [...]

 

Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger

September 14, 2021
Africa Intelligence


Spotlight TANZANIA Issue dated 14/09/2021

Jakaya Kikwete.


Jakaya Kikwete. © Luiz Rampelotto/EuropaNewswire/picture alliance / Luiz Rampelot/Newscom/MaxPPP

After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant. [...]

Waandishi uchwara na mashabiki wao..JK alikuwa anatumiwa mara nyingi tuu kwenye shughuli za kimataifa na Mwendazake..

Mara kadhaa wamekutana Ikulu nk lakini JK hakuwahi acha kurusha vijembe kwa Mwendazake akiona anavuka Mipaka hadi Mwendazake akaanza kusema mara ooh Sijui wanawashwa washwa mara sijui mniachw nk..

Ni hivi JK ni Mwanausala muandamizi na siasa kaanza.toka enzi ya Mwalimu huwezi kumkwepa kwenye masuala ya utawala uwe unampenda au humpendi..

Good enough kwa sasa ndio Kiongozi mstaafu pekee aliyeko kutoa muongozo na ushauri pale inapobidi na Rais Samia lazima ata muapproach kuomba ushauri kwake,Mwinyi ni Mzee anapoteza kumbukumbu..

Hata usipomuomba Ushauri anakuacha kwani lazima? Kwanza ana ahughuli nyingi za kufanya Duniani Sio Kama wale wengine useless ukitoka madarakani habari Yako inakuwa imekomea hapo..
 
Waandishi uchwara na mashabiki wao..JK alikuwa anatumiwa mara nyingi tuu kwenye shughuli za kimataifa na Mwendazake..

Mara kadhaa wamekutana Ikulu nk lakini JK hakuwahi acha kurusha vijembe kwa Mwendazake akiona anavuka Mipaka hadi Mwendazake akaanza kusema mara ooh Sijui wanawashwa washwa mara sijui mniachw nk..

Ni hivi JK ni Mwanausala muandamizi na siasa kaanza.toka enzi ya Mwalimu huwezi kumkwepa kwenye masuala ya utawala uwe unampenda au humpendi..

Good enough kwa sasa ndio Kiongozi mstaafu pekee aliyeko kutoa muongozo na ushauri pale inapobidi na Rais Samia lazima ata muapproach kuomba ushauri kwake,Mwinyi ni Mzee anapoteza kumbukumbu..

Hata usipomuomba Ushauri anakuacha kwani lazima? Kwanza ana ahughuli nyingi za kufanya Duniani Sio Kama wale wengine useless ukitoka madarakani habari Yako inakuwa imekomea hapo..
Mshauri wa mwendazake alikuwa nani? Kagame au?
 
Back
Top Bottom