Gangi Longa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 275
- 135
neno hiliwatu wanamchukia mama wako so wrong u can't be the master of all trades!
JPM alikuwa mzuri kwenye infrastructure ila mama ni mzuri kwenye trade/business/commerce! Yaani budget yake imegusa kila mahali (6 months in power) ila watu wanampinga! Na mama kamrudisha Prof. Mbarawa Ujenzi na Uchukuzi maana alijipambanua vizuri alipokuwa pale!
Jamani mambo mazuri hayataki papara!




