Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu unasemaa ana wazo la biashara ilhali alikuaanaboresha bandari za Tanzania na reli zilizokua zimekufa ili kupunguza dominace ya bandari ya mombasa in East Africa, nishakumbia chuki zako zimepunguza uwezo wako wakufikiri, mtu huyo huyo aliamua kujenga jnhp ili gharama za umeme zije chini ili kuvutia wawekezaji
Huyo hana chuki isipokuwa ni kibaraka tu huyo achana naye.
 
wabongo wabongo wabongo... watoto wa mama.. mnashangaza sana. sisemi kitu mie, just following.......
aafu wakenya wote humu ndani, sisi wote kitu kimoja, uwe mjaluo, mkikuyu, mkalenjin, mluhya, mkamba, mkisii, mmasai, mmeru, mtaita, mdigo, mgiriama, msomali, mrendile, mborana... ata uwe wa mrengo wa UDA, Jubilee, Nasa, ANC.. ata uwe unatoka nairobi, mombasa, eldoret, kisumu, nakuru, garissa, nyeri, mandera, kitale. etc,.. sisi wote kitu kimoja
Umoja huo unauleta Jamii Forums au sio, subiri 2022 uone kama mna umoja ama la, umoja alishindwa kuuleta Jomo Kenyatta utauleta wewe chokoraa wa Mathare
 
Suala ya Corona lilikuwa na siasa nyingi sana (mpaka sasa), katika nchi ambazo watalii wetu wengi wanatoka. Isingekuwa rahisi kuwashawishi watalii kuja, wakati nchi yetu ilichukua mtazamo tofauti wa kuikabili Corona. Ndiyo maana Zanzibar waliamua kuwashawishi warusi, hawa hawakuwa na agenda za kisiasa kwenye Corona.

Hata kama tozo ingepungua bado watalii wasingeongezeka kwakuwa nchi zao zingewatisha kuja nchini.

Kama isingekuwa sera zake ya maliasili, hata huko kupanda kwa bei kusinge tufaidisha.

Unamaana gani kusema mtu wa ujenzi tuu?

Uchumi gani usiotegemea miundombinu ya usafirishaji?

Wachina waliwekeza kwenye reli za mwendo kasi, miaka ya mwanzoni mwa 2000 na kuanzia 2008 tumeona impact yake kwenye uchumi wao. Leo wanamalengo ya kuwa na 70,000km za reli by 2035, kwanini tusifanye kama wao? Nchi hizi tajiri za Ulaya, Marekani na Japan ndivyo zilivyoendelea, kwa kujenga njia za usafirishaji kwanza halafu mengine yakafuata. Unafikiri wajerumani waliotutawala walikuwa wajinga kujenga reli ya Tanga na ya kati?

Ni sura gani hiyo anayoleta mama? Ni nchi gani kubwa zilizoendelea zilifanya hivyo kabla ya kujenga miundombinu dhabiti?
Haya yote unayomwambia huyu mzee anayajua na pia anajua kila kitu kuhusu ubora wa hayati na mipango yake thabiti, isipokuwa huyu mzee Geza amekuwa cheap sana nowadays huenda amenunuliwa.
 
ndo upumbavu wa watu wa Chatogang na Sukumagang! Kule ukiwa mawanamke mzee unauwawa kwa kashfa za uchawi! Yaani kabisa mwanamke aliyejikomboa kifikra na elimu yake mwenye hata uwezo wa kuongea lugha ya kigeni unadiriki kumsema hafikii PHD iliyoshindwa kuongea lugha aliyosomea! Nilishawaona upuuzi wao ndo maana nikaukataa!
Mbona usemi ccm kuua aldino, tangu jpm kuchukua nchi vifo vikaisha
 
Hata kama unamchukia JPM but we made most revenues during his time..did he kill Conference tourism we all dont know..yeye alipunguza country spending kwenye conferences za ndani....did that really kill tourism. we should depend on external conferences any way...

Hamna haja ya kumkandia either of our presidents wote wataleta effects..ila ni kawaida binadamu kusahau

this was meant for Geza Ulole ..usisahau haraka wakati wewe mwenyewe Magu ulikuwa unamsifia
Na hata mawazo yake huyu bwana Geza Ulole yalikuwa yanasikilizwa, hata kwenye ule uzi wake ulioitaka serikali iwawekee ngumu CRDB kuhusu CEO mkenya pia yalisikilizwa na serikali ya JPM lkn yote kasahau because he's now a cheap man.
 
Yeah huyo tumuacheni tu aweke siasa but cc tusim quote cz hatuna uwezo wa kumtoa, hata mods pia hawana uwezo wa kumtoa kwasababu kila mtu ana haki ya kusema atakacho ilimradi tu asivunje sheria za JF.

Hatumkatazi kuweka kile kinachompendeza tatizo jamaa ana visasi, utakuta anaweka habari nzuri tu kuhusu Rais Samia lkn mwisho lazima aweke maneno ya visasi which means yeye mwenyewe kuna baadhi ya mambo yanayofanyika serikalini hakubaliani nayo ila tu ni kwasababu ana visasi na ndiyo maana anaweka maneno flani flani ya kujiliwaza na kusubiri kuona kama kuna mtu atakereka zen yeye apate relief, so dawa yake ni kumpotezea tu ili akale alipopeleka mboga.
Ukim quote tumia hii yatosha
 
View attachment 1951080View attachment 1951079
View attachment 1951097

chongchung quality hii si ya kispoti spoti, hapo kuna mlolongo mrefu sana wa ajira na uchumi. Maghorofa yanapendeza ila yawe yana akisi uchumi halisi.
Kweli kabisa mkuu, ndio maana huwa nawaambia Anti-Magu hawana sababu za msingi kumkashifu hayati, wao washikilie msimamo kwamba Mama asidhihakiwe cz ni Rais wa Tanzania but wakianza kujifanya eti na wao wanamkandia hayati basi moto lazima uwake mana tutaona wanaanza comparison btn Hayati na Mama kitu ambacho ni kama ku compare mbingu na ardhi.
 
Anaabiwa ndo nn? utaporomoshewa mitusi humu ndani... Kaa chonjo
Hapo vipi
FB_IMG_1631209634677.jpg
 
Na hata mawazo yake huyu bwana Geza Ulole yalikuwa yanasikilizwa, hata kwenye ule uzi wake ulioitaka serikali iwawekee ngumu CRDB kuhusu CEO mkenya pia yalisikilizwa na serikali ya JPM lkn yote kasahau because he's now a cheap man.
Umenianza cheap man how? Kwa vile ninatetea serikali ya Suluhu? Tuliza mshono babu! 😀😀😀
 
Hivi mnajua maana ya biashara hususan kumiliki kiwanda? Pension funds wanawezaje kuweka hela za wastaafu kwenye kiwanda? Hapo ni kama unacheza kamari na hela za pensioners kiwanda kinaweza kilapata faida well and good illa kikipata hasara na hata kupelekea ku write off investment hiyo burden abebe nani? Pensioners or serikali? Mfano mzuri angalieni general tyre east africa in Arusha NSSF waliweka dola 10m leo ziko wapi? Nani kabeba huo mzigo ni serikali au pensioners? Angalizo ukidhaminiwa na hela za watu unatakiwa uinvest wisely kwa hapa kwetu ni buildings na government papers ndio sure way ya ku guarantee returns the rest ni usiku wa giza.
General tyre ni hujuma tu mkuu, hivi unaweza kuniambia sababu za kile kiwanda kushindwa kurudisha returns au kushindwa ku operate licha ya uhitaji mkubwa wa bidhaa zake hapa East and Central Africa? Hizo pension funds zinapaswa kuwekeza kwenye viwanda vyenye tija na pia usimamizi uwe mkubwa mbn returns kwa viwanda ni Pi (3.14)
 
Umenianza cheap man how? Kwa vile ninatetea serikali ya Suluhu? Tuliza mshono babu! 😀😀😀
Wewe mpumbavu serikali ndiyo ilitakiwa ikutetee siyo wewe uitetee nyinyi ndiyo mnamtia mama ujinga siku kwa siku
 
Hivi mnajua maana ya biashara hususan kumiliki kiwanda? Pension funds wanawezaje kuweka hela za wastaafu kwenye kiwanda? Hapo ni kama unacheza kamari na hela za pensioners kiwanda kinaweza kilapata faida well and good illa kikipata hasara na hata kupelekea ku write off investment hiyo burden abebe nani? Pensioners or serikali? Mfano mzuri angalieni general tyre east africa in Arusha NSSF waliweka dola 10m leo ziko wapi? Nani kabeba huo mzigo ni serikali au pensioners? Angalizo ukidhaminiwa na hela za watu unatakiwa uinvest wisely kwa hapa kwetu ni buildings na government papers ndio sure way ya ku guarantee returns the rest ni usiku wa giza.
real estate? kweli ofisi au makazi mangapi yanashindwa kupata wapangaji? Machinga complex? Rocky city mall? Viwanda kama vya sukari au mafuta ya kupikia yanalipa na kama ikiwezekana pension funds zijikite huko!
 
Back
Top Bottom