Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Who is JPM? Ajiuzulu Ili avumbue nini? Kama kuna njia ya kumsaliti kuna haja gani ya kujiuzulu?
Umeuaaa nilikuwa na mpango wa kupumzika kdg kwenye huu uzi ila ngj nisubiri majibu ya huyu pimbi





Hii number plate imeandikwa kwa mkono
?Old kariakoo, nasubiri picha ya new kariakoo watu wakimbie humu




Mbelwa kairuki ni sheeda sana, ingekuwa inawezekana angepewa balozi zote.
Naombeni nikiwa kama mwenyekiti naomba hii mada tuachane nayo turudi kwenye battle yetu Geza Ulole Simon lwiva Chamoto NDINDA The best 007 Uhuru n Umoja Fundi kitasa etc turudi kwenye umoja wetu tunasafari ndefu sana ya kimaendeleo lazma tujikite kutoa ushauri na kupendekeza yaliomema kwa nchi yetu
Ni heshima kwenu nyote na wote munajua ni namna gani tulivoitengeneza hii thread na namna gani tumetoka nayo mbali sana

We nae peleka upumbavu wako mbali tushasema tunaachana na haya mambo ya siasa, wewe ndio yule yule nakujua sema umekuja na id nyingine, wewe nenda kapambane kwenye ile battle ya Njombe vs Arusha sijui bukoba.I'M sorry to say umeandika paragraph nyingi sana lakini ulichoandika haki reflect kama aliyeandika ni msomi au mtu anayefuatilia mifumo ya serikali kiutendaji.Umeanza kwa kulinganisha magufuli na samia kiakili na kiutendaji unasema samia hamfikii Magufuli kwa kila kitu,Msomi hawezi kuja na mawazo ya mtindo huo hasa unapocompare leadership.Leadership sio akili kichwani au utendaji mzuri is all about vision,chosing the best style kulingana na wakati husika.Style ya samia kiuongozi na JPM kwa vyovyote hawawezi fanana sana japo kuna vitu vitafanana.Style ya uongozi huja na mtazamo wa kiongozi kwa anaowaongoza pia.Hivyo unapaswa kuchambua style zao za uongozi na kusema ipi inafaa kwa TANZANIA.Hoja yako ya kusema kama sio Magufuli barabara sisingejengwa kwa wingi wakati wa JK ni hoja MFU kabisa, unasahau kua serikalini kuna vipaumbele vinavyoenda kulingana na wakati kama kikwete asingependa barabara angelazimisha fedha zingeenda kwenye vitu vingine na usisahau kua fedha za kujenga hazitafutwi na waziri wa ujenzi ni Ofisi ya RAIS pamaoja na wizara ya fedha japo kuna maduhuli pia.Nikumbushe tu kabla ya JPM kuingia madarakani alizikuta shule,Vyuo vikuu,viwanda kadhaa binafsi,Bandari,Majengo mengi ya serikali na vingine vingi vilivyokua nje ya wizara ya ujenzi na uchukuzi , uchumi wa nchi sio ujenzi na uchukuzi pekee yake, ni suala mtanziko.
Umoja huo unauleta Jamii Forums au sio, subiri 2022 uone kama mna umoja ama la, umoja alishindwa kuuleta Jomo Kenyatta utauleta wewe chokoraa wa Mathare![]()






Wasanii wa Tanzania ni mbwa sana, huwa wanatumika kisiasa bila kujifahamu, shule shule shule.
Hao wasanii wanajaribu kutembelea nyota ya mafiiiWasanii wa Tanzania ni mbwa sana, huwa wanatumika kisiasa bila kujifahamu, shule shule shule.
hapo inabidi wafanye ustaraab wakuboresha zaidi ili kuvutie zaidiKisiwa kimoja matata sana, ukiwa pale unaoata View la kufa mtu la CBD posta.
View attachment 1952186
View attachment 1952187





