Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiwe mpuuzi nawe nimesema kwenye ujenzi ilikuwa strength yake ila biashara ilikuwa weakness yake! Mimi siabudu personalities bali naeleza ilivyo na nime-back up nilichosema angalia wamachinga wale wa vitambulisho vya 20,000 visivyo na picha wala utambulisho wa mmiliki (biometric identification system) wake walivyoharibu maduka ya watu wanaolipa pango na kodi kubwa! Haihitaji akili kuliona ilo! kama unalazimisha alikuwa mzuri kwa biashara mbona asitoe relief kwa tourism stakeholders ambao wana-contribute 17% ya GDP ambao sector yao imepoteza kazi zaidi ya 100,000 na mahoteli kupigwa minada? Au kununua ndege bila kuulinda utalii pia ni akili ya biashara? mwacheni mama ajaribu kivingine!
 
Kuhusu watu wanaoibishana kuhusu JPM na Samia, nitoe maoni yangu

Nianze kwa kusema "Rais akifanikiwa, Nchi hufanikiwa".

Ufanano wa JPM na Samia, Kusema Kweli huwezi ukalinganisha Uwezo wa Magufuli na Samia, Kuanzia Kichwani hadi Moyoni. Magufuli alikuwa moja ya watu wenye uwezo mkubwa kichwani na pia ujasiri mkubwa moyoni, Samia hakuna hata kimoja atamfikia (Magufuli ni moja ya watu welevu Tanzania imewahi kuwashuhudia, pia nikeelelezo Tanzania kuna watu welevu kuliko Kenya na Sehemu nyingi za Dunia).

Utendaji, Mama Samia, Kikwete hata Mkapa walipata kufanya kazi na Magufuli akiwa kama Waziri wao, kuna watu wanasema Kikwete ndio alijenga Barabara nyingi kuliko Magufuli, nasema hivi Kama Magufuli asingekuwa Waziri wa Kikwete au Kuwa waziri kama akina Sospeter Muhongo, Basi Tanzania tungekuwa tuna Barabara chache na Mbovu Africa nzima, Watu wanasema Miradi mingi ya Ujenzi iliyoanzishwa awamu ya 5 na iyoendelea awamu ya sita (Nasikitika Awamu ya Sita hakuna mpango wa mradi Mpya, so sad), ilianzia awamu za nyuma, mfano SGR, Salender Bridge, Tazara Bridge, e.t.c, Ukweli ni kwamba hii miradi iliasisiwa na Magufuli Tangu akiwa Waziri, matatizo yalikuwa kwenye viongozi waliokuwa na Maamuzi ya mwisho.

Kama hii miradi ilianzia kwa Kikwete kwa nini alishindwa kuondoka Madarakani ameacha hata tofali moja site?, Watu wanasema Kikwete alileta prosperity ya Watanzania kuliko Magufuli, huu ni uwongo mkubwa wa Kisiasa, tukumbuke Kipindi cha Kikwete Shirika la Nyumba (Kama sijakosea) walianzisha Mradi wa Kifisadi wa Dege Eco city wakati Mara Kuna Hospitali ya Kongwa ilikaa miaka zaidi ya 30 kama Gofu, Magufuli akasema HAPANA hatuwezi tukawekeza kwenye Mradi ambao unawasaidia watu 2 na kuacha jambo ambalo litasaidia Mamilioni ya Watu, Kikwete alishauri Tanzania Badala ya Kujenga SGR mpya, irekebishe Njia ya zamani ya Reli ya Mjerumani Kwa Gharama sawa na kujenga Reli Mpya, Magufuli akasema Hapana tunajenga Reli Mpya.

Kikwete, Mwinyi, na Mkapa wa mekaa miaka 30 Madarakani hawakujenga wala kuhamasisha kujenga Smelter wala Refinery ya Madini, ila Magufuli alisema hapana hatuwezi kuwa tunauza Raw Materials nje tu. Magufuli alisisitiza hatuwezi tukawa tunauza Korosho nje kama raw material alafu tunaletewa bidhaa alafu tunanunua kwa gharama kubwa alafu tunachekelea, mfano Korosho zinazouzwa TSH 1000 kwa machinga Dar es salaam, zinauzwa Kenya kwa TSH 6000 - 9000. (Bahati mbaya wanasiasa wasiokuwa na Vision wakampinga sana).

Kuna mtu anasema Mama Samia anapaendeleza Dodoma kuliko Magufuli, bila shaka huyu atakuwa ni (Msemaji wa Serikali), Tanzania imepitisha azimio kuwa Dodoma itakuwa makao makuu tangu 70s wakapita akina Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete hakuna hata mmoja aliyeweza kusema now tutaijenga Dodoma, ila Magufuli akasema hapana, lazima tupajenge tutakaa hata kwenye Mabati (Miaka 20 - 30) Dodoma ikiendelea kwa Kasi ya Sasa, itakuwa Mmoja kati ya miji 3 ya kisasa Africa, na hili wote tutamkumbuka Magufuli, bila kujua kama Samia aliwahi kuwa Rais (Kwa sababu, ametembelea nje ya nchi kuliko alivotembelea mikoa yetu, tunasahau hata kama hukaa Dodoma)

Legacy, Japo hadi leo naumia nikigundua ukweli kuwa Mafuguli hayupo tena, wala hatutasikia amri yake tena, ila niseme jambo moja Utawala wa miaka 5 ya Magufuli ni sawa na Miaka 30 ya Marais waliopita na Aliyoyafanya na kuyaacha yataishi miaka 50 na 100 ijayo, tutakapo kuwa tunapita na wajukuu au vitukuu vyetu kando kando ya SGR tutakuwa tunawaadithia hii ilijengwa na Rais alikuwa anaitwa Magufuli, Kumlinganisha Magufuli na Mama Samia kwa kumkweza Mama Samia utahitaji nguvu nyingi kuliko kukutana na Jambo ambalo limefanywa na Magufuli
yoote hii imejikinga ujenzi na hamna mtu aliyebisha hilo! Point yangu biashara wasn't his trade! And i will countinue to say that seeing the sorry state of our tourism a 17% contributor of our GDP and not to forget the general trade!
 
Kuhusu watu wanaoibishana kuhusu JPM na Samia, nitoe maoni yangu

Nianze kwa kusema "Rais akifanikiwa, Nchi hufanikiwa".

Ufanano wa JPM na Samia, Kusema Kweli huwezi ukalinganisha Uwezo wa Magufuli na Samia, Kuanzia Kichwani hadi Moyoni. Magufuli alikuwa moja ya watu wenye uwezo mkubwa kichwani na pia ujasiri mkubwa moyoni, Samia hakuna hata kimoja atamfikia (Magufuli ni moja ya watu welevu Tanzania imewahi kuwashuhudia, pia nikeelelezo Tanzania kuna watu welevu kuliko Kenya na Sehemu nyingi za Dunia).

Utendaji, Mama Samia, Kikwete hata Mkapa walipata kufanya kazi na Magufuli akiwa kama Waziri wao, kuna watu wanasema Kikwete ndio alijenga Barabara nyingi kuliko Magufuli, nasema hivi Kama Magufuli asingekuwa Waziri wa Kikwete au Kuwa waziri kama akina Sospeter Muhongo, Basi Tanzania tungekuwa tuna Barabara chache na Mbovu Africa nzima, Watu wanasema Miradi mingi ya Ujenzi iliyoanzishwa awamu ya 5 na iyoendelea awamu ya sita (Nasikitika Awamu ya Sita hakuna mpango wa mradi Mpya, so sad), ilianzia awamu za nyuma, mfano SGR, Salender Bridge, Tazara Bridge, e.t.c, Ukweli ni kwamba hii miradi iliasisiwa na Magufuli Tangu akiwa Waziri, matatizo yalikuwa kwenye viongozi waliokuwa na Maamuzi ya mwisho.

Kama hii miradi ilianzia kwa Kikwete kwa nini alishindwa kuondoka Madarakani ameacha hata tofali moja site?, Watu wanasema Kikwete alileta prosperity ya Watanzania kuliko Magufuli, huu ni uwongo mkubwa wa Kisiasa, tukumbuke Kipindi cha Kikwete Shirika la Nyumba (Kama sijakosea) walianzisha Mradi wa Kifisadi wa Dege Eco city wakati Mara Kuna Hospitali ya Kongwa ilikaa miaka zaidi ya 30 kama Gofu, Magufuli akasema HAPANA hatuwezi tukawekeza kwenye Mradi ambao unawasaidia watu 2 na kuacha jambo ambalo litasaidia Mamilioni ya Watu, Kikwete alishauri Tanzania Badala ya Kujenga SGR mpya, irekebishe Njia ya zamani ya Reli ya Mjerumani Kwa Gharama sawa na kujenga Reli Mpya, Magufuli akasema Hapana tunajenga Reli Mpya.

Kikwete, Mwinyi, na Mkapa wa mekaa miaka 30 Madarakani hawakujenga wala kuhamasisha kujenga Smelter wala Refinery ya Madini, ila Magufuli alisema hapana hatuwezi kuwa tunauza Raw Materials nje tu. Magufuli alisisitiza hatuwezi tukawa tunauza Korosho nje kama raw material alafu tunaletewa bidhaa alafu tunanunua kwa gharama kubwa alafu tunachekelea, mfano Korosho zinazouzwa TSH 1000 kwa machinga Dar es salaam, zinauzwa Kenya kwa TSH 6000 - 9000. (Bahati mbaya wanasiasa wasiokuwa na Vision wakampinga sana).

Kuna mtu anasema Mama Samia anapaendeleza Dodoma kuliko Magufuli, bila shaka huyu atakuwa ni (Msemaji wa Serikali), Tanzania imepitisha azimio kuwa Dodoma itakuwa makao makuu tangu 70s wakapita akina Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete hakuna hata mmoja aliyeweza kusema now tutaijenga Dodoma, ila Magufuli akasema hapana, lazima tupajenge tutakaa hata kwenye Mabati (Miaka 20 - 30) Dodoma ikiendelea kwa Kasi ya Sasa, itakuwa Mmoja kati ya miji 3 ya kisasa Africa, na hili wote tutamkumbuka Magufuli, bila kujua kama Samia aliwahi kuwa Rais (Kwa sababu, ametembelea nje ya nchi kuliko alivotembelea mikoa yetu, tunasahau hata kama hukaa Dodoma)

Legacy, Japo hadi leo naumia nikigundua ukweli kuwa Mafuguli hayupo tena, wala hatutasikia amri yake tena, ila niseme jambo moja Utawala wa miaka 5 ya Magufuli ni sawa na Miaka 30 ya Marais waliopita na Aliyoyafanya na kuyaacha yataishi miaka 50 na 100 ijayo, tutakapo kuwa tunapita na wajukuu au vitukuu vyetu kando kando ya SGR tutakuwa tunawaadithia hii ilijengwa na Rais alikuwa anaitwa Magufuli, Kumlinganisha Magufuli na Mama Samia kwa kumkweza Mama Samia utahitaji nguvu nyingi kuliko kukutana na Jambo ambalo limefanywa na Magufuli
Nilisema hili April 23.



Wanamuita Magufuli majina ili kufufisha legacy yake. Nchi hii tangu uhuru imeoata viongizi wawili tu: Nyerere, Magufuli.
 
Bado nipo Bega kwa Bega na wachafuzi wa thread, nipo nafatilia kwa ukaribu hali ya thread na kufanya counterattack kuona namna tunaweza rudisha hali ya utulivu humu!

Jana nimeshambulia zile tutusa japo operation ilikwaza wengi lakini mnivumilie ndugu zangu dawa ya moto ni moto mamaee

Gezaulole na shosti ako nawaona!
 
Kuhusu watu wanaoibishana kuhusu JPM na Samia, nitoe maoni yangu

Nianze kwa kusema "Rais akifanikiwa, Nchi hufanikiwa".

Ufanano wa JPM na Samia, Kusema Kweli huwezi ukalinganisha Uwezo wa Magufuli na Samia, Kuanzia Kichwani hadi Moyoni. Magufuli alikuwa moja ya watu wenye uwezo mkubwa kichwani na pia ujasiri mkubwa moyoni, Samia hakuna hata kimoja atamfikia (Magufuli ni moja ya watu welevu Tanzania imewahi kuwashuhudia, pia nikeelelezo Tanzania kuna watu welevu kuliko Kenya na Sehemu nyingi za Dunia).

Utendaji, Mama Samia, Kikwete hata Mkapa walipata kufanya kazi na Magufuli akiwa kama Waziri wao, kuna watu wanasema Kikwete ndio alijenga Barabara nyingi kuliko Magufuli, nasema hivi Kama Magufuli asingekuwa Waziri wa Kikwete au Kuwa waziri kama akina Sospeter Muhongo, Basi Tanzania tungekuwa tuna Barabara chache na Mbovu Africa nzima, Watu wanasema Miradi mingi ya Ujenzi iliyoanzishwa awamu ya 5 na iyoendelea awamu ya sita (Nasikitika Awamu ya Sita hakuna mpango wa mradi Mpya, so sad), ilianzia awamu za nyuma, mfano SGR, Salender Bridge, Tazara Bridge, e.t.c, Ukweli ni kwamba hii miradi iliasisiwa na Magufuli Tangu akiwa Waziri, matatizo yalikuwa kwenye viongozi waliokuwa na Maamuzi ya mwisho.

Kama hii miradi ilianzia kwa Kikwete kwa nini alishindwa kuondoka Madarakani ameacha hata tofali moja site?, Watu wanasema Kikwete alileta prosperity ya Watanzania kuliko Magufuli, huu ni uwongo mkubwa wa Kisiasa, tukumbuke Kipindi cha Kikwete Shirika la Nyumba (Kama sijakosea) walianzisha Mradi wa Kifisadi wa Dege Eco city wakati Mara Kuna Hospitali ya Kongwa ilikaa miaka zaidi ya 30 kama Gofu, Magufuli akasema HAPANA hatuwezi tukawekeza kwenye Mradi ambao unawasaidia watu 2 na kuacha jambo ambalo litasaidia Mamilioni ya Watu, Kikwete alishauri Tanzania Badala ya Kujenga SGR mpya, irekebishe Njia ya zamani ya Reli ya Mjerumani Kwa Gharama sawa na kujenga Reli Mpya, Magufuli akasema Hapana tunajenga Reli Mpya.

Kikwete, Mwinyi, na Mkapa wa mekaa miaka 30 Madarakani hawakujenga wala kuhamasisha kujenga Smelter wala Refinery ya Madini, ila Magufuli alisema hapana hatuwezi kuwa tunauza Raw Materials nje tu. Magufuli alisisitiza hatuwezi tukawa tunauza Korosho nje kama raw material alafu tunaletewa bidhaa alafu tunanunua kwa gharama kubwa alafu tunachekelea, mfano Korosho zinazouzwa TSH 1000 kwa machinga Dar es salaam, zinauzwa Kenya kwa TSH 6000 - 9000. (Bahati mbaya wanasiasa wasiokuwa na Vision wakampinga sana).

Kuna mtu anasema Mama Samia anapaendeleza Dodoma kuliko Magufuli, bila shaka huyu atakuwa ni (Msemaji wa Serikali), Tanzania imepitisha azimio kuwa Dodoma itakuwa makao makuu tangu 70s wakapita akina Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete hakuna hata mmoja aliyeweza kusema now tutaijenga Dodoma, ila Magufuli akasema hapana, lazima tupajenge tutakaa hata kwenye Mabati (Miaka 20 - 30) Dodoma ikiendelea kwa Kasi ya Sasa, itakuwa Mmoja kati ya miji 3 ya kisasa Africa, na hili wote tutamkumbuka Magufuli, bila kujua kama Samia aliwahi kuwa Rais (Kwa sababu, ametembelea nje ya nchi kuliko alivotembelea mikoa yetu, tunasahau hata kama hukaa Dodoma)

Legacy, Japo hadi leo naumia nikigundua ukweli kuwa Mafuguli hayupo tena, wala hatutasikia amri yake tena, ila niseme jambo moja Utawala wa miaka 5 ya Magufuli ni sawa na Miaka 30 ya Marais waliopita na Aliyoyafanya na kuyaacha yataishi miaka 50 na 100 ijayo, tutakapo kuwa tunapita na wajukuu au vitukuu vyetu kando kando ya SGR tutakuwa tunawaadithia hii ilijengwa na Rais alikuwa anaitwa Magufuli, Kumlinganisha Magufuli na Mama Samia kwa kumkweza Mama Samia utahitaji nguvu nyingi kuliko kukutana na Jambo ambalo limefanywa na Magufuli
Wapuuzi awawezi kukuelewa hata kwa ili la korona wakati inaingia angekuwa raisi ni huyu punguwani tuliye naye sasa tunge pigwa lock down na watz wengi wangeuliwa na maaskari tushukuru mungu
 
Back
Top Bottom