Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtoto (fetus) anapokuwa tumboni mwa mama yake, organ ya kwanza kabisa kujengwa katika kile kipindi cha rapid cell division (Mitosis) ni moyo. Kazi kubwa ya moyo ni usafirishaji wa damu ambayo inabeba virutubisho, taka na hewa. Bila ya kuwa na mfumo bora wa usafirishaji, mifumo mingine yote haiwezi kufanya kazi.

Ufanisi (maendeleo, ujenzi, uchumi, sayansi n.k) kwenye maisha ya mwanadamu ni kugeza yale yaliyokwisha fanywa kwenye asili (nature) na Muumba.

Mawazo ya kibiashara ya Magu yalikuwa ya kiwango cha juu sana, yeye aliangalia misingi ya kujenga uchumi imara. Sio uchumi "artificial" wa kina Dr. Dau wa kujenga maghorofa wakati hakuna watu wakupangisha majengo hayo.

Magu alisisitiza kwenye usafirishaji (barabara, ndege, meli, reli na bandari). Baada ya hapo akaja kwenye nishati (Bwawa la Nyerere) ili kupunguza gharama za umeme kwa viwanda, kuchochea uwekezaji. Yaani unakuta kiwanda cha saruji cha Tanga na bandari vinakosa wateja kwasababu reli iliyotegemewa imekufa, hamna anayejali. Anakuja mtu anaifufua reli hiyo halafu kuna watu kama Geza Ulole wanasema Magu hakuwa na mawazo ya kuichumi/biashara, kweli?
Kaka umesema uchumi wa maghorofa ukanikumbusha hiki kiwanda kikubwa sana Africa cha ngozi, magu mtu wa Chato aliwaambia NSSF waache kuwekeza kwenye artificial economy wa skyscrapers wawekeze kwenye viwanda kama hivi, halafu matako mmoja anasema magu hakujua biashara seriously?

Hiki kiwanda kinapeleka bidhaa zake East Africa yote, kupata kiatu hapa ni mbinde aisee hii pesa wangeweka kwenye majengo tenants wangekuwa wanagombania spaces kama bidhaa za hiki kiwanda saivi?

 
20210924_112300.jpg
20210924_112339.jpg

View attachment 1951097

chongchung quality hii si ya kispoti spoti, hapo kuna mlolongo mrefu sana wa ajira na uchumi. Maghorofa yanapendeza ila yawe yana akisi uchumi halisi.
 
Kaka umesema uchumi wa maghorofa ukanikumbusha hiki kiwanda kikubwa sana Africa cha ngozi, magu mtu wa Chato aliwaambia NSSF waache kuwekeza kwenye artificial economy wa skyscrapers wawekeze kwenye viwanda kama hivi, halafu matako mmoja anasema magu hakujua biashara seriously?

Hiki kiwanda kinapeleka bidhaa zake East Africa yote, kupata kiatu hapa ni mbinde aisee hii pesa wangeweka kwenye majengo tenants wangekuwa wanagombania spaces kama bidhaa za hiki kiwanda saivi?

Hivi mnajua maana ya biashara hususan kumiliki kiwanda? Pension funds wanawezaje kuweka hela za wastaafu kwenye kiwanda? Hapo ni kama unacheza kamari na hela za pensioners kiwanda kinaweza kilapata faida well and good illa kikipata hasara na hata kupelekea ku write off investment hiyo burden abebe nani? Pensioners or serikali? Mfano mzuri angalieni general tyre east africa in Arusha NSSF waliweka dola 10m leo ziko wapi? Nani kabeba huo mzigo ni serikali au pensioners? Angalizo ukidhaminiwa na hela za watu unatakiwa uinvest wisely kwa hapa kwetu ni buildings na government papers ndio sure way ya ku guarantee returns the rest ni usiku wa giza.
 
View attachment 1951080View attachment 1951079
View attachment 1951095

chongchung quality hii si ya kispoti spoti, hapo kuna mlolongo mrefu sana wa ajira na uchumi. Maghorofa yanapendeza ila yawe yana akisi uchumi halisi.
Sure ni kiwanda kikubwa sana bado kinazidi kupanuliwa na bidhaa ni nyingi lakini wateja ni wengi sana pale pia wamepata pensioners wapya sababu kimetoa ajira zaidi ya 1000 directly phases zote zikiisha, hapo bado wafugaji na wauzaji wa bidhaa zao
 
Mtoto (fetus) anapokuwa tumboni mwa mama yake, organ ya kwanza kabisa kujengwa katika kile kipindi cha rapid cell division (Mitosis) ni moyo. Kazi kubwa ya moyo ni usafirishaji wa damu ambayo inabeba virutubisho, taka na hewa. Bila ya kuwa na mfumo bora wa usafirishaji, mifumo mingine yote haiwezi kufanya kazi.

Ufanisi (maendeleo, ujenzi, uchumi, sayansi n.k) kwenye maisha ya mwanadamu ni kugeza yale yaliyokwisha fanywa kwenye asili (nature) na Muumba.

Mawazo ya kibiashara ya Magu yalikuwa ya kiwango cha juu sana, yeye aliangalia misingi ya kujenga uchumi imara. Sio uchumi "artificial" wa kina Dr. Dau wa kujenga maghorofa wakati hakuna watu wakupangisha majengo hayo.

Magu alisisitiza kwenye usafirishaji (barabara, ndege, meli, reli na bandari). Baada ya hapo akaja kwenye nishati (Bwawa la Nyerere) ili kupunguza gharama za umeme kwa viwanda, kuchochea uwekezaji. Yaani unakuta kiwanda cha saruji cha Tanga na bandari vinakosa wateja kwasababu reli iliyotegemewa imekufa, hamna anayejali. Anakuja mtu anaifufua reli hiyo halafu kuna watu kama Geza Ulole wanasema Magu hakuwa na mawazo ya kuichumi/biashara, kweli?
Tulia wewe msukuma wa Magu,unataka ndani ya miezi 6 Madam amalize miradi yote iliyomshinda Magu miaka 6? Hapo hapo afanye miradi mipya ,kwa pesa zipi mlizoacha? Si mliharibu uchumi nyie?

Sasa hivi ndio taratibu uchumi unaanza kurejea kwa hiyo tulizeni makalio muone shoo..Ndio kwanza bajeti ya kwanza ya mama ina miezi 3 ..
 
Hivi mnajua maana ya biashara hususan kumiliki kiwanda? Pension funds wanawezaje kuweka hela za wastaafu kwenye kiwanda? Hapo ni kama unacheza kamari na hela za pensioners kiwanda kinaweza kilapata faida well and good illa kikipata hasara na hata kupelekea ku write off investment hiyo burden abebe nani? Pensioners or serikali? Mfano mzuri angalieni general tyre east africa in Arusha NSSF waliweka dola 10m leo ziko wapi? Nani kabeba huo mzigo ni serikali au pensioners? Angalizo ukidhaminiwa na hela za watu unatakiwa uinvest wisely kwa hapa kwetu ni buildings na government papers ndio sure way ya ku guarantee returns the rest ni usiku wa giza.
Kijichi nani analipia ule upuuzi dau kauweka pale na mkwere? Mimi mwenyewe ni mpenzi wa skyscrapers lakini zenye akili, we unafikiri kiwanda kinajengwa bila due diligence?
 
Hivi mnajua maana ya biashara hususan kumiliki kiwanda? Pension funds wanawezaje kuweka hela za wastaafu kwenye kiwanda? Hapo ni kama unacheza kamari na hela za pensioners kiwanda kinaweza kilapata faida well and good illa kikipata hasara na hata kupelekea ku write off investment hiyo burden abebe nani? Pensioners or serikali? Mfano mzuri angalieni general tyre east africa in Arusha NSSF waliweka dola 10m leo ziko wapi? Nani kabeba huo mzigo ni serikali au pensioners? Angalizo ukidhaminiwa na hela za watu unatakiwa uinvest wisely kwa hapa kwetu ni buildings na government papers ndio sure way ya ku guarantee returns the rest ni usiku wa giza.
Ni asilimia ngapi ya vyumba vilivyopata wateja kwa maghorofa yaliyojengwa na Nssf kipindi cha Dr. Dau?
 
wabongo wabongo wabongo... watoto wa mama.. mnashangaza sana. sisemi kitu mie, just following.......
aafu wakenya wote humu ndani, sisi wote kitu kimoja, uwe mjaluo, mkikuyu, mkalenjin, mluhya, mkamba, mkisii, mmasai, mmeru, mtaita, mdigo, mgiriama, msomali, mrendile, mborana... ata uwe wa mrengo wa UDA, Jubilee, Nasa, ANC.. ata uwe unatoka nairobi, mombasa, eldoret, kisumu, nakuru, garissa, nyeri, mandera, kitale. etc,.. sisi wote kitu kimoja
Huwezi ungana na wafuasi wa Dhalimu ndio maana hata Mama anapuuza mambo mengi ya kijinga yaliyokuwa yanafanywa na yule marehemu
 
Suala ya Corona lilikuwa na siasa nyingi sana (mpaka sasa) katika nchi ambazo watalii wetu wengi wanatoka. Isengekuwa rahisi kuwashawishi watalii kuja wakati nchi yetu ilichukua mtazamo tofauti wa kuikabili Corona. Ndiyo maana Zanzibar waliamua kuwashawishi warusi, hawa hawakuwa na agenda za kisiasa kwenye Corona.

Hata kama tozo ingepungua bado watalii wasingeongezeka kwakuwa nchi zao zingewatisha kuja nchini.

Kama isingekuwa sera zake ya maliasili, hata huko kupanda kwa bei kusinge tufaidisha,.

Unamaana gani kusema mtu wa ujenzi tuu?

Uchumi gani usiotegemea miundombinu ya usafirishaji?

Wachina waliwekeza kwenye reli za mwendo kasi, miaka ya mwanzoni mwa 2000 na kuanzia 2008 tumeona impact yake kwenye uchumi wao. Leo wanamalengo ya kuwa na 70,000km za reli by 2035, kwanini tusifanye kama wao? Nchi hizi tajiri za Ulaya, Marekani na Japan ndivyo zilivyoendelea, kwa kujenga njia za usafirishaji kwanza halafu mengine yakafuata. Unafikiri wajerumani waliotutawala walikuwa wajinga kujenga reli ya Tanga na ya kati?

Ni sura gani hiyo anayoleta mama? Ni nchi gani kubwa zilizoendelea zilifanya hivyo kabla ya kujenga miundombinu dhabiti?
Inawekeza strategically sio kukurupuka tuu,sasa reli ya kwenda mwanza.italeta faida gani zaidi ya hasara kama awali? Kuna nini cha kubeba huko ? Dagaa au?

Si bora yule mtu wenu angefungua nchi kwa barabara?
 
Tumepata $500 mln 2020 soma link niliyokutumia! Kwahiyo kwa akili yako kutofunga mipaka na kutochanja kumesaidia tourism?
Daa, nimejaribu sana kuto kukujibu, ila nimeshindwa. Ndugu yangu unazingua.

1. Nchi zote zilikuwa kwenye lock down, utalii hata ungefanya nini, tusinge pata cha maana. Nipo kwenye hiyo industry, tumeumia sana ila it could have been alot worse.

2. Wote tunajua, kama angekuwa ni mama 2020, tungepigwa lock down. Hata hiyo $500m unayoiponda, tusinge ipata.

Muda wa kufungua nchi ni sasa wakati restrictions zinafunguliwa. Kwa hiyo mama yupo sahihi kabisa kupambana na utalii now. Ingawa jitihada bado zina hitajika.

Jamaa alikuwa na matatizo yake, ila katika viongozi waliokuwa na focus ni JPM. Nadhani bila yeye hata ili jukwaa tungelikimbia kitambo sana.

Angalia vituo, Air Tanzania, Roads, Madaraja, Flyovers, Elimu Bure, Bandari, Umeme mijini na vijijini, Maji, SGR, Terminal III, JNHP, Mikataba ya Madini, Dodoma na kadharika.

Bado unasema hakuwa na ufahamu wa biashara kweli. Mbona tunakuwa wepesi kusahau hivi?

Mama kuna vitu anaviweza, ila kusema ukweli in comparison with JPM ana pwaya. Hata wewe unajua hili. Ingawa a napambana kadri ya uwezo wake na gurudumu linaenda.

Hopefully mambo yataenda vizuri na tutaendelea kutoa dozi kwa Wakenya kwenye hi battle.

Turudi kwenye battle.

Tusileteane maneno ya kanga humu . Kama unataka kuonyesha miradi ya mama onyesha, hakuna haja ya kumtaja au ku linganisha na JPM. Hii siyo sehemu yake. Kafanye hivyo kwenye majukwaa husika. Yamejaa tele.

Mtakao soma hii, msini quote maana ndo mtakuwa mnaendeleza siasa humu. Soma, like, move on kwenye battle at hand. Nairobi vs Dar es Salaam.

Leteni mambo.
 
Daa, nimejaribu sana kuto kukujibu, ila nimeshindwa. Ndugu yangu unazingua.

1. Nchi zote zilikuwa kwenye lock down, utalii hata ungefanya nini, tusinge pata cha maana. Nipo kwenye hiyo industry, tumeumia sana ila it could have been alot worse.

2. Wote tunajua, kama angekuwa ni mama 2020, tungepigwa lock down. Hata hiyo $500m unayoiponda, tusinge ipata.

Muda wa kufungua nchi ni sasa wakati restrictions zinafunguliwa. Kwa hiyo mama yupo sahihi kabisa kupambana na utalii now. Ingawa jitihada bado zina hitajika.

Jamaa alikuwa na matatizo yake, ila katika viongozi waliokuwa na focus ni JPM. Nadhani bila yeye hata ili jukwaa tungelikimbia kitambo sana.

Angalia vituo, Air Tanzania, Roads, Madaraja, Flyovers, Elimu Bure, Bandari, Umeme mijini na vijijini, Maji, SGR, Terminal III, JNHP, Mikataba ya Madini, Dodoma na kadharika.

Bado unasema hakuwa na ufahamu wa biashara kweli. Mbona tunakuwa wepesi kusahau hivi?

Mama kuna vitu anaviweza, ila kusema ukweli in comparison with JPM ana pwaya. Hata wewe unajua hili. Ingawa a napambana kadri ya uwezo wake na gurudumu linaenda.

Hopefully mambo yataenda vizuri na tutaendelea kutoa dozi kwa Wakenya kwenye hi battle.

Turudi kwenye battle.

Tusileteane maneno ya kanga humu . Kama unataka kuonyesha miradi ya mama onyesha, hakuna haja ya kumtaja au ku linganisha na JPM. Hii siyo sehemu yake. Kafanye hivyo kwenye majukwaa husika. Yamejaa tele.

Mtakao soma hii, msini quote maana ndo mtakuwa mnaendeleza siasa humu. Soma, like, move on kwenye battle at hand. Nairobi vs Dar es Salaam.

Leteni mambo.
Pesa bil.600 ya korona nyie majizi mlipeleka wapi? Mbwa nyie mumachia nchi madeni kama yote afu hakuna cha maana mumefanya zaidi ya liability projects
 
Kagongwa baba yako ndio maana unasikia harufu ya mavi yake..

Mimi huwa namsukumia moto mama yako kwa hiyo heshima ichukue mkondo wake
Afu we choko tuheshimiane, hii thread unaiharibu kwa usenge wako afu moods wanakuangalia tu, hivi vinuka mkojo vilivyoingia jf kwa free WiFi za kwenye restaurants vina ondoa heshima ya hii forum
 
Back
Top Bottom