Apo kwenye magizo kutofanyiwa kazi...kiukweli imekuwa kama kasumba sasa sijui tatizo nin?Serikali gani ya kipuuzi haijawahi kutimiza ahadi iliyosema, yn ni upuuzi kushoto kulia, serikali imejaza wajinga kwenye system, hakuna agizo hata moja lililofanyiwa kazi ni upuuzi tu na kutembelea nyota ya JPM.
Kwani apo zambia aliye chukua nchi ni mpinzani ? Apo akuna kilicho badilika zaidi ya walio kuwa chama tawala wamerudi madarakani....swali la msingi ni kwanini Zambia chama cha upinzani kimeshindwa kutimiza majukumu? Vyama vya upinzani Tz vina kitu cha kujifunza apo....CCM iwe tayari nayo siku ikinyukwa si kuwa bingwa wa kusimamia mabadiliko nchi nyingine tu!
Mkuu mbona umewaka hivyooKilichobaki ni kulazimisha machanjo machanjo machanjo ili kupata pesa za bure pumbavu kabisa, yn tunatoka kwenye misingi matozo kila kukicha, masafari safari yasiyokuwa na mpango wowote na tena unatumia ndege kubwa kabisa yn safari moja tu unajenga road ya changarawe kijijini, tuna katiba mbovu sana.


Ukitak kuficha kitu vizuri kiweke hadharan ...
Ivi ww iyo ubongo wako inafany nini hasa ya mana...?kwanza niambie ni wapi serikali haijawekeza Tz hii kuanzia majini,angani ardhini tena hapa ni kwa rail na barabaraAcha utoto wewe,unaweza linganisha investment ya barabara walivyofanya Ghana na Tzn? Chukua value ya sgr hadi sasa kalinganishe na value ya miundombinu waliyofanya afu urudi hapa.
Tzn hapa kuna propaganda nyingi Sana wakati uhalisia ni zero,yaani miaka 5 serikali inajenga km 2500 za lami ndio uwekezaji mkubwa? Hadi sasa hivi mikoa kibao ina mavumbi bado afu mtu anasema mambo makubwa ,yapi hayo?
Matilioni ya air Tzn yamezalisha nini zaidi ya hasara?
Unakisoma ili upate ujinga au?Tumia akilikitabu kina elimu ila hakina akili
Uchumi ni mali uliyo nayo siyo porojo porojo
Izi ni kashfa kubwa mzee zinaitaji uthibitishoWadau wa ndege wanasema mama ana komoa nchi kwa makusudi mzanzibar awezi kujali JMT hata siku moja sijui kama hii miaka 4 iliyo baki atamaliza
maana hadi kwenye majeshi ameanza kuchukiwa sana very very soon kunakitu kitatokea
Ghana ni kama uganda tu anglia video za miji yao mikuu utacheka hakuna uchumi wa kweli ni makaratasi tu
Yani ww ni mafiiii...na nimjingaaa wa mwishoooWapi ulipo cross ,miaka 5 iliyopita ilikuwa wastage hakuna kitu mwendazake alifanya zaidi ya kuua uchumi.
Miradi tembo mweupe yote aliyoanzisha hakuna hata mmja uliokamilika
We ni mshamba mzee, eti kisha hapo unajisifia ya kwamba una nyumba wakati hujui hayo mapipa kazi yake ni ganiMaji yanatoka siku mbili kwa wiki thus y vibanda vingi vimeamua kufungua viwanda vya mapipa![]()


Hamna nchi ina mfumo mbovu wa Uchumi kama Ghana umesahau wanazalisha mafuta pia ila wana debt to GDP ratio ya around 75% yaani wanashindana na Kunyaland! Pitia sources uone!Wale jombi wanauza dhahabu na kokoa sio mchezo mzee Ghana wapo vizuri ondoa wivu anglia kwa jicho la uhalisia
citinewsroom.com
We mgao wa umeme bongo unajifanya umesahau eeh labda kama hukai bongo mzeeNdio kutoka growth ya 7% (2015) hadi 4(2019). The same to FDI kutoka @$1b (2016) hadi below hiyo mark kwa miaka yote 5 ni juzi tuu alivyoingia Samia ndani ya miezi 4 FDI zimefika hiyo mark na humu JF taarifa zipo usijifanye hamnazo.
Miradi ya Magu hakuna uliokamilika ukaanza kuleta tija so far,alichocheza vizuri ilikuwa sekta ya Madini ya gold tuu.
Niko negative au na crash sera mbovu za Uchumi za Mwendazake? Nasema hivi 5 years ago it was a wastage , uchumi ulianguka serikali ilitegemea mikopo na kupora pesa za watu huku ikilisha wajinga waliojazana nchi hii propaganda.
Uchumi ndio sasa unaanza ku rebound sasa na hakuna mtu anaporwa pesa na imani ya business community imerudi sasa wait utaona maisha yanaenda bila kukunja ndita na kufokeana.








ukisikia mwehu ndio huyu sasaSina muda wa kukuletea makanisa kuprove point. Makanisa yenye madirisha ya namna hiyo hata bongo yapoEbu angalia madirisha ya hio Kanisa na ufananishe na mosque hizo zingine🤔
Mbona fresh tujuu umeshaitikia mmejenga "ikulumosque",Sasa twangoja Mletewe Sheria law sndio🙈🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣
Inamanisha ni jinsi gani tunamkumbuka Mungu hata wakati wa Raha. By the way ndio maana tumewapa tenda ya SGR waturuki ili watufunze dini zaidi + Egypt, hapo vp ngedere wanguBlablabla hizo zote na bado haifichi Msikiti,mmejenga Msikiti!!!!!🙈
Mapendekezo yametolewa Sana ila maccm huwa yanafanya mambo ambayo itawaletea sifa na kura kwa wajinga hata kama haiwasaidii.
Tumependekeza Sana lakini ccm haielewi kwa mfano washushe VAT hadi 12% kutoka 18% Ili tutumie zile mashine zao kwenye biashara.
Tumesema ccm ipunguze mlokongo wa mataasisi ya udhibiti imagine ukitaka kufanya biashara Halali ya let say timber supplier haitakaa upate kitu ,hapo fire,tfs,TRA,wakala wa vipimo, Halmashauri,mbrella ,leseni ya biashara na kibali cha kusafirishana .Kote huko unazungushwa unatumia mda na pesa wameshindwa kuweka window moja ya kulipia na kupunguza matozo matokeo yake kila taasisi inakomoa mfanyabiashara.
Huo ni mfano mmja tuu,nchi ya Tzn ina taasisi za udhibiti nyingi kuliko facilitors,na matokeo yake ukijifanya unafuata sheria hutoboi kwa hiyo lazima tukwepe kodi na tumalizane na maafisa Ili ku survive .
Kwenye miundombinu sasa Nako hawajengi miundombinu yenye tija kwa watu,nakupa mfano mdogo toka wameanza kujenga mastendi makuubwa yameleta tija gani? Jibu ni hakuna.
Kwa wale mnaofahamu mkoa wa Rukwa ccm walijenga barabara inatoka mjini kwenda port ya Kasanga hiyo road si tuu haina traffic bali hakuna inachozalisha,wakaacha barabarani inayotumiwa na watu wengi blonde la Rukwa na kuna uzalishaji.Miradi ya kipuuzi Kam hiyo iko mingi Sana nchi hii,Sasa serikali za watu dizaini hii si ni za wajinga tuu.
Tumeijenga kwa pesa zetu wenyewe.🤣🤣