Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Huko kwa Buhari ni mbali,hao Wazambia ni kawaida yao kubadili uongozi lakini hakuna tija wamewahi kuipata,huyo HH ni mfanayabiashara kama wengine kwa hiyo hakuna jipya atafanya,nchi yenyewe ile ilizoea maisha ya subsidies wakalemaa sasa wanalazimisha raha wakati nchi wameuzia China.Mwaka jana uchumi umeingia kwenye recession sasa hiyo nayo ni nchi?Siku zote ni rahisi kuona makosa ukiwa nje ya uwanja,
same happened to Nigeria, hawana Hamu na Buhari .
Ndio maana mimi siamini kwenye vyama vya siasa, waafrica ni walewale wawe upinzani au Chama tawala, better kuamini kwenye uwezo binafsi wa kiongozi.
Ni furaha ya kubadili watawala lakini on ground hakuna kitu kitabdilika


