Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Nairobi maeneo mengi yako hivo!😂😂😂😂😂View attachment 1894397View attachment 1894398
Nairobi maeneo mengi yako hivo!😂😂😂😂😂View attachment 1894397View attachment 1894398
Hyo nayo city kw upande ule wa tzThis is zanzibar they dont showwhen any tourist sees this image, boom trip cancelled
View attachment 1893620
Saivi mama yuko nao sambamba ngojeni GDP ya Tz next year....
Duh!! We mzee mshamba sana kumbe..unajua sababu ya matenki au unakurupuka tu
Business district tamu sana na ukumbuke hku kwetu hyo ni ya kawaida
Aisee......vumilia tu, ya umeme itafika hivi karibuni
wachana na chuma chetu..,
View attachment 1894306
View attachment 1894314
View attachment 1894312
Hili ndio tatizo la kufanya kitu kisa mwenzako anafanya, mwanza sgr inapita ikifanya nini..Sasa SGR ya Tanga Musoma ingecost zaidi...we can actually kill 3 birds with one stone
GOT should make Tabora be the junction...
kama tutajenga Makutupora to Isaka via Tabora..which is one of most important phases...
Then Tabora to Kigoma ..for DRC and passengers
Tabora to Mpanda ...zote hizo zinaweza acess DRC itategemea sasa Goverment itaamua kupita wapi...
Isaka itadeal na Isaka Kigali na Isaka to Musogati via Keza ....
Isaka to Mwanza ita deal na Uganda ..via L.victoria...Uganda wakionesha nia zaidi itajengwa kupitia kagera miaka ijayo
Ghana ametuacha 8 bill, Angola anakuja kwa kasi tunayo kazi ya kufanya pia naona Ethiopia hataki mchezo anamtafut morroco
Nyumba za tofauli hzo, au ni rangi ndio unataka
Saivi kwakua mama anaendana nao ngojea utaona next time ....sababu km ni miradi ya kimkakati ya kustimulate uchumi tumefany lkn wameamua kuziba maskioHiyo $64 bln haibadiliki? Mbona kwa miaka mingi inatajwa hiyohiyo tu? Nadhani tume-cross $70 bln mark!
Ninapokuwa siweki emoji kwenye post zng uwe unatambua nipo serious kiasi gani.Somo limekuingia hilo, usijali next time wala hutokurupuka tena manake haswa ulijitia mjanja kukwepa nilichomaanisha lkn sasa naona zimekukaa sawa
Mkuu saivi kwakua mama yuko nao sawa...utashangaa ...ngoja mwakani tuombe uzima tu....hawa watu wako vyema kwenye kuzima dataNdo nmeuliza na mm mkuu kumbe ulishauliza, kuna mda mara 67 zen 64, haya mambo ya GDP ni upuuzi mtupu.
Hamna kitu apo mkuu, wenzetu namba zinaongezeka sisi daily tumekwama hapo hapo kwenye 64 na wkt mwingine inakuwa 67 at the same time nchi miradi kila kona tena mikubwa mikubwa na hali ya commercial nchini iko vzr.Ghana ametuacha 8 bill, Angola anakuja kwa kasi tunayo kazi ya kufanya pia naona Ethiopia hataki mchezo anamtafut morroco
Niliskia majirani wakijinadi wako above 100b
Watasema hatuja rebase uchumi na propaganda kibao za kipuuzi ilihali nchi iko vzr tu.Saivi kwakua mama anaendana nao ngojea utaona next time ....sababu km ni miradi ya kimkakati ya kustimulate uchumi tumefany lkn wameamua kuziba maskio
Maji yanatoka siku mbili kwa wiki thus y vibanda vingi vimeamua kufungua viwanda vya mapipaDuh!! We mzee mshamba sana kumbe..unajua sababu ya matenki au unakurupuka tu








Ghana hiyo yenye debt to GDP ratio ya over 70%?Ghana ametuacha 8 bill, Angola anakuja kwa kasi tunayo kazi ya kufanya pia naona Ethiopia hataki mchezo anamtafut morroco
Niliskia majirani wakijinadi wako above 100b
Hii project imeongeza uzuri wa fukwe zetuUpdate: over 1 km Selander`s Tanzanite cable stayed bridge!
Wanatufanyia kusudi ili tujue mbabe nani....Hamna kitu apo mkuu, wenzetu namba zinaongezeka sisi daily tumekwama hapo hapo kwenye 64 na wkt mwingine inakuwa 67 at the same time nchi miradi kila kona tena mikubwa mikubwa na hali ya commercial nchini iko vzr.
Na ukiangalia vitu walivyo fanya Ghana na sisi ....sisi ni zaidi lakin wameamua kutukwamisha kusudi....Ghana hiyo yenye debt to GDP ratio ya over 70%?