Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Kama uhuruMtalii huyu.
Kama uhuruMtalii huyu.
unajua anapotumia Air Tanzania serikali inakodi hiyo ndege? Sasa kipindi hiki cha corona ni anaipa boost Air Tanzania!
Kikwete kachanja wacha kumzushia! Wewe, Marehemu JPM na familia yako ndo hamjachanja!Hahahahaaa huyu mzee pilika zake zootee na mabarakoa kila sehemu sijamuona kuunga mkono juhudi za chanjo![]()
Tena na mbali sana. Tangu aingie urais ametembea nchi nyingi kuliko Uhuru alivyotembea. In fact since Samia aingie Urais Uhuru ametembelea UK pekee. Samia naye ametembea Ug, Kenya, Rwanda, Burundi sasa ako Malawi.
Hivi hizo ghorofa zao wanaoishi mle uwa wanajiamini nini kwenye uhai wao 😃Ndani ya Nairobi unaambiwa wana shida ya maji kuliko Afghanistan, maji kwa wiki yanatoka mara mbili, no wonder unakuta banda lina mapipa kama kiwandaView attachment 1893634
Wapi ulipo cross ,miaka 5 iliyopita ilikuwa wastage hakuna kitu mwendazake alifanya zaidi ya kuua uchumi.
Miradi tembo mweupe yote aliyoanzisha hakuna hata mmja uliokamilika
Mbona unakua negative kwa kila kitu mkuu?
CCM ni wazee wa unafiki siku zoote!Sisi kwa kusimamia chaguzi za watu hatujambo lakini zetu 🤔
Hawo jombi achana nao kabisa hata chuma nae alifeli hapo tuu kwenye uchaguziCCM ni wazee wa unafiki siku zoote!
ofcourse kenya ni moja wepo!Basi Kenya si miongoni mwao
Wacha maneno mbofu mbofu Geza, je wewe umechanja? Niache nilale sitaki matatizo na wanadamu mimi, hako kaugonjwa unakoka hype sisi tumeumwa na ndiyo tunakwambia hamna kitu pale zaidi ya siasa, je wewe umeumwa hako kaugonjwa, wacha nilale sitaki ugomvi na mtu leo usiku mwema.Kikwete kachanja wacha kumzushia! Wewe, Marehemu JPM na familia yako ndo hamjachanja!
Ebu angalia madirisha ya hio Kanisa na ufananishe na mosque hizo zingine🤔Kwa taarifa yenu Tanzania iko inspired na hizi dini kubwa za Uislam na Ukristo
1. Tanzania State House: 2. Church in Sicily, Italy: 3. Masjid alrajhi in Mecca Saudi Arabia
View attachment 1894316 View attachment 1894321 View attachment 1894331
juu umeshaitikia mmejenga "ikulumosque",Sasa twangoja Mletewe Sheria law sndio🙈🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣Kwa taarifa yenu Tanzania iko inspired na hizi dini kubwa za Uislam na Ukristo
1. Tanzania State House: 2. Church in Sicily, Italy: 3. Masjid alrajhi in Mecca Saudi Arabia
View attachment 1894316 View attachment 1894321 View attachment 1894331
Blablabla hizo zote na bado haifichi Msikiti,mmejenga Msikiti!!!!!🙈Na hata zikifanana na msikiti au kanisa shida iko wapi? Nchi yetu ina dini kubwa mbili, hapa tukitumia structure ya kiislam pale tunatumia structure ya Kicristo.
Mfano bendera ya taifa kuna kijani na njano ilhali wimbo wa taifa ni kwaya