Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niko negative au na crash sera mbovu za Uchumi za Mwendazake? Nasema hivi 5 years ago it was a wastage , uchumi ulianguka serikali ilitegemea mikopo na kupora pesa za watu huku ikilisha wajinga waliojazana nchi hii propaganda.

Uchumi ndio sasa unaanza ku rebound sasa na hakuna mtu anaporwa pesa na imani ya business community imerudi sasa wait utaona maisha yanaenda bila kukunja ndita na kufokeana.
ingependeza zaidi unapoponda kidogo uwe unatoa na pendekezo/ushauri wa kipi kifanyike
 
Mimi nimeumwa corona wiki mbili zilizopita, hakuna ugonjwa wa kuogopa pale dalili na maumivu yake hayatofautiani na marelia kali, lkn sasa serikali hili bovu lina ajenda yake ya mikopo, mm siwezi kuwa mnafki hata iweje mana naipenda sana hii nchi cz sina nchi nyingine ya ku brag zaidi ya Tz, sasa ninapoona mambo yanaenda ndivyo sivyo nitasema tu
Kweli kabisa Corona ni kama malaria kali, hata mimi mwaka jana nilipoumwa niliwaza hivyo hivyo.
 
Hili ndilo tatizo lingine, yani hii nchi hakuna chama kiko serious zaidi ya CCM, mm ni mwana CCM wa kuzaliwa lkn nilipenda cku moja hii nchi iwe chini ya chama kipya ila ndio hivyo haiwezekani mana viongozi wote wa upinzani ni malaya.

Tatizo hata tukipiga chini ccm tunamuweka Nani pale? Hawa mafala kina lisu?
 
Niko negative au na crash sera mbovu za Uchumi za Mwendazake? Nasema hivi 5 years ago it was a wastage , uchumi ulianguka serikali ilitegemea mikopo na kupora pesa za watu huku ikilisha wajinga waliojazana nchi hii propaganda.

Uchumi ndio sasa unaanza ku rebound sasa na hakuna mtu anaporwa pesa na imani ya business community imerudi sasa wait utaona maisha yanaenda bila kukunja ndita na kufokeana.

Imagine watu milioni mbili wana akili kama hizi wanaenda kupiga kura.
 
Umeona nini hapa?

Shots_2.png


shots_1.png
 
huwezijua labda ndege ya Rais ni ndogo kwa mama!
Wadau wa ndege wanasema mama ana komoa nchi kwa makusudi mzanzibar awezi kujali JMT hata siku moja sijui kama hii miaka 4 iliyo baki atamaliza
maana hadi kwenye majeshi ameanza kuchukiwa sana very very soon kunakitu kitatokea
 
m naona ni athari za upinzani kuchukulia kilakitu negative malalamiko yasiokua na msingi raisi kutumia ndege ya shirika la serkali

embu chukulieni hili swala in a positive way raisi akiendelea kutumia ndege ya shirika baada ya 6 8 9 yrs atakua kalisaidiaje shirika?

mie naona poa tuu ka ViP waicostomize iwe ya raisi 1kwa1 tuu
 
Wadau wa ndege wanasema mama ana komoa nchi ni kusudi mzanzibar awezi kujali JMT hata siku moja sijui kama hii miaka 4 iliyo baki atamaliza
maana hadi kwenye majeshi ameanza kuchukiwa sana very very soon kunakitu kitatokea
kuhusu majeshi kumchukia mama n uongo! katoa promotion kwe majeshi yote 'niishie tu hapa!! ila assumption sio sawa
 
Back
Top Bottom