LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,511
- 3,921
Kwa hiyo TZ inaongozwa kwa historia ya chama na siyo katiba ya nchi? Acha kukariri maisha dunia inabadilika haraka sana wewe baki na mawazo yako mgando (negativity everywhere). Wapi ndani ya katiba ya ccm imeandikwa kwamba Premier hatawahi kuja kuwa mgombea wa urahisi?Unaota wewe hata historia ya chama hujui,kwa ccm ukishakuwa na vyeo kuanzia pm kwenda juu kamwe hutakaa uingie ikulu,si TU no vyeo bali vinachukuliwa kama ulaji.
Tusubirie 2030 uone kama huyu mtu wako atakuwa Rais.

