Hilo kundi la msoga ndio lilifanya watanzania waichukie sana ccm 2015, hata Upinzani wakajipatia umaarufu na kufanya Yale mafuriko wakati Wa campaigns za uchaguzi mkuu 2015, wabunge wengi Wa ccm wakapoteza majimbo..
Jemedari JPM kwa utendaji wake uliotukuka akarejesha heshima ya chama na watu wakaoma upinzani ni mafala tu kwenye uchaguzi Wa mwaka jana,
Yule mwendawazimu lisu hakuwa na agenda zaidi ya kuomba huruma ya wananchi.
Sasa naona tunarudi hatua 100 nyuma na Chama cha kijani kinaanza kuchukiwa kwa kasi kupitia utendaji mbovu na incompetency ya hali ya juu ya mama na watendaji wake kina mwigulu sijui nani
Natamani tungekuwa na mpinzani anaejielewa kama Bobi Wine tumpigie kampaign achukue nchi.