The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Katiba ya karne ya 20 inakwenda kuamua maisha ya watu wa karne ya 21 ni upuuzi usio na kipimo.
Usiongee kitu usichojua kwa taarifa yako ikulu ya Dodoma ni replica ya ikulu ya magogoni ambayo ilijengwa na Wajerumani sijui hayo mawazo yako ambayo ni myopic umetoa wapiKwa taarifa yenu Tanzania iko inspired na hizi dini kubwa za Uislam na Ukristo
1. Tanzania State House: 2. Church in Sicily, Italy: 3. Masjid alrajhi in Mecca Saudi Arabia
View attachment 1894316 View attachment 1894321 View attachment 1894331
CCM iwe tayari nayo siku ikinyukwa si kuwa bingwa wa kusimamia mabadiliko nchi nyingine tu!Najua kwa jakaya hakuna kilichoharibika
Hakuna chama cha siasa kiko serious tanzania ndio maana hata kuipa challenge ccm bado sanaCCM iwe tayari nayo siku ikinyukwa si kuwa bingwa wa kusimamia mabadiliko nchi nyingine tu!
😂😂😂 Kwenye maneno 100 ya mkenya chukua moja uondokekule ufaransa alienda mama ngina?
Hili ndilo tatizo lingine, yani hii nchi hakuna chama kiko serious zaidi ya CCM, mm ni mwana CCM wa kuzaliwa lkn nilipenda cku moja hii nchi iwe chini ya chama kipya ila ndio hivyo haiwezekani mana viongozi wote wa upinzani ni malaya.Hakuna chama cha siasa kiko serious tanzania ndio maana hata kuipa challenge ccm bado sana
Watampoteza huyu wewe subiri uone.



