Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This will be my best interchange of all, can't wait for it's complition😍❤️❤️

Screenshot_20210726-143608~2.png


Screenshot_20210726-143557~3.png
 
Safi kabisa hzo ndio nchi zenye pesa 🤲🤲
 
Hiyo $64 bln haibadiliki? Mbona kwa miaka mingi inatajwa hiyohiyo tu? Nadhani tume-cross $70 bln mark!
Wapi ulipo cross ,miaka 5 iliyopita ilikuwa wastage hakuna kitu mwendazake alifanya zaidi ya kuua uchumi.

Miradi tembo mweupe yote aliyoanzisha hakuna hata mmja uliokamilika
 
Usiongee kitu usichojua kwa taarifa yako ikulu ya Dodoma ni replica ya ikulu ya magogoni ambayo ilijengwa na Wajerumani sijui hayo mawazo yako ambayo ni myopic umetoa wapi
Wewe ndio hujui kitu. ni replica yenye improvements na haikujengwa na Mjerumani bali Muingereza kima wewe hujui kitu kadandie miti
 
Na ukiangalia vitu walivyo fanya Ghana na sisi ....sisi ni zaidi lakin wameamua kutukwamisha kusudi....
Acha utoto wewe,unaweza linganisha investment ya barabara walivyofanya Ghana na Tzn? Chukua value ya sgr hadi sasa kalinganishe na value ya miundombinu waliyofanya afu urudi hapa.

Tzn hapa kuna propaganda nyingi Sana wakati uhalisia ni zero,yaani miaka 5 serikali inajenga km 2500 za lami ndio uwekezaji mkubwa? Hadi sasa hivi mikoa kibao ina mavumbi bado afu mtu anasema mambo makubwa ,yapi hayo?

Matilioni ya air Tzn yamezalisha nini zaidi ya hasara?
 
Tena na mbali sana. Tangu aingie urais ametembea nchi nyingi kuliko Uhuru alivyotembea. In fact since Samia aingie Urais Uhuru ametembelea UK pekee. Samia naye ametembea Ug, Kenya, Rwanda, Burundi sasa ako Malawi.
Ulitaka asijitambulishe ? Ajifungie Ili avumbue? Yule aliyejifungia yuko wapi saizi?
 
Serikali gani ya kipuuzi haijawahi kutimiza ahadi iliyosema, yn ni upuuzi kushoto kulia, serikali imejaza wajinga kwenye system, hakuna agizo hata moja lililofanyiwa kazi ni upuuzi tu na kutembelea nyota ya JPM.
Hadi 2030 kama utakuwa hatujafukia kwa pressure basi itakuwa bahati,SSH 😁😁
 

DED wa hiyo Manispaa kabla ya kutimuliwa alikuwa mteule wa Mwendazake hakuna aliyemhusa Mwakibibi akiwemo PM mwenyewe alikuwa ananywea kwa hiyo na Kakoko .

Awamu iliyopita kulikuwa na majizi,maporaji ,majambazi nk kwa mgongo wa uzalendo,saizi yanaumbiana huku Sabaya huku Pm,Mwakabibi ,kule Gwaji boy na Chanjo.
 
i like the fact that hana habari na mambo ya corona, nadhan baada ya mama huyu ndo rais ajaye

Unaota wewe hata historia ya chama hujui,kwa ccm ukishakuwa na vyeo kuanzia pm kwenda juu kamwe hutakaa uingie ikulu,si TU no vyeo bali vinachukuliwa kama ulaji.

Tusubirie 2030 uone kama huyu mtu wako atakuwa Rais.
 
Hakuna wivu hapa nashangaa tu, upuzi gani huu mmefanya nyie vilaza?.., eti ikulu!!! Tanzania ni taifa la dini ya kiislamu?.., sina ubaya na dini, lakini hiyo ndio picha.
Acha chuki zisizo na msingi, walioanzisha ujenzi wa aina hiyo ni wajerumani, walifanya hivyo kutokana na mazingira ya joto maeneo ya pwani. Waliendeleza ujenzi huo nchi nzima, hadi ndani ndani huko kwenye maboma yao.
A religious monument.., nothing more 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 dini sio uhuru, ni utumwa pia 😂 😂
View attachment 1894246
Siyo "religious monument", huu usanifu wajerumani waliupenda sana kwasababu unafanya jengo kuwa na kaubaridi ndani.

Hicho kibaraza kinachozunguka nje kinatengeneza barrier ya ubaridi kati ya ukuta wa nje na jumba lenyewe ( kama double glazing inavyofanya kazi).

Angalia hapo chini jengo la Dar city council na station ya Kigoma utaona kuna kile kibaraza kinachozunguka jengo, yote yalijengwa na wajerumani zaidi ya mika 100 iliyopita.

2.png


1.png
 
Back
Top Bottom