Leo nataka nitoe mfano kidogo ila wakenya mnapaswa kujibu msikimbie kimbie,,ni hivi kwa hapa Dar tunatumia aina mbili zote za aina ya ujenzi wa makazi tukijumuisha estate na ujenzi houses moja moja kwa individual,,,
ila hatuna estate nyingi kiivyo ila kwa upande wa individual houses mmoja mmoja ni nyingi sana kuliko estate i hope hata nairobi itakuwa ni hivyo hivyo sema mnachofanya ni kuruka ruka na kukwepa upande wa individual houses ,,,,sababu kiuhalisia hizo estate mnazokazana kupost hapa haziwezi kuhifadhi idadi ya watu wote wanaoishi nairobi,,,,



swali la msingi je individual houses mbali na estate kwa nairobi mbona hamzipost..?,,dayle mnakazana na runda estate n.k,,
hapo chini ni mfano wa baadhi ya estste na nyumba zinazomilikiwa na mtu mmoja mmoja na nyie mtuinyeshe tuone
View attachment 1796263View attachment 1796264View attachment 1796265View attachment 1796266View attachment 1796267View attachment 1796268View attachment 1796269View attachment 1796270View attachment 1796271View attachment 1796272View attachment 1796273View attachment 1796274View attachment 1796276View attachment 1796278