Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kelele peleka Tandale


Ime assemble magari mangapi? Imeuza kwa wangapi na imetengeza faida kiasi gani 🤣🤣

hzi ni failed projects hata ww unajua ila utabisha tu kisa uonekane huna aibu 🤣🤣

hvi serious mkenya na vw ni wapi na wapi hzo probox munamuachia nani??

afadhal hata vw ya rwanda kidogo ni wanunuzi wa vw 🤣🤣🤣
 
Ardhi yote wamechukua politicians, wamewaacha kina Nicxie kujisifu na mashamba ya urithi ushagoo, shamba moja wajukuu 200, inasikitisha sana
Yani sio wao tu mpaka familia zao na relatives zao just imagine🤣🤣🤣 na pia kuna wale investors wameingia jv na wakuu wa idara za serekali 🤣🤣🤣
 
Tanzania total area is 945,087 km²
Population tanzania is 60m

kenya total area is 580,367 km²
Population kenya is 55m

naomba tutumie hesabu za dukani sio za kiuchumi, naomba tutumie basi mathematics and not pure mathematics 🤣🤣🤣🤣
 
Kwani huoni imeandikwa Dar? Tuambie ni wapi. Mimi siishi uswazini nipajue ni wapi
Kwahiyo hapa napo ni Dar kwasabu mkunya kaandika ni Dar c ndiyo we kima
JamiiForums896497720.jpg
 
Back
Top Bottom