Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ni wapi jombaa
I mara ngapi mmekana picha za Dar? Ama unadhani hatuwajui kwa kukana picha za Dar? Unajifanya hujui unapoishi jombaa
Screenshot_20210523-235214~2.png
 
Tz ni kubwa mara 3 ya Kenya lkn difference ya watu ni only 5mil people
Kwani tz siku hzi mko 52m people
Tena hapa tunaongelea hivi inakuaje ndani ya miaka 60 mnatoka malaki mpka milioni 60. Hpo hesabh za hraka haraka we kwenu wakumi
 
Mwenzako kasema hyo india
Nyumba za kiswahili kabisa hzo jamaa anasema eti india
It's not their first time wao kukana picha za Dar. Wamekana picha za Dar hapa nyingi sana. Hata hii hapa wangekana tu tatizo ni kwamba BRT inaonekana so hawawezi
images(129).jpg
 
Back
Top Bottom