Wacha nikuelimishe kidogo. In Nairobi, most houses ni apartments. Hakuna mahali utaenda nairobi ukokosa apartments kando na mitaa za kifahari. Hizo apartments unaona kuna zile ambazo zinajengwa kwa minajili ya kuuza na watu hizinunua sana. Ama mtu akinunua nyumba kwenye apartment si homeowner? It happens even in the US.
Secondly, nyumba za chini kama hizo ulizopost pia zimejaa Nairobi. And just like apartments, hizi pia kuna zenye zinajengwa kwa ajili ya wanunuzi. Kuna pia watu ambao wanajinunulia plot na kujenga wenyewe from scratch. We've given you so many examples here but shida yenu ni kwamba hamtaki kuona kitu kimepangika kiustarabu. Mkiona hivyo mnasema ni estate. Sasa mimi nashangaa estate ni nini kwani? Isn't it just a residential area?
Below are a few examples za sehemu kuna individual houses sasa sijui hizi pia 'estates’
Haya ni maeneo ya Utawala, Ruai na Syokimau kule Eastlands. Most people here wamejinunulia ardhi na kujenga nyumba zao
View attachment 1796326View attachment 1796327View attachment 1796329View attachment 1796330View attachment 1796331View attachment 1796332View attachment 1796333