ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kuandikwa sio tatizo hata slum ya india waliandika dar au nikuletee ushahidi hapa🤣Kwani huoni imeandikwa Dar? Tuambie ni wapi. Mimi siishi uswazini nipajue ni wapi
Kuandikwa sio tatizo hata slum ya india waliandika dar au nikuletee ushahidi hapa🤣Kwani huoni imeandikwa Dar? Tuambie ni wapi. Mimi siishi uswazini nipajue ni wapi
Is this tanzania ??👇👇🤣🤣 hebu niambie kibera iko tanzaniaKwani huoni imeandikwa Dar? Tuambie ni wapi. Mimi siishi uswazini nipajue ni wapi
Office buildings in residential areas? 😂 😂 😂So ww ukiona gorofa basi appartments?? Zingine ni hotel zingine ni office building zingine ni international buildings like UN etc ww hutumii akili ama ?? 🤣🤣🤣 au unajiskia vibaya kuambia masaki inaukubwa sawa na mombasa
Where is ?? Tuoneshe plz 😂😂😂😂German chancellor Angela Markel pays visit to kenya to negotiate deal about expansionView attachment 1797582 of Volks wagen Plant in Thika
Vipimo vya twiga uliskia hapo poriniHawa ndio watufundishe cc ku fence SGR eti
Wameshindwa hata kujua vipimo vya twiga eti waje watufundishe cc kulinda watu na wanyamaView attachment 1797518View attachment 1797519


Stop beating around the bush na vijisababu. We all know Dar has dreamhouses kushoto kulia, wacha kufanya hamnazoIs this tanzania ??👇👇🤣🤣 hebu niambie kibera iko tanzaniaView attachment 1797580
Tatizo lenu nyinyi ni washamba sana niliwaambia maisha ya huku hamuyawezi ndio maana huwez pata slum, mzungu mwenyewe kahangaika hakupata hio slumOffice buildings in residential areas? 😂 😂 😂
Alafu hiyo ni ofisi gani ya UN iko Dar? Tangu lini? There's only one UN office in Africa na inapatikana Nairobi
Hapo ni karibu na mbuga gani mzee, emu tujuzeKila siku nasema humu Kenya na Wakenya ni Mavi mnasema nawatusiView attachment 1797521View attachment 1797522

hatuwezi eka nyaya zetu eti kisa tuna wawaza twiga🤣🤣🤣🤣 umekasirika sasa kisa nimekupa bakora mzungu katumia technology inaona mpaka chupi ulioanika kwenye kamba na hakupata slum uje uone ww kiazi😁Stop beating around the bush na vijisababu. We all know Dar has dreamhouses kushoto kulia, wacha kufanya hamnazo
Chinchong companiesSiku hzi yutong, zongtong, benz, sunlong zinatengezewa kenya ??hii dunia kweli inazunguka jamani


Baada ya wakenya kuwasuta kw mda sasa ndio limewaingia akilini sasaSo nyie ndio mliotoa pesa za ujenzi au sio na kwamba nyie ndio mliopendekeza aina ya ujenzi au sio, safi sana![]()


Huku akiwala kw kutumia jina la uekezajiLkn anatengeneza ajira au sio![]()


Viko wapi sasa 🤣🤣🤣 au mulijenga juu ya mawingurais wa India, Narenda Modi azuru kenya kuhusu upanuzi wa viwanda ya kutengeneza madawaView attachment 1797592
Na miradi yenyewe iko wapi sasa 🤣🤣🤣sisi tumezoea tu kupokea waheshimiwa mashuhuri juu ya miradi
Kelele peleka TandaleWhere is ?? Tuoneshe plz 😂😂😂😂
constructionreviewonline.com