Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_1622003751177.jpg
FB_IMG_1622003747717.jpg
 
ha haa ona sasa mlivyo rush,tukiwaambia kuwa nairobi bado ,inabidi mkazane mjenge ili muifikie dar mnaanza kubwabwaja...

na isitoshe umerudi kule kule kupost baadhi ya vimin estate...

pambaneni hiyo city yenu bado sana
Unajua siwaelewi. Tukileta picha za gated communities, hamzitaki. Mnaziita 'estates'. Tukileta picha za apartments, hamzitaki mnaziita 'estates'. Tukileta picha za nyuma moja moja hamzitaki, bado mnasema ni estates. Hivi, mnaelewa neno estate maanake nini? Ama unataka tulete picha za uswazi ndio muone tuko sawa nanyi? Hili swala la residentials hamuweziguza Nairobi hata chembe.

Wenzako walishakubali kitambo sana sasa wewe endelea kujipa matumaini pasipo matumaini
👇👇👇👇👇😀😀😀

Screenshot_20190731-155642.png
Screenshot_20190731-130224.png
Screenshot_20190731-113026.png
Screenshot_20190731-111735.png
Screenshot_20190731-111614.png
Screenshot_20190731-111459.png
Screenshot_20190731-162008.png
Screenshot_20190731-155836.png
 
Unaji
Unajua siwaelewi. Tukileta picha za gated communities, hamzitaki. Mnaziita 'estates'. Tukileta picha za apartments, hamzitaki mnaziita 'estates'. Tukileta picha za nyuma moja moja hamzitaki, bado mnasema ni estates. Hivi, mnaelewa neno estate maanake nini? Ama unataka tulete picha za uswazi ndio muone tuko sawa nanyi? Hili swala la residentials hamuweziguza Nairobi hata chembe.

Wenzako walishakubali kitambo sana sasa wewe endelea kujipa matumaini pasipo matumaini
👇👇👇👇👇😀😀😀

View attachment 1797805View attachment 1797807View attachment 1797808View attachment 1797809View attachment 1797811View attachment 1797813View attachment 1797814View attachment 1797816
Unajifariji na mijitu isiyojielewa miaka 9 iliyopita
 
Yani mtu anakuambia Ruai iko poa kushinda Runda Kisa aliyejenga Ruai alisimamia mjengo mwenyewe wakati in Real sense, wenye pesa hawasimamii mijengo Yao Sana. 😂😂😂
Hiyo ndio akili ya kitanzania. Eti mtu anakejeli Runda wakati Tanzania nzima huwezipata sehemu kama Runda ama Muthaiga
 
Unaji
Unajifariji na mijitu isiyojielewa miaka 9 iliyopita
Mtu akiongea ukweli anabandikwa majina. Kuna wenzunu mmewapokonya hadi uraia wao hapa jf kisa wanasema ukweli. Why do you guys think that people must subscribe to your skewed ways of looking at things? Ndani ya hizo miaka tisa ni nini kimebadilika Dar coz uswazi wenu bado ni ile ile
 
Unajua siwaelewi. Tukileta picha za gated communities, hamzitaki. Mnaziita 'estates'. Tukileta picha za apartments, hamzitaki mnaziita 'estates'. Tukileta picha za nyuma moja moja hamzitaki, bado mnasema ni estates. Hivi, mnaelewa neno estate maanake nini? Ama unataka tulete picha za uswazi ndio muone tuko sawa nanyi? Hili swala la residentials hamuweziguza Nairobi hata chembe.

Wenzako walishakubali kitambo sana sasa wewe endelea kujipa matumaini pasipo matumaini


View attachment 1797805View attachment 1797807View attachment 1797808View attachment 1797809View attachment 1797811View attachment 1797813View attachment 1797814View attachment 1797816
hivi hivyo viuchafu wa aerial view ya nyumba 15 zilizopo jagwani nazo unaziita nyumba ,,,,huoni hata haibu,,,

mbona estate unaleta aerial view zaidi ya nyumba 10 kulikoni huo upande wa pili....?
 
hivi hivyo viuchafu wa aerial view ya nyumba 15 zilizopo jagwani nazo unaziita nyumba ,,,,huoni hata haibu,,,

mbona estate unaleta aerial view zaidi ya nyumba 10 kulikoni huo upande wa pili....?
Jifunze neno estate inamaanisha nini ndio uje na povu zako. Swala la residentials itawachukua miaka mingi sana kufikia Nairobi jinsi watanzania wenzako umeona wakikariri hapo juu.
 
Nashangaa sana na wengi wetu hapa watanzania mnataka kuilazimishia kenya umasikini kila saa kibera afrika nzima hakuna nchi utasema inaeza kujisamamia tuna changamoto sisi sote. Watanzania hapa wakiongea utadhani nchi yao ni marekani au ulaya na Kenya ni Burundi. Lakini ukweli wa mambo natumia kila mmoja anajua hali ilivyo katika nchi yake. Kubali hali yako ushughulike kuunda maisha yako sio kupiga kelele hapa ukimdhulumu jirani yako eti masikini ilhali wewe pia hata maisha yako binafsi haina muelekeo.
 
Hapo kwa miji huitaji kupiga kelele Siku nzima kujilazimisha kuwa miji yenu nzuri kuliko ya wengine. Google ina majibu yote utumie mtandao kueleza hoja sio kuropokwa ovyo ovyo mji mzuri huonekana tu hata bila kulazimishia watu eti imeendelea acha watu wajionee
 
Back
Top Bottom