Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just imagine😁🤣🤣🤣 alaf mtu anshangaa kibera kua na watu 2.5m people👇👇 mtu akirent bedsitter nae ni middle class😄😄😄 alaf wako hapa eti wanajifanya wazalendo kuficha chupi zao
85F35239-59BA-4F84-A27B-B70A45743945.jpeg
 
Hebu tuoneshe hzo appartment za mikocheni manake mm sizioni ?? Alaf nani alikwambia hapo ni mikocheni au umeshaanza kuchanganya dawa 🤣🤣🤣🤣
Ni wapi nimetaja Mikocheni kwa post yangu kijana wa Tandale? Masaki imekuwa Mikocheni? Ama umelewa?
 
Na hao hao ndio wameiba ardhi nairobi hekari kwa mahekari alaf wanaleta hasira hazina kichwa 🤣🤣🤣🤣 ukihesabu wanaomiliki estates ni wale wale tu wengine ndoto wataipatia mbinguni
1]Foreign investors
2] politicians
3] top businessmen
4]politician families and relatives

 
Itakua kuna shida ya maji sana ndio maana watu karibia wote wanafua siku moja na sehemu ya kuanika walisahau kwenye design ya ujenzi
Kwenye hizo dreamhouses zenu mtu huanika manguo wapi? Afadhali hao wa Pipeline have a place for that. Je hawa wenu?
images(97).jpg
 
Huyu atakamatwa 🤣🤣🤣 lakini governor alieiba 1000 acres of land hawezi kamatwa milele🤣🤣🤣👇👇👇
 
Kwa watanzania wote kwenye huu Uzi, ujinga wako haina kipimo! Ni macho huna ama maana ya neno apartment ndio hujui? Ama ni ubishi tu kama ilivyo desturi yako? Or are you just plain stupid? Which one are you?
So ww ukiona gorofa basi appartments?? Zingine ni hotel zingine ni office building zingine ni international buildings like UN etc ww hutumii akili ama ?? 🤣🤣🤣 au unajiskia vibaya kuambia masaki inaukubwa sawa na mombasa
 
Ni wapi ?? Tabata, tandale, magomeni au ni wapi siku utapata ni sehemu gani tag me na siku hio hutakaa kunisahau maisha 🤣🤣🤣 picha za google slums ya india inaandikwa dar
Kwani huoni imeandikwa Dar? Tuambie ni wapi. Mimi siishi uswazini nipajue ni wapi
 
Back
Top Bottom