Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
crane
insurance italipa tena imetoka Songosongo! Makampuni ya gesi yana insurance kubwa sana!
crane
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwasababu wanakupa ukweli na facts, hamupendi ukweli nyinyi munapenda kusifiwa uongoMimi siku hizi I chose to ignore their skewed ways of looking at things coz I know it won't change obvious and screaming facts. Ni wabishi tu naturally save for a few of them. Mtu kama Tuusan you can have a very good conversation with but most of them are just stupid
I always say that ujamaa ulilemaza hawa watu big time. Yani they believe that mtu hawezi akajituma aboreshe maisha yake kivyake. Yani wenzako wakiwa maskini, wewe pia utakuwa tu moja wao coz huwezijituma. Wao wanashangaa kuona such big real estates being owned by individuals jambo ambalo ujamaa haikuruhusu. Charles Njinjo is a renowned businessman. Sasa akijituma aongeze angalau shilingi mia kwenye kapu lake kuna shida gani? Why must somebody take offence for his reaches wakati hakuzuia mtu yeyote kujituma na kujiendeleza?
Zimejaa zikwapi hebu tuoneshe unless masaki huijui wewe 🤣🤣🤣 nilikwambia masaki ni kubwa sawa na mombasa nzima sasa ndio ushangae hapoUnaoongea kuhusu mabweni wakati hizo hizo mabweni zimejaa mtaa wenu wa kifahari kuliko zote Masaki where you would expect to find decent houses. Nyinyi walalahoi mnasukuma gurudumu la maisha kwa shanties christened as dreamhouses alafu unadiss apartments wakati mabwenyenye wenu wanaishi kwenye hizo apartments kule Masaki!!! How funny!
Wanashangilia kuona misitu hawajui ni mali za watu wamekaa kimya 🤣🤣🤣 na kama wanabisha waambie wavamie waoneHamna tatizo ndio maana familia ya kenyatta na moi na wazungu kama delamere wanamiliki ma hectares nyinyi mpo tuu kimya
Ni kweli kuna slum lakini kenya kuna slums kuna tofaut hapo 🤣🤣🤣 na bahat nzuri nyinyi ndio mumeshika uongozi africaHata SA kuna slums na bado mtaionea paa ile nchi.... Sio leo wala kesho kuwafikia wale, and that's a fact Tanzanians! 🤣 🤣 🤣
Mabweni yaliyo mjini, mabweni ya bei ya juu. Na bado watu wanaishi na kulipa bila tatizo. Usijaribu kujifananisha na mtu ka huyu hata siku moja. Yeye anafanya yote na bado ana survive mjini, wewe ulie nje ya mji na kajumba kako ka vyumba vitatu,not even well furnished, unaeza fanana naye? La hasha, hutomfikia, yeye pesa ishamzoea, kuishi hivyo sio kazi kwake? Ka rent wewe sasa huko Dar uptown! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe mwenye kula kitimoto, kichwa(akili) chako si kimeruka ka wale wa agano jipya? 😂 😂 😂Tatizo la kula githeri kila siku ni kupungukiwa na akili na ndilo unalo



Unaoongea kuhusu mabweni wakati hizo hizo mabweni zimejaa mtaa wenu wa kifahari kuliko zote Masaki where you would expect to find decent houses. Nyinyi walalahoi mnasukuma gurudumu la maisha kwa shanties christened as dreamhouses alafu unadiss apartments wakati mabwenyenye wenu wanaishi kwenye hizo apartments kule Masaki!!! How funny!
Na bado hamtufikii kwa vitu vingi tu, that's a fact.😂😂😂Ni kweli kuna slum lakini kenya kuna slums kuna tofaut hapo 🤣🤣🤣 na bahat nzuri nyinyi ndio mumeshika uongozi africa
View attachment 1796260
duuuuhhh!!! kweli we nguruwe,Sasa kwa sababu hakuna mtanzania hata moja anayemiliki hata chembe cha hizo estates, tuliza kende na uzoee maisha ya dreamhouse yako hapo Dar
Wewe mwenye kula kitimoto, kichwa(akili) chako si kimeruka ka wale wa agano jipya? 😂 😂 😂
watakula risasi za matako alafu sniper akiulizwa atawajibu kuwa walio msituni ni nyaniWanashangilia kuona misitu hawajui ni mali za watu wamekaa kimyana kama wanabisha waambie wavamie waone
mzee life yake ni shida lazima alie alie,,,Unatamani kula kitimoto mzee umechokaa na githeri na mokimo![]()
Wacha nikuelimishe kidogo. In Nairobi, most houses ni apartments. Hakuna mahali utaenda nairobi ukokosa apartments kando na mitaa za kifahari. Hizo apartments unaona kuna zile ambazo zinajengwa kwa minajili ya kuuza na watu hizinunua sana. Ama mtu akinunua nyumba kwenye apartment si homeowner? It happens even in the US.je mbali na estate unaweza jaribu kupost individual houses kama hizi...?,,
tunahitaji utuonyeshe tuweze kuziona kea huko nairobi ikojeView attachment 1796235
Wacha nikuelimishe kidogo. In Nairobi, most houses ni apartments. Hakuna mahali utaenda nairobi ukokosa apartments kando na mitaa za kifahari. Hizo apartments unaona kuna zile ambazo zinajengwa kwa minajili ya kuuza na watu hizinunua sana. Ama mtu akinunua nyumba kwenye apartment si homeowner? It happens even in the US.
Secondly, nyumba za chini kama hizo ulizopost pia zimejaa Nairobi. And just like apartments, hizi pia kuna zenye zinajengwa kwa ajili ya wanunuzi. Kuna pia watu ambao wanajinunulia plot na kujenga wenyewe from scratch. We've given you so many examples here but shida yenu ni kwamba hamtaki kuona kitu kimepangika kiustarabu. Mkiona hivyo mnasema ni estate. Sasa mimi nashangaa estate ni nini kwani? Isn't it just a residential area?
Below are a few examples za sehemu kuna individual houses sasa sijui hizi pia 'estates’
Haya ni maeneo ya Utawala, Ruai na Syokimau kule Eastlands. Most people here wamejinunulia ardhi na kujenga nyumba zao
View attachment 1796326View attachment 1796327View attachment 1796329View attachment 1796330View attachment 1796331View attachment 1796332View attachment 1796333
duuuuhhh!!! kweli we nguruwe,
tuachane na hayo hebu tupostie hapa mifumo miwili ya ujenzi ikiwemo nyumba zilizopo kwenye mfumo wa estate na nyumba ambazo hazipo kwenye mfumo wa estate ili tujionee yalimo huko maana nazawadi yako hapa
Pole kaka kwa maumivu. Nipe aerial view yo mtaa kama huu hapa Tanzania nzima.kama utapata. Hizi ni ndoto za alinacha kwenu
View attachment 1796209
Ground level
View attachment 1796211View attachment 1796212View attachment 1796213View attachment 1796214View attachment 1796215View attachment 1796216
View attachment 1796158
Hizi apartments ni chache??!?Acha kukariri mzee apartments masaki ni chache sana compared na individual houses