Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania total area is 945,087 km²
Population tanzania is 60m

kenya total area is 580,367 km²
Population kenya is 55m

naomba tutumie hesabu za dukani sio za kiuchumi, naomba tutumie basi mathematics and not pure mathematics
 
Nyingine hio chupa ya coca ndani sprite🤣👇 kibera imehamishwa dar
View attachment 1797615
Hapa Ni wapi😂😂😂watasema picture Ni ya 2000😂😂
Dar is slum
images - 2020-05-28T184939.536.jpeg
 
I mara ngapi mmekana picha za Dar? Ama unadhani hatuwajui kwa kukana picha za Dar? Unajifanya hujui unapoishi jombaa
View attachment 1797613
Haiwezi na haitowahi kutokea Tz kuwa na slums, kwanza eneo la nchi yetu ni kubwa sana kulinganisha na idadi tuliopo, hiyo Dar tu ambayo ukilinganisha na mikoa mingine ni ndogo sana lkn bado kuna maeneo kibao hayana watu so haitawahi kutokea Watz wakarundikana kasehemu kadogo hivyo namna hiyo, so rudisha hiyo picha kwa wenyewe, hakunaga mazingira ya hivyo Tz
 
Haiwezi na haitowahi kutokea Tz kuwa na slums, kwanza eneo la nchi yetu ni kubwa sana kulinganisha na idadi tuliopo, hiyo Dar tu ambayo ukilinganisha na mikoa mingine ni ndogo sana lkn bado kuna maeneo kibao hayana watu so haitawahi kutokea Watz wakarundikana kasehemu kadogo hivyo namna hiyo, so rudisha hiyo picha kwa wenyewe, hakunaga mazingira ya hivyo Tz
Wana slums nyingi hadi zingine wanazigawa
Nairobi pekee slum ziko 40 na kitu!
 
Haiwezi na haitowahi kutokea Tz kuwa na slums, kwanza eneo la nchi yetu ni kubwa sana kulinganisha na idadi tuliopo, hiyo Dar tu ambayo ukilinganisha na mikoa mingine ni ndogo sana lkn bado kuna maeneo kibao hayana watu so haitawahi kutokea Watz wakarundikana kasehemu kadogo hivyo namna hiyo, so rudisha hiyo picha kwa wenyewe, hakunaga mazingira ya hivyo Tz
Of course hamna slums. All you got are dream houses like the ones below
images(129).jpg
 
I mara ngapi mmekana picha za Dar? Ama unadhani hatuwajui kwa kukana picha za Dar? Unajifanya hujui unapoishi jombaa
View attachment 1797613
Nikisema mm hua wananichukia bure 🤣🤣🤣👇👇👇 mzungu hawezi kua kichaa hata siku moja aone slum za dunia nzima asione ya dar haitatokea mpaka dunia inasmama👇👇👇👇


129E68D9-AA2F-42BB-B8A3-401AA5E3D294.jpeg


 
Baada ya kuzoom na hio ni morogoro road wacha tuzoom tupate clear picture 🤣🤣🤣👇👇👇👇 mzungu hawezi kua mjinga
View attachment 1797622View attachment 1797625View attachment 1797628
Si unaona ulivyo mjinga? Hiyo picha nilileta ni ya barabara? Kwa hiyo picha yote kitu umeona tu ni hao kabarabara barabara pembezoni mwa picha? Mbona hutaki kuzoom hiyo picha yenyewe yenye nimetuma ambayo inaonyesha dreamhouses na sio barabara? Skewed reasoning and mindset!

Barabara hata kibera slum iko nazo and we can zoom them too
images(142).jpg
images(143).jpg
5a8d74368350cdcf837dd35216366eff.jpg
 
Back
Top Bottom