Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yo guys let's get back to the battle of the world. Automation ports in China 👇 .. just let u know, china is now the world super power . N I've got to see some of the comments
Screenshot_20210429-015819_1.jpg
Note, wazee wa mrengo wa capitalism, mmefeli, huo mfumo wa kibepari ni mfumo uliofeli duniani katika maendeleo ya nchi na watu wake
 
Na ni hivi hivi ambavyo sisi tunamuacha jirani kwa mbaali, anytime soon na sisi tutakua producers wa kubwa wa vitu mbali mbali in Africa, .. yo china wa sasa wapo legeue yao USA atasubiri sana, CHINA SASA WANATEKA SOKO LA MAREKANI BILA HURUMA.
.
 
Mzee ficha utoto na ujinga wako.
Nimekuuliza Itigi na Sikonge unazijua au unatoa upumbavu tu hapa!?
Mzee nimeanza kuizungukia Tanzania sasa ni mwaka 30.
Kona zote za Tanzania nazijua Mzee.
Itigi ipo Singida na Sikonge ipo Tabora. Hazina uhusiano wowote.
Wewe fala ngoja nikusaidie ,,Mbeya-Chnya-Makongolosi-Rungwa..Hapo Rungwa ni junction ya kwenda ipole-Sikonge hadi Tabora.Pia from Rungwa unaenda Itigi hadi Singida

Seems hujui matumizi ya alama za lugha kama hizi stroke ndio maana huelewi.Kama umezunguka nchi unashindwa nini kuelewa hiyo kitu au hii barabara huijui kwamba inapita sikonge au?

Sisi wafanyabiashara na wewe unaetegemea salary mwisho wa mwezi nani amezunguka Tzn na nani anazijua barabara?
 
Wenye akili fupi kama wewe wanasema walimuona anawekwa kaburini. Lakini amini amini nakuambia JPM hatakufa kamwe.
Taga linajifariji,safari hii kujipendekeza na mapambio hakuna tafuta Kazi ya kufanya la sivyo ksingie na wewe kwenye kaburi tuwafukie maana mlitutia hasara Sana nyie dogs
 
He was a visionary, alijua akiiacha Makutupora watu wataifanya a rail to know where so akaamua aianzie Mwanza ili watu waone aibu wamalizie kipande Cha kati...He was ahead of his time..
Tutaimaliza 2035 hatuna ujinga wa kutupa pesa za walipakodi kwenye miradi tembo mweupe.

Saizi tuko busy na Bagamoyo port zama za propaganda zimekwenda kaburini.
 
Changamoto inaanzia kwenye tofauti zetu za kufikiri. Wenye kufikiri kwa kawaida wanaona alishakufa. Wenye kufikiri kwa kawaida, lakini ngazi ya juu chini wanaona atakufa tu. Wenye uwezo wa juu wa kufikiri kila siku wanamuona na kumsikia. Na wengi tu wa kizazi cha sasa na kijacho, wameapa kumfuata popote atakapokwenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenye ma barabara yake ndo keshatutoka...for almost 20yrs alikua ana simamia haya ma barabara kwa mahaba makubwa...sijui nani tena ataibuka akaipenda kazi ya haya ma miundombinu km mwendazake..
Usiwe kubwa jinga wewe,huyo mwalimu wenu hajui hata CBR ni kitu gani kwenye barabara.

Zitajengwa kama alivyozikuta zikijengwa.
 
Wakenya hawatakaa waamini tulivyowapindulia meza kwenye horticulture industry. Kwenye parachi tumewafanyia mchezo hawaamini wanachoona. Wanaona vumbi tu. Nikiangaliaga vitalu vya parachichi vilivyo vingi huwaga naimagine prodn itakuwaje in five years.
Acha uongo wewe huna hata niche kumi unaropoka.

Wakenya wametufundisha hicho kilimo na kufungua macho

Sisi tulio kwenye field tunajua ,hadi kesho buyer wetu mkuu wa parachichi ni Kenya na hatujawafikia kwa uzalishaji na kutafuta masoko.

Even Uganda serikali yao inawapa Sana sapoti kule Western Uganda wameanza kulima kwa kasi wakati serikali yetu imejaza vikwazo kwenye Mazao na Kazi yao kupiga picha mashamba yetu na kunpost eti Kazi iendelee pumbavu ,wakati hawatusapoti kama wenzetu huko.
 
Huu ni muda mbaya sana kukopa mimi sio Economist ila ninaweza kukuhakikishia hilo! Hatuhitaji kukopa bali tumalizie miradi tuliyonayo ambayo mikopo yake iliombwa kabla ya corona! After corona then we can think of taking credit! Nina uhakika mama Samia anaambiwa hilo saahii Dodoma mkutano wa NEC! BTW debt to GDP ratio ya Kenya ipo juu ya 90% ! Ubaya zaidi wa unacho-suggest ni kukopa kwa kujilinganisha ati kwa vile majirani wamekopa zaid wana debt to GDP ratio kubwa zaidi. Sorry, I find ur thinking on this is too shallow!
Hiyo miradi tembo mweupe itamaliziwa kwa pesa zipi wakati pesa zote zilikuwa ni mikopo

Hilo deni kaliongeza yule jizi muongo aliyekuwa anadanganya watu kujenga kwa pesa za ndani wakati ni uongo.

Kukopa ni lazima Ili kukamilisha hiyo miradi kinyume na hapo haitakamilika hadi 2050
 
Kukopa ni muhimu mno. Lakini tatizo, wapo watumishi wanaweza kutumia vibaya mikopo hiyo. Vilevile masharti ya mikopo yanatakiwa kuangalia.
Usipende kusingizia watumishi kama baba yako marehemu wakati wezi ni wao na genge lao.

Kama walikuwa wanajilipa 17-25bln/month kwa kuweka pigment kwenye mafuta kea kitumia kikampuni chao hapo kuna mtumishi gani alihusika?
 
Kuna kitu bro naona hujakielewa kwa design nayoona hio ya ghana ina support two lanes wakat ubungo ina BRT system ndani yake na ukumbuke kuna BRT ways second and third level hilo moja na pia naona quality ya ubungo iko sawa sana


Hii ni interchange ya ghana👇👇👇
View attachment 1766899
Wewe kilaza bado uka na tabia ya kulazimisha Kenye hakipo kionekane ni Kama kipo hata Kama facts are screaming otherwise 😂😂😂😂, uko na ugonjwa wa paranoia-schizophrenia😂😂, unataka Mwanza iwe level ya Mombasa😂😂😂😂, sasa unajaribu kukweza takataka ya ubungo ionekane iko sawa na inaweza kusimama mbele ya Pokuase😂😂😂😂 idiot wewe😂😂 you can't mention ubungo in the same sentence na pokuase, hilo ni tusi na dharau., Ubungo a simple Criss cross yenye a certificate holder wa technical institute anaweza chora na kujenga ni ya kupigia kifua😂😂😂😂 Tafuta video ya Afrikan Traveller YouTube uone muonekano wa pokuase in April 2021 na other interchanges in Accra Ghana, hamna lolote nyie😂😂😂, (video clips ndio huwaumbua humu, ni kiswahili mtaandika) nipe Insha ama sema ni "upupu" ama useme nime "panick" your usual cliche' na haujui maana😂😂😂😂😂, akili zako fupi Kaka braza😂😂😂

Pokuase interchange...progress..,
Screenshot_20210428-204500.png

1619666794408.jpg

1619666794226.jpg
 
Back
Top Bottom