Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oya wewe Kim Dawizzy hii sio mamtoni, hii ni bongo dar es Salaam 😂😂😂
Screenshot_20210427-025435_1.jpg
Screenshot_20210427-025401_1.jpg
Screenshot_20210427-025729_1.jpg
Screenshot_20210427-025650_1.jpg
Screenshot_20210427-025747_1.jpg
 
Mzee kama alijua atakata moto akaona akamilishe ndoto zake mapemaa kwa kuifikisha reli Mwanza zen hizo lot zingine watajijua wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
He was a visionary, alijua akiiacha Makutupora watu wataifanya a rail to know where so akaamua aianzie Mwanza ili watu waone aibu wamalizie kipande Cha kati...He was ahead of his time..
 
Nimepita 2020 january sasa utaniambia nn wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kipi utanidanganya wewe barabara mbovu kwanzia mombasa mpaka malindi alaf utaeleza nn hapa wewe hio kilifi makamasi matupu alaf watu wamechoka kwangu pakavu tia mchuzi
View attachment 1765184
Mkuu ulikua bado unatumia passport ya zamani...
 
Kweli wewe akili ya utopolo, Diamond ameingilia wapi, unaandika post zilizotiwa error na wa Nigeria, unasema niza wakenya, ilimradi tu, uanze povu. Nishakunusa kitambo sana. 🤣🤣🤣
ichoboy01 ni mwehu siku zote😅😂😂😂😂 utachoka bure.
 
Back
Top Bottom