Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatakufa???

Acha bange unazotumia wewe.

Changamoto inaanzia kwenye tofauti zetu za kufikiri. Wenye kufikiri kwa kawaida wanaona alishakufa. Wenye kufikiri kwa kawaida, lakini ngazi ya juu chini wanaona atakufa tu. Wenye uwezo wa juu wa kufikiri kila siku wanamuona na kumsikia. Na wengi tu wa kizazi cha sasa na kijacho, wameapa kumfuata popote atakapokwenda.
 
Changamoto inaanzia kwenye tofauti zetu za kufikiri. Wenye kufikiri kwa kawaida wanaona alishakufa. Wenye kufikiri kwa kawaida, lakini ngazi ya juu chini wananona atakufa tu. Wenye uwezo wa juu wa kufikiri kila siku wanamuona na kumsikia. Na wengi tu wa kizazi cha sasa na kijacho, wameapa kumfuata popote atakapokwenda.
Mfateni huko hell basi mkamsaidie kumchochea kuni aungue vizuri.
 
3d58c0d4-7e61-4e15-99bb-aadd67382610.jpg

540886ab-3616-48f8-8a1c-4521555e6a4e.jpg

af401d1f-fe41-4b06-8909-bd054ab867a3.jpg
 
ujue nn, hapo bado hakijaanza kutumika kinaonekana tayar kako congested or compressed (kimebanana).. kikianza kutumika je.. ?

baada ya mda watasema hakitoshi.. wenye akili zao wameshakula tayar mabillions in that unimpressive project..

oyaa.. angalieni hiki wanachokiita bus terminal [emoji23][emoji23][emoji23]
hii nchi imelaaniwa
(video)
IMG_1619516964.915047.jpg
IMG_1619516994.865552.jpg
 
Back
Top Bottom