Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sema izi interterhange zetu tukifananisha na ile ya Ghana kwa gharama naona kama tumepigwa aisee
unajua gharama ya hiyo ya Ghana? leta gharama tulinganishe sio unaongea maneno matupu! Hii ya Chang'ombe na Uhasibu hazina tofauti na ya Tazara hata ukiziangalia kwa macho unaona!
 
Sema izi interterhange zetu tukifananisha na ile ya Ghana kwa gharama naona kama tumepigwa aisee
Weka facts zote mkuu...inawezekana bei za material na vifaa Tz ni aghali kulinganisha na Ghana...hatuwezi kua sawa
 
Weka facts zote mkuu...inawezekana bei za material na vifaa Tz ni aghali kulinganisha na Ghana...hatuwezi kua sawa
namngoja aweka facts hapa tuzikague maana kuropoka huwa ni rahisi haswa ukiwa na mapenzi ya design flani! Binafsi approach ya Tanroad juu ya flyovers katikati ya Jiji ni bomba maana wanatumia space tuliyonayo effective! Na hawatuingizi kwenye mkenge wa kuvunja na kutoa fidia unaoongeza gharama! Kumbuka Chalinze-Dar highway ikijengwa itakuwa na 16 interchanges!
 
I hope watajenga flyover pande zote mbili hapo sio kama pale tazara pande moja tuu
kwann pande mbili? wacha kukurupuka kwavile umeona design unapenda mahali, TANROADS wanajenga kwa mahitaji husika! kama ushawahi kuishi nje ya nchi yaani nchi zilizoendelea utaona interchanges zinajengwa outiskirts za jiji na si katikati ya mji kama ikiwepo basi kuna ulazima usiopingika! Kwenye hii flyover ya Chang'ombe priority ni barabara ya Nyerere ambayo magari hayatakiwi yasimame! Japokuwa ile flyover itapunguza pia muda wa kusimama kwa wale wa Chang'ombe na ndo maana hata SGR imepita juu! Siku za mbeleni hata MGR itabidi ipandishwe juu pia! Flyover ya Uhasibu nadhani Kilwa Road ndo itapanda juu! Hicho unachotaka wewe subiri ukiwa na madaraka ujenge ila kwa watu tunaopima cost benefit analysis nadhani BRT 6 phases ni muhimu kuisha kwanza kabla ya vitu zingine!
 
38% [emoji56][emoji56][emoji7]


naomben comment.. tukope mahela makubwa makubwa tujenge hospitali kubwakubwa au barabara au viwanja vya michezo au tuendelee na huu ukopaji wa kawaida unaoendelea?
 
I hope watajenga flyover pande zote mbili hapo sio kama pale tazara pande moja tuu
Hehe mkuu Tazara ipi iyo unayosema imejengwa upande mmoja?[emoji116][emoji116]
JamiiForums-961989074.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
38% [emoji56][emoji56][emoji7]


naomben comment.. tukope mahela makubwa makubwa tujenge hospitali kubwakubwa au barabara au viwanja vya michezo au tuendelee na huu ukopaji wa kawaida unaoendelea?

Huu ni muda mbaya sana kukopa mimi sio Economist ila ninaweza kukuhakikishia hilo! Hatuhitaji kukopa bali tumalizie miradi tuliyonayo ambayo mikopo yake iliombwa kabla ya corona! After corona then we can think of taking credit! Nina uhakika mama Samia anaambiwa hilo saahii Dodoma mkutano wa NEC! BTW debt to GDP ratio ya Kenya ipo juu ya 90% ! Ubaya zaidi wa unacho-suggest ni kukopa kwa kujilinganisha ati kwa vile majirani wamekopa zaidi yaani wana debt to GDP ratio kubwa zaidi. Sorry, I find ur thinking on this is too shallow!
 
38% [emoji56][emoji56][emoji7]


naomben comment.. tukope mahela makubwa makubwa tujenge hospitali kubwakubwa au barabara au viwanja vya michezo au tuendelee na huu ukopaji wa kawaida unaoendelea?

Kukopa ni muhimu mno. Lakini tatizo, wapo watumishi wanaweza kutumia vibaya mikopo hiyo. Vilevile masharti ya mikopo yanatakiwa kuangalia.
 
Huu ni muda mbaya sana kukopa mimi sio Economist ila ninaweza kukuhakikishia hilo! Hatuhitaji kukopa bali tumalizie miradi tuliyonayo ambayo mikopo yake iliombwa kabla ya corona! After corona then we can think of taking credit! Nina uhakika mama Samia anaambiwa hilo saahii Dodoma mkutano wa NEC! BTW debt to GDP ratio ya Kenya ipo juu ya 90% ! Ubaya zaidi wa unacho-suggest ni kukopa kwa kujilinganisha ati kwa vile majirani wamekopa zaid wana debt to GDP ratio kubwa zaidi. Sorry, I find ur thinking is too shallow!

[emoji23][emoji23] sure[emoji122]. ukiondoa mambo ya ufisadi.. mikopo (before corona) wanayopokea inasaidia sana kujenga miradi mbalimbali.. kinachowaharibu ni ufisadi
 
Back
Top Bottom