Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Neno complex unalileta wewe ili uvutie kwako, mwenzako kakwambia yao ni 4 tier..we ulitakiwa ukubali au unataka kusema nguzo za brt lanes ni tofauti na zile zinazopita magari ya kawaida dar
Wao ni 4 level lkn haina BRT yetu ni 3level yenye BRT ulijue hilo kwnz, alafu hapa tunazungumza watu wenye infrastructure za kisasa yn Watz na waghana, ss wewe km umekuwa mghana karibu ila km unatokea nchi isiyokuwa na hz infra tafadhali pita mbali cz unaongea vitu ambavyo hujawahi kuviona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nioneshe mahali nimeiambia serikali ya Kenya ijenge infra km za Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uonyeshwe wapi na huo ndio wimbo wenu wa kila siku hapa, yani mkijenga kitu mnataka na sie tujenge km nyie..
Lkn leo naona ukaamua kuutupa unafiki pembeni kisa waghana hawako huku..

Eti na wewe leo unataka kuonyeshwa wapi unataka kenya iwe na miundombinu km vile mnavyofanya nyie hko kwenu
 
Uonyeshwe wapi na huo ndio wimbo wenu wa kila siku hapa, yani mkijenga kitu mnataka na sie tujenge km nyie..
Lkn leo naona ukaamua kuutupa unafiki pembeni kisa waghana hawako huku..

Eti na wewe leo unataka kuonyeshwa wapi unataka kenya iwe na miundombinu km vile mnavyofanya nyie hko kwenu
Pita mbali, unaongea vitu ambavyo kwenu hamna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya bhn eti infrastructure ambayo ipo Nairobi lkn haipatikani Dar ni Fellis Wheel [emoji565][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya bhn eti infrastructure ambayo ipo Nairobi lkn haipatikani Dar ni Fellis Wheel [emoji565][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakat hio ipo zanzibar na dar miaka 10 iliopita wao wamepata juzi hawalali wakapumzika 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo interchange ya Ghana ina BRT na ina facility ya BRT stations including DART Parking? Pia kuna madaraja mawili upande wa TBS na Riverside? Je Pedestrian overcrossing? Na kama tungeweka interchange ya Ghana how practical would the public transportation be? Will bus stands remain there? Au sie na mabingwa wa kuropoka bila kuangalia realities?
Haina ivyo ila ina hivi 👇

the construction of the five-kilometre Awoshie-Pokuase road, the two-kilometre Accra-Nsawam road, the two-kilometre Kwabenya road and 10 kilometres of local roads.

The project is funded by the African Development Bank (AfDB) and the Ghana government.
 
ukuu wa Mungu na science pekee ndo inajibu why the water don’t drop here
That the law obeyed. Newton's Law of universal Gravitation,
Applies to all bodies in the universe.
Screenshot_20210428-230637_Chrome.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1766989
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Bro katika kitu ambacho kama waTanzania tunapaswa kufanya ni kumtia moyo huyu mama. Pia tumsaidie na kumpa ushauri wa namna bora ya kuongoza nchi. Yeye hakuamua kuwa rais, bali it's a nature ndiyo imefanya yote hayo.
Mkuu napingana na wewe, kama kuongoza ni mpaka atiwe moyo basi hatufai. JPM mbona alikuwa anazodolewa kila siku ila alisimamia anachoamini, JPM alienda kinyume na dunia nzima kwenye corona, mama angepiga lockdown za kutosha.
 

Ubungo interchange ni almost 87 m[emoji121]

Iyo ya Ghana ni 94 m some sources zinasema 84m


Na 4tier interchange with a difference of 7m na yetu ya Ubungo

watu wameshadiscuss.. ngoja niweke summary[emoji23]

ya ubungo interchange (3levels interchanges)
  • kuna madaraja ma4 (2 kuelekea mwenge na 2 kuelekea riverside)
  • kuna 4 lanes roads and 2 lanes BRT in both two levels
 
That the law obeyed. Newton's Law of universal Gravitation,
Applies to all bodies in the universe. View attachment 1767013

hizi laws zipo kwa ajili ya wale wasioamin uwepo wa Mungu[emoji23][emoji23].. kama hizi laws ni the major cause, Mungu hawezi kufanya against nazo?? wanasema kila kiendacho juu lazima kirudi.. kwenye maandika vitu vingi tu vimeenda juu na havijarud
 
Back
Top Bottom