Mutaitina
JF-Expert Member
- Mar 6, 2021
- 798
- 1,451
NEW KID IN TOWN ICD LINK ROADNairobi ni thika road tu? [emoji23][emoji23]
NEW KID IN TOWN ICD LINK ROADNairobi ni thika road tu? [emoji23][emoji23]
Roundabout tu inakupa homa ?Tuonyeshe barabara dat ambayo inaingia hapo kw ngong road, nyoe mna bara bara gani bana[emoji23][emoji23]View attachment 1766202
Apa kurasini interchange pale Mfugale flyoverView attachment 1766231View attachment 1766232View attachment 1766233View attachment 1766234Sasa ona ulivyo boya kishenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fanya utafiti kabla ya kukurupuka [emoji23][emoji23][emoji23], ingia ata YouTube ujionee mwenyewe, ama website ya KENHA or KURA., Lizembe na lishamba lya gongo la mboto linajitia hamnazo kujifariji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].[emoji13], Utalazimisha mambo Hadi lini? jikubali tu sio hatia kukua na chache kuliko mwenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,
View attachment 1766187
View attachment 1766188
View attachment 1766194
View attachment 1766194
View attachment 1766197
View attachment 1766198
View attachment 1766201
Commuter rail made in Tanzania!??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Nyie mna commuter rail au upuuzi? Jengeni wacheni upumbavu, cc tunayo commuter rail ya mkoloni kama nyie lkn tuna mpango wa kujenga mpya yn yetu wenyewe na co ya mkoloni alafu tujisifu eti tuna commuter rail ni upumbavu.
Mind u, hakuna infrastructure yoyote iliyopo Nairobi zen ukaikosa Dar ila kuna infrastructure zipo Dar but Nairobi hamna kama unabisha twende kazi ila kama haubishi basi tuache [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi zinabana...Nipo CongoMulisa bana[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza ulipotelea wapi mjuba
Safi sana, kazi kazi banaKazi zinabana...Nipo Congo
Umekosa jomba[emoji23]Roundabout tu inakupa homa ?
View attachment 1766222
ukuu wa Mungu na science pekee ndo inajibu why the water don’t drop here
😂😂😂 Ila we jamaa ni hovyo sana, upo unafanya nini sasa humu ndani kama hakuna battle.? mmejisifu sana ila maneno mengi kuliko kinachoonekana, nimeona tena eti unajiingiza kwenye battle la kutengeneza boats 😂😂 ikiwa tz inatengeneza meli na inamiliki boats na meli nyingi kuliko nchi yeyote ukanda huu 😂😂, hii ni hatari sana . Mimi nitaanza na wewe kwenye boats ili utaje ambayo ni made in kenya, no 1Hakuna battle hapa, ni blind patriotism on display from the south. Inferiority complex at its best.
umeongea vyema ila uachane na pumba,,,,snenda kwa fact vitu ambavyo nairobi vipo na dar vinakosekana hapo ndipo kwenye kipimo usiropoke...Tanzania inajaribu kujijenga Lakini wivu itawaua musione mwenzenu ako Juu mthani mko ligi moja No,Nairobi iko level yake Ukweli na ata mkikataa mnajua ukweli,Jitahidini Lakini msidharau mwenzenu kwasababu ako vizuri kuwaliko iyo unaitwa wivu na asiyeitikia kushindwa si mshindani
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Wewe, hebu nipe hiyo/hizo kampuni z/inayotengeneza 'MELI' huko bongo? 😂 😂 😂😂😂😂 Ila we jamaa ni hovyo sana, upo unafanya nini sasa humu ndani kama hakuna battle.? mmejisifu sana ila maneno mengi kuliko kinachoonekana, nimeona tena eti unajiingiza kwenye battle la kutengeneza boats 😂😂 ikiwa tz inatengeneza meli na inamiliki boats na meli nyingi kuliko nchi yeyote ukanda huu 😂😂, hii ni hatari sana . Mimi nitaanza na wewe kwenye boats ili utaje ambayo ni made in kenya, no 1View attachment 1766388View attachment 1766389View attachment 1766390no 2View attachment 1766392View attachment 1766394no3View attachment 1766395View attachment 1766397no 4View attachment 1766398View attachment 1766400no 5View attachment 1766401no 6View attachment 1766402bonus View attachment 1766403View attachment 1766404heb nitajie katika hizi boats ambayo ni kenyan made hata moja tu