Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Unakuaga punguani and totally ignorant of stupid CCM moves,Kwamba munaomba loan ya kudunga wakenya sindanoMungu awape walau akili yakujikuna mumeisha wakenya



Hapa CCM ilifanya nini? Loan ya Covid!., hii hapa is just one of them, jiangalie kwanza






Hii ( ) ndio alama ya bracketsNikisema Wakenya akili zenu fupi mnalia, we umeona hapo hiyo heading wameiwekea bracket '.....' je unaelewa maana ya bracket ktk uandishi?
, hii '...' inaitwa single quotation marks . So you may know. Akili ndefu inafaa kufahamu vitu simple pia.


Wiki ijayo JPM anaenda kusaini mradi mkubwa wa pipeline Uganda!Ajitokeze hadharani ili iweje kwamba wewe na wakenya wenzio munampangia magufuli au rais nini cha kufanya mbona akiwa chato mapumzikoni miezi miwili hamuulizi yuko wapi na hua hasikiki acheni ujinga 😀😀😀
Acha kuleta chuki kisa tu unamshangilia yule supporter wa mashog,..unaongea ujinga km umezaliwa janaBrighter future kwa useless dremliner na sgr? Hizo projects za upigaji zitaendeshwa kwa fedha ya ruzuku ,ndo brighter future hiyo au unachekesha

hiyo SGR inakumiza sana unatamani km isinge kuwepo au izo ndege? Mjinga hana hiyana, chuki zako ni zakitot snaaaPeleka iyo akila sober, kwa chuki zako umekuwa kilaza sanaeti soon mambo yatakuwa utazeeka na kufukiwa ukisubiri hiyo soon just like waiting Jesus.
Kwamba kununua mandege yanayoleta hasara ndio kuleta maendeleo.
Kwamba kujenga reli ambazo zinajiendesha kwa hasara ndio soon yako?
Kwamba kuvuruga kilimo ndio soon unayoisubiria wewe?
Kwamba kukanyaga haki za wenye maoni tofauti na yake ndio kuleta maendeleo?
Ni lini kwa past phases uliona hayo unayoita maendeleo hayakufanyika? Sera mbovu za serikali zinafukarisha watu afu unaleta blaa blaa za kijinga hapa.
Sasa kama yuko vizuri kihivyo ungeiona Watzn wengi wange sympathize nae na kumtakia best wishes kama Marais waliopita



hongera umefanikiw kuingia nexr level y ujinga na mpe salam na yule wamashogI dont mean disrespect kwani ulisha wai hata kupata concept ya uchumi?Ndio maana mnachukiwa,kuwa navyo huku vinaleta hasara ni vya faida gani? Awamu zilizopita hazikuhangaika na mamiradi ya kijinga ya kuleta hasara uliona kuna mtu alishindwa kusafiri?
Si ajabu bungeni kwenye kikao chenu za wanaccm mumeanza kugeukana refer ya Musukuma.
Wewe kwa akili yako fupi mastendi ya mabilioni za walipakodi yanawapa unafuu gani kwenye maisha? Hamna akili nyie mataga
Alipokwenda kuonana na rais alikua kitandani😁😁😁 yani atoke zanzibar mpaka chato alaf unaimbie hakupona
Pole kwa maumivu 😂Kunyoroshwa kuko pale pale tu hata mfanyaje!!Tuko bize kujenga misingi imara ya nchi yetu, Inshallah!!! Endeleeni na habari zenu za kimbea mbea!!!Sisi tunasukuma game changing projects!! Tutakutana mbele ya safari!! Serikali hii hai-entertain non-sense...ni vyema kbs walivyoamua kunyamaza kutojibu chochote mnahangaika nyie kwa mambo ambayo hayawasaidii kwa lolote. Grow up!!!
Young lady What do you mean pesa Kutoka GDP?Pesa zenu za kutoka GDP account ya tz huaga mnawekaga katika benki gani
Instagram ndio mtandao wenye watumiaji wengi zaidi duniani. Hata mimi sipo huko but that's the truth.Insta kw tz basi ujue ni umbea wala hakuna lingine..
Kisha amesahau km vitu vya kutoka twitter ndio hu trend sana hata kuliko insta na upuuzi mwngine wowote ule..
Bado watapinga, lkn yale mapapai yalimfanya ajulikane manake sio pumba zile..then wasisahau walenya ndio wali hype sana ndio mpka ile issue ikachanja mbuga