Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Heb ona,taja msanii ambae unahis ana hela kuliko wasanii wa bongo au taja msanii unaehis anafake alaf ni msanii mkubwa ,leo nikutoe tongo tongo nikujuze ukweliBwahahaha!!narudia tena, hapo tz mnakojisifia usanii bado kuna wasanii ambao hawamgusi willy paul na bahati kifedha..
Jamaa msanii na misifa yote kumbe anatembelea gari la kukodi na ukifuatilia sana wengi wanaigiza katika maisha yao
