Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi hospital imesema kwamba Magufuli hayupo huko. Ila mbona Magufuli amekataa kujitokeza hadharani?
Halafu hawa BBC Africa nao wanapenda umbea sana.



View attachment 1722347
Dunia nzima inamuongelea magufuli kweli ni fahari kubwa sana kwa tanzania 😂😂😂 yani dunia nzima imeacha shughuli zao imesahau corona imesahau watu wanakufa wanamuwazia magufuli 😁😁😁😁 asee mwaka huu tutaona mengi sana
 
Wapo millions ya watanzania hawamjui Rais wa Kenya

Mkiambiwa bila Tanzania hakuna maisha Kenya mnakasirika
Suala la Magufuli ni mjadala wa kitaifa Kenya nzima, ukigeuka upande huu Kenya nzima ni sukari ya zuchu, ukigeuka huku Kenya nzima ni league ya Tanzania Bara, the other side Kenya nzima ni Bongo movies

Yaani Tanzania ni kama Marekani ya ukanda huu, huko Burundi, Rwanda, DRC, Malawi, Mozambique, Uganda, Zambia na wenyewe hivyo hivyo kwa Tanzania
Washamba tu labda wacha kutudanganya
 
Hii habari imezungumziwa na vyombo vingi vya habari Kote duniani ila kwa hawa najirani zetu, vyombo vya habari za Kenya zinawaharibia jina na kueneza uongo! 😂
Yani ni fahari kubwa sana kuona dunia imesimama inamuongelea kichwa kimoja ni fahari kubwa sana kwa tanzania 😄😄 sikujua jamaa kuna siku jina lake litatikisa ulimwengu
 
Hii habari imezungumziwa na vyombo vingi vya habari Kote duniani ila kwa hawa najirani zetu, vyombo vya habari za Kenya zinawaharibia jina na kueneza uongo! 😂
Kwan wewe unafkiri hii ni mara ya kwanza wanamzushia magufuli kafa ?? Watu walimzushia rais mwinyi kafa na hatimae waliumbuka ?? Hii sio mara ya kwanza so hata mm sishangai 😅😅😅
 
Hii habari imezungumziwa na vyombo vingi vya habari Kote duniani ila kwa hawa najirani zetu, vyombo vya habari za Kenya zinawaharibia jina na kueneza uongo! 😂
Ndio ushangae sasa 🤣🤣👇👇👇
1794384A-B6B3-4042-8E07-69670E3F7F97.jpeg
 
Ya baba na mama yanatokea wapi basi kama hujapandwa na hasira?
Hao ndio ndugu zako wa damu kabisa ambao wakiguswa hao lazima uruke popote ulipo duniani, ss wanaoumia huna undugu nao hata wa kumulika na tochi lkn unaumia how comes?
 
Iko wapi source inasema magufuli anaumwa mm nataka kuiona kutoka kwako manake mulisema yupo nairobi mukaumbuka sasa hvi mumebakia kusema anaumwa sasa leta official source kua anaumwa yani mjadala uanzishwe na tundu lisu ambae ni mpinzani alaf musema ni official source ??? 😄😄😄 kweli magufulia anawaumiza kichwa mumeacha kufanya mambo ya msingi munalia na magufuli munaakili kweli
Kijana, kuna kitu nataka ujue. Rais wa nchi sio Kama wewe hapo ama mimi hapa. Mambo zinazohusu Rais WA nchi are handled with a lot of secrecy and this is mostly done by the Intelligence Service. Ukitarajia kwamba Rais augue then taarifa itolewe immediately kuhusu hilo utangoja Sana.

Hata kule Zanzibar, makamu wa Rais aliugua ila Hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kwamba anaugua . Don't argue just for the sake of it

Hata hiyo media house ya Kenya iliyotoa hiyo taarifa was just speculating. Haikutaja jina la Magufuli ila hii taarifa ishagonga vichwa vyo many media houses both locally and internationally
 
Nairobi hospital imesema kwamba Magufuli hayupo huko. Ila mbona Magufuli amekataa kujitokeza hadharani?
Halafu hawa BBC Africa nao wanapenda umbea sana.



View attachment 1722347
Nikisema Wakenya akili zenu fupi mnalia, we umeona hapo hiyo heading wameiwekea bracket '.....' je unaelewa maana ya bracket ktk uandishi?
 
Kwan wewe unafkiri hii ni mara ya kwanza wanamzushia magufuli kafa ?? Watu walimzushia rais mwinyi kafa na hatimae waliumbuka ?? Hii sio mara ya kwanza so hata mm sishangai 😅😅😅
Nalani kasema mafufuli kafa? Mbona unatengeneza taarifa yako mwenyewe tofauti na kinachojadiliwa?
 
Eti mkenya auliza where is magufuli 🤣🤣🤣 sasa sijui magufuli anawahusu nn wakenya alaf anakwambia mtangazaji popote mutamuona tunaomba mutujuze 🤣🤣🤣
 
Nalani kasema mafufuli kafa? Mbona unatengeneza taarifa yako mwenyewe tofauti na kinachojadiliwa?
Ndio nakwambia wewe sasa ili uelewe hakuna source yoyote inayosema magufuli anaumwa ?? Hakuna sasa nakushangaa wewe mulikuja hapa mukasema magufuli yuko nairobi mukaumbuka sasa hvi sijui unalia nn sasa😀😀😀😀
 
Iko wapi source inasema magufuli anaumwa mm nataka kuiona kutoka kwako manake mulisema yupo nairobi mukaumbuka sasa hvi mumebakia kusema anaumwa sasa leta official source kua anaumwa yani mjadala uanzishwe na tundu lisu ambae ni mpinzani alaf musema ni official source ??? 😄😄😄 kweli magufulia anawaumiza kichwa mumeacha kufanya mambo ya msingi munalia na magufuli munaakili kweli
Siku zote Mimi usema wakunya ni mbuzi lakini amuelewi...
 
Kijana, kuna kitu nataka ujue. Rais wa nchi sio Kama wewe hapo ama mimi hapa. Mambo zinazohusu Rais WA nchi are handled with a lot of secrecy and this is mostly done by the Intelligence Service. Ukitarajia kwamba Rais augue then taarifa itolewe immediately kuhusu hilo utangoja Sana.

Hata kule Zanzibar, makamu wa Rais aliugua ila Hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kwamba anaugua . Don't argue just for the sake of it

Hata hiyo media house ya Kenya iliyotoa hiyo taarifa was just speculating. Haikutaja jina la Magufuli ila hii taarifa ishagonga vichwa vyo many media houses both locally and internationally
Kwani hata kama anugua yeye sio binaadamu kwamba hatakiwi kuugua hvi wewe akili yako iko sawa?? Magufuli ni binaadamu kama wewe anahaki ya kuugua anahaki yakutibiwa

na makamu wa rais maalim seif aliugua sawa wewe unataka kutuambia duniani ugonjwa ni mmoja tu covid yale magonjwa millioni yako wapi?? Mtu akiumwa kucha unataka atangazwe covid kweli mzungu ameshika akili zetu

sasa kama haikutaja jina kwann wewe unamuandama magufuli ?? Magufuli aliwakosea nn nyinyi wakenya?? Anampango gani na kenya ?? Yani vita vya ngoswe badala kumuachia ngoswe unataka kucheza wewe
 
Ndio nakwambia wewe sasa ili uelewe hakuna source yoyote inayosema magufuli anaumwa ?? Hakuna sasa nakushangaa wewe mulikuja hapa mukasema magufuli yuko nairobi mukaumbuka sasa hvi sijui unalia nn sasa😀😀😀😀
Nimewaza sana na kujaribu kuconnect dots!!na kupima naona uongo ni mwingi kuliko ukweli aisee, propaganda za kishamba sana hizi,usikute hata hii habari iliyoko BBC Africa imeandwika na Mkenya kwa sababu ya chuki tu na Mzee wetu na Taifa la Tanzania... Wakenya mmenisikitisha sana.Hii ni BBC ya wapi ambayo source yake ni TL mbona wanajiabisha hivi,ukiona habari ya nzito kama hii imewekewa alama hizi' ' kwny headline... halafu unaingia ndani unasoma eti source ni bwana mmoja hivi dah!!! Acha ninyamaze.
 
Kwani hata kama anugua yeye sio binaadamu kwamba hatakiwi kuugua hvi wewe akili yako iko sawa?? Magufuli ni binaadamu kama wewe anahaki ya kuugua anahaki yakutibiwa

na makamu wa rais maalim seif aliugua sawa wewe unataka kutuambia duniani ugonjwa ni mmoja tu covid yale magonjwa millioni yako wapi?? Mtu akiumwa kucha unataka atangazwe covid kweli mzungu ameshika akili zetu

sasa kama haikutaja jina kwann wewe unamuandama magufuli ?? Magufuli aliwakosea nn nyinyi wakenya?? Anampango gani na kenya ?? Yani vita vya ngoswe badala kumuachia ngoswe unataka kucheza wewe
Wewe saa zingine unafaa tu kupuuzwa. Unasahau kwamba Seif alikiri kwamba alipatikana na Corona kupitia chama chake cha kisiasa?

Halafu ni wapi mimi au mkenya kasema Magu hafai kuugua? Tunachosema ni kwamba kuna uvumi Magu anaugua na aliletwa Nairobi kimatibabu. Nasema ni uvumi kwa sababu hakuna taarifa rasmi iliyotolewa ila hii taarifa imezumgumziwa na vyombo vingi vya habari hapa Africa na nje ya Africa. Unless hizi combo vyote ni waongo then I rest my case. But as I said, palipo na moshi...
 
Nioneshe evidence kwamba kuna serikali ilijenga reli hapa Tz.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kununua ndege nyingi kwa mkupuo zaidi ya serikali ya awamu ya tano hapa Tz.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kujenga meli ukiacha ya mwalimu Nyerere.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kuitoa TZ kwenye aibu ya kuitwa LDC.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kuvunja rekodi ya mapato katika madini hapa Tz.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kujenga bwawa la umeme ukiacha serikali ya Mwl. Nyerere.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kujenga masoko mengi kuliko serikali ya awamu ya tano.

Nioneshe evidence kwamba kuna serikali iliwahi kukamilisha miradi mingi ya umeme na maji zaidi ya serikali ya awamu ya tano.

N.B: Ukimaliza kunionesha hizo evidence zen nioneshe developed country yeyote ambayo imeendelea bila kuvipa kipaumbele hivyo vitu au nioneshe article yoyote ya uchumi inayoenda inayoonesha kwamba Magu yuko wrong economically, usiponionesha basi wewe ni mpuuzi a.k.a mchumia tumbo.
Umemjibu vizuri,nchi ili ipige hatua lazima sera ya kilimo kwanza ifaulu, viwanda,infrastructures, boresha afya,Elimu! !Hakuna kiongozi atawah kua perfect lakini je amegusa wap zaidi is manufaa ya nan ilo ndio linamata,

Wakifaulu kuanza kuuza umeme na kupata wawekezaji wakutosha wanaweza Rudi kwenye kupunguza kodi kama VAT, PAYE N.K,Kuongeza mishahara,kupanua wigo a ajira na makazi bora mpaka hapo kitakua kimeeleweka
 
Back
Top Bottom