Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimewaza sana na kujaribu kuconnect dots!!na kupima naona uongo ni mwingi kuliko ukweli aisee, propaganda za kishamba sana hizi,usikute hata hii habari iliyoko BBC Africa imeandwika na Mkenya kwa sababu ya chuki tu na Mzee wetu na Taifa la Tanzania... Wakenya mmenisikitisha sana.Hii ni BBC ya wapi ambayo source yake ni TL mbona wanajiabisha hivi,ukiona habari ya nzito kama hii imewekewa alama hizi' ' kwny headline... halafu unaingia ndani unasoma eti source ni bwana mmoja hivi dah!!! Acha ninyamaze.
BBC hii hii leo huwezi tofautisha na magazeti ya udaku!Dah!!!
 
Wewe saa zingine unafaa tu kupuuzwa. Unasahau kwamba Seif alikiri kwamba alipatikana na Corona kupitia chama chake cha kisiasa?

Halafu ni wapi mimi au mkenya kasema Magu hafai kuugua? Tunachosema ni kwamba kuna uvumi Magu anaugua na aliletwa Nairobi kimatibabu. Nasema ni uvumi kwa sababu hakuna taarifa rasmi iliyotolewa ila hii taarifa imezumgumziwa na vyombo vingi vya habari hapa Africa na nje ya Africa. Unless hizi combo vyote ni waongo then I rest my case. But as I said, palipo na moshi...
Je alipona hakupona ?? Mpaka akaenda chato wakaonana na rais pamoja na rais wa zanzibar ?? Na kama alipona alaf akaumwa tena maradhi mengine na kifo kikamkuta na pia ukiangalia hata umri wake tayar ulikua ushaenda over 75yrs tayar ni umri ambao maradhi ya aina yoyote yanaweza kukupata kwa haraka

uvumi ni wauongo uliozushwa na watu ambao ni wapinzani sasa unategemea mpinzani wako atakutangazia mema?? Kuzungumzwa sio uhakiki waliozungumza ni media ya kenya ndio imeahupalia na mpaka kumhoji tundu lisu ambae ni mpinzani wa magufuli😁😁 yani unajua hua nawaza sijui magufuli anawahusu nn na sijui aliwakosea nn wakenya
 
Nimewaza sana na kujaribu kuconnect dots!!na kupima naona uongo ni mwingi kuliko ukweli aisee, propaganda za kishamba sana hizi,usikute hata hii habari iliyoko BBC Africa imeandwika na Mkenya kwa sababu ya chuki tu na Mzee wetu na Taifa la Tanzania... Wakenya mmenisikitisha sana.Hii ni BBC ya wapi ambayo source yake ni TL mbona wanajiabisha hivi,ukiona habari ya nzito kama hii imewekewa alama hizi' ' kwny headline... halafu unaingia ndani unasoma eti source ni bwana mmoja hivi dah!!! Acha ninyamaze.
Usijali, hizi taarifa zote zimeandikwa na wakenya walio na chuki na mzee wenu wa taifa. Wakenya ni watu wabaya sana



 
Je alipona hakupona ?? Mpaka akaenda chato wakaonana na rais pamoja na rais wa zanzibar ?? Na kama alipona alaf akaumwa tena maradhi mengine na kifo kikamkuta na pia ukiangalia hata umri wake tayar ulikua ushaenda over 75yrs tayar ni umri ambao maradhi ya aina yoyote yanaweza kukupata kwa haraka

uvumi ni wauongo uliozushwa na watu ambao ni wapinzani sasa unategemea mpinzani wako atakutangazia mema?? Kuzungumzwa sio uhakiki waliozungumza ni media ya kenya ndio imeahupalia na mpaka kumhoji tundu lisu ambae ni mpinzani wa magufuli😁😁 yani unajua hua nawaza sijui magufuli anawahusu nn na sijui aliwakosea nn wakenya
Leta taarifa inayosema Seif alipona
 
Haya niambie nyinyi sasa👇👇👇👇 angalieni walichokiandika ndani??
153976D9-A8CD-4B77-84B7-D81E5BA9D5DC.jpeg
61C71ED0-D6BA-4973-BB59-1AF570AEA2EE.jpeg
 
Mziki hauuzwi Twitter pungu wewe .. nenda kaangalie streaming na downloads uone, kichaa kweli we jamaa. Nenda kwenye digital platform uone kama kuna mkunya hata mmoja anamfikia vanny,tako kweli. YouTube pekee vanny ana 2.4m subscribers,insta 6.1m followers .kama yupo mkunya yeyote anaefika hizo level leta evidence then nijitoe jf . His album now has 200m streams in all digital platform n guess what unajua ni pesa kiasi gani vanny anaingiza.?
Nani kakudanganya km mziki wenye views nyindi ndio unalipa zaidi, then kwn hko insta ndiko kunakouzwa mziki..

Kubalini tu ya kwamba zaidi ya umbea na kiki zaidi ya hapo hamna kitu wasanii wenu nguvu nyingi kushinda uwezo wao
 
Usijali, hizi taarifa zote zimeandikwa na wakenya walio na chuki na mzee wenu wa taifa. Wakenya ni watu wabaya sana



Kunyoroshwa kuko pale pale tu hata mfanyaje!!Tuko bize kujenga misingi imara ya nchi yetu, Inshallah!!! Endeleeni na habari zenu za kimbea mbea!!!Sisi tunasukuma game changing projects!! Tutakutana mbele ya safari!! Serikali hii hai-entertain non-sense...ni vyema kbs walivyoamua kunyamaza kutojibu chochote mnahangaika nyie kwa mambo ambayo hayawasaidii kwa lolote. Grow up!!!
 
Wapo millions ya watanzania hawamjui Rais wa Kenya

Mkiambiwa bila Tanzania hakuna maisha Kenya mnakasirika
Suala la Magufuli ni mjadala wa kitaifa Kenya nzima, ukigeuka upande huu Kenya nzima ni sukari ya zuchu, ukigeuka huku Kenya nzima ni league ya Tanzania Bara, the other side Kenya nzima ni Bongo movies

Yaani Tanzania ni kama Marekani ya ukanda huu, huko Burundi, Rwanda, DRC, Malawi, Mozambique, Uganda, Zambia na wenyewe hivyo hivyo kwa Tanzania
Pumba tupu
 
Mmewekeza kwenye ventilators kama Kenya au mlikuwa mko busy kupiga siasa kwamba Covid haipo? Ventilators ni expensive kununua na inachukua muda mrefu kuagiza na kufunga kwenye mahospitali. Kenya tuna ventilators vya kutosha ila corona ilipoanza hatukuwa na ventilators vya kutosha ikabidi tuagize vingine. Kwa sasa tunavyo vya kutosha. Halafu covid ina complications nyingi sana ambazo madaktari wenu hawana uwezo wa kuvitibu maana walikuwa wanadiagnose kila mtu kwamba ana pneumonia na kujitia hamnazo kwamba covid haipo nchini.
Hiyo america yenyewe haina ventilator za kutosha,lakini ninyi wakenya mnazo 😂
 
Washamba tu labda wacha kutudanganya
Hivi we bwege simba.kati ya sisi na ninyi akina nani washamba angalia wasanii bongo ndio mastaa wa hii mashariki ya Africa .take a look .. diamond in sieralion 👇. Diamond arrive in Mozambique. . Diamond arrive in guinea bisau 👇. Ikifkia kwenye masuala ya sanaa kaanae mbali sana na sisi hamtuwez hata kidogo sisi viwango vyetu ni Nigeria na South Africa bas
 
Nyie wangese mnaweza shindana labda na zuchu kuhusu masuala ya sanaa kaani mbali now look . Kenya most viewed music video View attachment 1722443vs Tanzanian female upcoming artist zuchu View attachment 1722444fun fact ,zuchu ako na mizi 10 tu kwenye industry . Nyie ni hamtuwezi hata robo komora096
Unajua suzzana imewaingizia shingapi we mzee wa views
Narudia tena, wimbo ukiwa na views nyingi haimaanishi km umeingiza hela nyingi

Alafu nyimbo za hyo kidada chenu kihuni wanaskiza wambea wenzake, we si unajua tena makahaba km wewe ndio wengi zaidi
 
Back
Top Bottom