game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,336
hicho kitoto ni kijinga sana.Instagram ndio mtandao wenye watumiaji wengi zaidi duniani. Hata mimi sipo huko but that's the truth.
Safi Sana we muulize tu 🤣🤣🤣🤣🤣Pole kama umeumia 😂😂😂 Ila kuhusu kiswahili hujui kitu baba ,na kama unajua nyoosha kidole nikulize maswali ujibu , Google rukhsa
Wakunya wanapenda mziki Ila bahati mbaya mziki hauwapendi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣pointless....
ikiwa mmeshindwa kujisupport wenyewe ,mtawezaje kuisupport bongo flavour...
Ok, what's the meaning of quatation in writings?Hii ( ) ndio alama ya brackets, hii '...' inaitwa single quotation marks . So you may know. Akili ndefu inafaa kufahamu vitu simple pia.
![]()
We nae uwe unaficha hizi aibu ndogo ndogo, hyo video ni baada ya kupona, je mtu anayeumwa corona anaweza kupewa kibali cha kusalimiana na Rais kwa kupeana mkono?Nimekuambia ulete taarifa inayosema alipona Corona. Kuna taarifa inayosema aliugua corona. Sasa nipe taarifa inayosema alipona
Huyu rais wa Ghana ndiye anaelewa umuhimu wa kuindustrialize by adding value to cocoa and producing chocolate. Anasema wazi kwamba Ghana inapanga kuwacha kuexport cocoa to Switzerland na itaanza kuproduce chocolate wenyewe. Yaani kama tungekuwa na marais wengi wa Afrika wanaoelewa umuhimu wa kufanya value addition to our raw materials kama huyu jamaa basi tungekuwa mbali. Lakini achunge asipigwe risasi na kuuwawa. Wazungu hawapendi viongozi wa Kiafrika wanaopigania maslahi ya wananchi wao. Akina Patrice Lumumba waliangamizwa na beberu kwa kuwakaripia
google. good morning..,Ok, what's the meaning of quatation in writings?
Iyo nyumba ilishakamilika na wanaishi iko mikocheni. And this is navykenzo's house .. kwanza kuna hata msanii wa kumfikia navykenzo hapo kwenu.? Wewe komora096
Magu ana mawazo mazuri ya kiuchumi. Anasaidia uchumi wa TZ kuindustrialize.hii si ndo sababu mnamchukia Magu, au unajitia upofu? kazuia malighafi kibao.. mfano nyama kwa viwanda vyenu vya nyama, kazuia parachichi, kazuia tanzanite, mchanga wa migodin etc
Amepelekwa india due to Kenyans talking shit on social mediavip anaendeleaje hapo ‘Nairobi Hospital’?![]()
Watu wanaomba loan ya kudunga sindano watu 🤣🤣🤣🤣🤣 kesho mutaomba loan yakununua chupi sasa
Kuna nchi ambayo haijaathirika na corona kila nchi imeathirika na corona kiuchumi sasa leo nacheka kuskia kenya inaomba loan ya kudunga watu sindano alaf munasema nye nye nye munauchumi imara🤣🤣🤣🤣🤣 nyinyi tafuteni aliewarogaUnakuaga punguani and totally ignorant of stupid CCM moves,Hapa CCM ilifanya nini? Loan ya Covid!., hii hapa is just one of them, jiangalie kwanza
Tanzania: African Development Fund approves a Loan of $50.7m for Covid-19 crisis response budget support
19-Oct-2020
[https://www]
The Board of Directors of the African Development Fund (ADF) has approved a loan of UA 36 million ($50.7 million) to Tanzania, to finance the nation’s response to the COVID-19 pandemic.
The loan, from the African Development Bank Group’s COVID-19 Response Facility (CRF), will support the Government of Tanzania’s $109 million national COVID-19 response plan, which is jointly supported by the country’s other development partners...
The pandemic has put increased pressure on Tanzania’s health facilities, social protection systems and has dampened the country’s projected growth of over 6.2% – the average over the last five years, and which had made it the one of the best performers in Eastern Africa. Growth is now projected to decline from the pre-COVID projections of 6.4% to between 3.6% and 2.6%.
Commenting on the operation, Nnenna Nwabufo, the Acting Director-General of the Bank’s East Africa regional office, said it was part of a larger, more comprehensive support package for the Bank’s regional member countries, including Tanzania.
“The evolution of COVID-19 and changing containment measures remain dynamic and unpredictable; the medium and longer-term impacts of the crisis are yet to be fully understood. The African Development Bank Group is stepping up its coordination with governments, as well as with other development partners to adapt and strengthen its monitoring and response to the pandemic,” Nwabufo said.