Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Tahira kweli wewe hela watatoa wapi ya kwenye digital platform we kichaa au hujui pesa inaingia vipi .? Tena na korona hii no shows haya tuambie ushuzi wako pesa inapatikana vipi bila views na streams mwehu wewe.?Unajua suzzana imewaingizia shingapi we mzee wa views
Narudia tena, wimbo ukiwa na views nyingi haimaanishi km umeingiza hela nyingi



