komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Utaingia kumi na naneWalahi nakuambia simjui mke wa Uharo anafananaje.

We subiria, nime save comment yako
Mi pia mke wa meko simjui jina lake lkn kw picha namfahamu
Utaingia kumi na naneWalahi nakuambia simjui mke wa Uharo anafananaje.

Popular kw lipi, kupima mapapai ama?
Watanzania oneni Wakenya walipofikia kwa ssSijui.








Kwenye suala la umaarufu heb usije ukalinganisha diamond na mkenya yeyote yule kuwahi tokea tangu Kenya ilivyoumbwa. Punguani weweTwitter ndio kila kitu katika viongozi, punguza hasira lkn we najua kw akili zako umashuhuri ni kuwa followers wengi insta
Ikiwa domo tu anaiwakilisha tz poa lkn twitter milioni inamshinda kufikishaView attachment 1721969
Insta kw tz basi ujue ni umbea wala hakuna lingine..Kwenye twitter alikuwa na followers wengi kushinda rais yeyote Afrika nzima kabla ya yeye kutoroka. Hio ni fact yenye haipingiki. Wakenya wapo wengi sana kwenye twitter. Sijui ni kwa nini Wakenya wanapenda twitter. Watanzania mpo wengi instagram kwa sababu ya kutazama mapicha na mavideo. Twitter huwa inawashinda maana ni kiingereza kinachotumika sana kule. Na kiingereza huwa imewalemea sana.
We unawazimu nn, kuna mtandao unazidi twitter kwa umbea?Insta kw tz basi ujue ni umbea wala hakuna lingine..
Kisha amesahau km vitu vya kutoka twitter ndio hu trend sana hata kuliko insta na upuuzi mwngine wowote ule..
Bado watapinga, lkn yale mapapai yalimfanya ajulikane manake sio pumba zile..then wasisahau walenya ndio wali hype sana ndio mpka ile issue ikachanja mbuga
Si ndio nakuuliza, manake uhuru ndiye kiongozi aliyekua na followers wengi twitter afrika nzimaWatanzania oneni Wakenya walipofikia kwa ss![]()

Soma vizuri nilichokiandika, insta kw tz hutumika kiumbea zaidiWe unawazimu nn, kuna mtandao unazidi twitter kwa umbea?
Magu alianza ku trend mda mrefu kutokana na uchapa kazi wake, umesahau issue ya makinikia?Insta kw tz basi ujue ni umbea wala hakuna lingine..
Kisha amesahau km vitu vya kutoka twitter ndio hu trend sana hata kuliko insta na upuuzi mwngine wowote ule..
Bado watapinga, lkn yale mapapai yalimfanya ajulikane manake sio pumba zile..then wasisahau walenya ndio wali hype sana ndio mpka ile issue ikachanja mbuga
Na nyie mnatumia twitter kujenga nchi au sioSoma vizuri nilichokiandika, insta kw tz hutumika kiumbea zaidi








So Uharo na Magu nani mashuhuri zaidiSi ndio nakuuliza, manake uhuru ndiye kiongozi aliyekua na followers wengi twitter afrika nzima
Unafikiria twitter nkm insta







Sema kw suala la umbea na kiki hatuwezi mlinganisha na yyte yule kenya..Kwenye suala la umaarufu heb usije ukalinganisha diamond na mkenya yeyote yule kuwahi tokea tangu Kenya ilivyoumbwa. Punguani wewe
Zaidi ya mapapai wala hakuna kingine jomba, uhuru ali hit hata bila ya kikiMagu alianza ku trend mda mrefu kutokana na uchapa kazi wake, umesahau issue ya makinikia?
Hebu nieleze ni nani maarufu Kenya kumzidi Diamond!!Sema kw suala la umbea na kiki hatuwezi mlinganisha na yyte yule kenya..
Lkn eti umaarufu basi kuna wakenya maarufu hata kuliko huyo kikaango kenu domo...
Diamond ni levels za chini sana ukitoa kiki na umbea, we huoni jamaa antumia nguvu nyingi sana lkn bado hamna lolote..
Wasanii wakubw ni hawa hapaView attachment 1721999


Km insta ni umaarufu basi mbona viongizi mashuhuri hawaitumii kupost nayo vitu muhimu..View attachment 1721997
View attachment 1721998umaarufu haipimwi uko Twitter fala wewe,huyu ni mwana mziki na ni mwamba wa EA . 4.9m subscribers and 11.8 followers. Usirudie tena kumtaja dee kwenye ufala wako . Kwanza kwenye mitandao uko tunawazidi mbali sana
Tuendelee na wadhamini kidogo





Wacha matusi. Uharo ndio nani?So Uharo na Magu nani mashuhuri zaidi![]()
Umaarufu wa umbea na kiki hawezekani, mi kw sasa nitamfananisha na KRG the don kw sababu wanaendana tabiaHebu nieleze ni nani maarufu Kenya kumzidi Diamond!!![]()
Kwenye twitter hamtukaribii. Tuseme ukweli.View attachment 1721997
View attachment 1721998umaarufu haipimwi uko Twitter fala wewe,huyu ni mwana mziki na ni mwamba wa EA . 4.9m subscribers and 11.8 followers. Usirudie tena kumtaja dee kwenye ufala wako . Kwanza kwenye mitandao uko tunawazidi mbali sana