Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ghana ni uchumi serious sana. Imekuwa na economic growth rate of 7% kila mwaka since 2017 kwa sababu ya huyu rais mchapa kazi. Ifahamike kuwa Ghana ina Gdp kubwa kushinda Tanzania ilhali wana watu 30 million (half the population of Tanzania.) Gni per capita ya Ghana ni double ya Tanzania. Hio ina maana kwamba Mghana mmoja anapata kipato kwa mwaka mara dufu ya Mbongo mmoja.
Ghana hiihii yenye credit ratings kama zenu na inflation ya ajabu?
 
Huyu rais wa Ghana ndiye anaelewa umuhimu wa kuindustrialize by adding value to cocoa and producing chocolate. Anasema wazi kwamba Ghana inapanga kuwacha kuexport cocoa to Switzerland na itaanza kuproduce chocolate wenyewe. Yaani kama tungekuwa na marais wengi wa Afrika wanaoelewa umuhimu wa kufanya value addition to our raw materials kama huyu jamaa basi tungekuwa mbali. Lakini achunge asipigwe risasi na kuuwawa. Wazungu hawapendi viongozi wa Kiafrika wanaopigania maslahi ya wananchi wao. Akina Patrice Lumumba waliangamizwa na beberu kwa kuwakaripia


Wewe unahangaika na ghana wakat nchi yenu umekufa 😅👇👇👇

 
And that's where the difference is. Sisi tunakufa na tunatangaza na dunia inajua. Nyinyi mnakufa hadi ikuluni ila bado mnaamisha wananchi wenu na dunia kwamba hamna kirusi. Si unaona mlivyo wajinga?
FAITH MEANS
I am Rich though I still have nothing,
I am healed though I am still sick
I will not die though I am serious sick
I am forgiven my sins n.k
Asa we endelea kujitangaza umekufa
Pia kanuni ya Biashara when in promotion do not mention your competitor
 
Kuna nchi ambayo haijaathirika na corona kila nchi imeathirika na corona kiuchumi sasa leo nacheka kuskia kenya inaomba loan ya kudunga watu sindano alaf munasema nye nye nye munauchumi imara🤣🤣🤣🤣🤣 nyinyi tafuteni aliewaroga
Kwanza hio loan sijui ni ya nini maana covid vaccine tumepewa bure na WHO. Watuelezee sisi Wakenya hio ksh 5 billion ni ya kazi gani maana sielewi. Sina shida ikiwa itatumika kununua vaccine zaidi ili kuchanja watu. Watueleze kama wanapanga kununua vaccine zaidi kwa hio pesa. Lakini isiwe kwamba wameomba pesa kisha wakose kununua vaccine wazitie mfukoni. WHO tayari wanatoa vaccine bure sasa sijui wanaomba loan kwa nini? Kenya saa zingine huwa inaniudhi.
 
Ghana hiihii yenye credit ratings kama zenu na inflation ya ajabu?
Wamefika hapo kwa kuomba loans nyingi kama sisi. Debt to Gdp ratio yao ipo juu kama yetu. Yaani saa zingine hakuna haja ya kuringa kwamba mna Gdp kubwa ikiwa mna madeni mengi. High debt to Gdp ratio ndio imefanya credit rating ya Ghana kushuka. Hata this week credit rating ya Kenya ilishushwa na S&P kama sijakosea. Madhara ya kuwa na debt to Gdp ratio kubwa ni kwamba credit ratings zinashuka halafu banks na investors wanaanza kukataa kutoa mikopo na bonds kwa serikali.
 
Kwanza hio loan sijui ni ya nini maana covid vaccine tumepewa bure na WHO. Watuelezee sisi Wakenya hio ksh 5 billion ni ya kazi gani maana sielewi. Sina shida ikiwa itatumika kununua vaccine zaidi ili kuchanja watu. Watueleze kama wanapanga kununua vaccine zaidi kwa hio pesa. Lakini isiwe kwamba wameomba pesa kisha wakose kununua vaccine wazitie mfukoni. WHO tayari wanatoa vaccine bure sasa sijui wanaomba loan kwa nini? Kenya saa zingine huwa inaniudhi.
Sio mupewa bure mumenunua 10b ksh aliekwambia mumepewa bure nani?? 🤣🤣 nikuletee ushahidi
 
Sio mupewa bure mumenunua 10b ksh aliekwambia mumepewa bure nani?? 🤣🤣 nikuletee ushahidi

Hio habari nadhani inamaanisha kwamba Covax ya WHO ni bure. Ila sisi tumeagiza 12 million more vaccines at ksh 10 billion maana covax haitoshi. Ni vizuri hio pesa itatumika kununua extra vaccines.
 
The hate from kenyans towards JPM it's next level.... ivi huyu mzee kawafanyia nini haswa?🤣🤣🤣🤣
Hatumchuki ndio maana ako uku kenya anatibiwa..your country is trending because you have become a laughing stock to the world after your president declared that TZ is covid-19 free...this is what we call ignorance..mumetuaibisha kama wafrica
 
Back
Top Bottom