Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijui marelia ni ugonjwa gani ila there's something about providing data in the middle of a pandemic that you don't and won't know coz you come from Tanzania. Mngejua hilo, kirusi haingepenya hadi ikukuni na mtafute usaidizi kwetu sisi tunaotoa data na tulikuwa kwenye lokudown. They say karma is a biach!! [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo wewe unaumia kuona Tz haitangazi maambukizi, ss kinachokuuma ni nini, kwn huku Tz kuna babaako au mamaako au ndugu yako yeyote?
 
In the next century? I thought you've been saying here that you are at 95% now? So in the next 100 years you will be connecting just the remaining 5%? [emoji23] [emoji23]
Hahahahaaa umeumia eehh soma vz hyo tweet utaielewa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo wewe unaumia kuona Tz haitangazi maambukizi, ss kinachokuuma ni nini, kwn huku Tz kuna babaako au mamaako au ndugu yako yeyote?
They say truth hurts. I like how this has truth hurt you to the point you lose your cool like you've just done. Pole sana ndugu
 
They say truth hurts. I like how this has truth hurt you to the point you lose your cool like you've just done. Pole sana ndugu
Hahahahaaa niko cool at STP kabisa na ndiyo mana nakuporomoshea facts hapa.

Mm hakuna mkenya anaweza kunipandisha mzuka cz nyie ni weupe sn kichwani.
 
Afadhali sisi hatufichi chochote kuhusu huu ugunjwa wala hatudanganyi wananchi kuhusu uwepo wake. Ona sasa mlivyoumbuka baada ya kukana uwepo wa kirusi hadi mkulu mwenyewe anapumulia oxygen!
Sasa unataka tufiche nini ?? Kwamba magufuli yupo nairobi yani tudanganye kisa kukufurahisha wewe au?? Tafuta official source kua magufuli anaumwa ukipata tag me 😅😅😅😅
AE24B2F7-6747-468A-B742-2C6CC04DFF79.jpeg
 
Hahahahaaa niko cool at STP kabisa na ndiyo mana nakuporomoshea facts hapa.

Mm hakuna mkenya anaweza kunipandisha mzuka cz nyie ni weupe sn kichwani.
Ya baba na mama yanatokea wapi basi kama hujapandwa na hasira?
 
Toeni maoni yenu kuhusu hili

Yeye anamuulizia magufuli kama nani?? Manake tunajua urais alikosa na ni mpinzani wa magufuli sasa unategemea atasema mema au kumuombea mema magufuli wewe nae tony tumia hata akili ya kuzaliwa wewe una rafki yako yako wote munagombania demu mmoja unafkiri rafki yako akienda kwa yule demu atakuongelea vizuri si hata anaweza kukuzushia kua wewe una ukimwi
 
Sasa unataka tufiche nini ?? Kwamba magufuli yupo nairobi yani tudanganye kisa kukufurahisha wewe au?? Tafuta official source kua magufuli anaumwa ukipata tag me 😅😅😅😅View attachment 1722346
Sasa official source kwamba a sitting president anaumwa ndio unataka wakati hata habari kuhusu uwepo wa kirusi mlikalia kitako? Are you normal? This is a president, not any other Tom, Dick or Hurry. Such information are kept as secretive as possible and are mostly handled by the Intelligence. Narudia tena, palipo na moshi hapakosi moto
 
Sasa unataka tufiche nini ?? Kwamba magufuli yupo nairobi yani tudanganye kisa kukufurahisha wewe au?? Tafuta official source kua magufuli anaumwa ukipata tag me 😅😅😅😅View attachment 1722346
Nairobi hospital imesema kwamba Magufuli hayupo huko. Ila mbona Magufuli amekataa kujitokeza hadharani?
Halafu hawa BBC Africa nao wanapenda umbea sana.



1615405278403.png
 
Sasa official source kwamba a sitting president anaumwa ndio unataka wakati hata habari kuhusu uwepo wa kirusi mlikalia kitako? Are you normal? This is a president, not any other Tom, Dick or Hurry. Such information are kept as secretive as possible and are mostly handled by the Intelligence. Narudia tena, palipo na moshi hapakosi moto
Iko wapi source inasema magufuli anaumwa mm nataka kuiona kutoka kwako manake mulisema yupo nairobi mukaumbuka sasa hvi mumebakia kusema anaumwa sasa leta official source kua anaumwa yani mjadala uanzishwe na tundu lisu ambae ni mpinzani alaf musema ni official source ??? 😄😄😄 kweli magufulia anawaumiza kichwa mumeacha kufanya mambo ya msingi munalia na magufuli munaakili kweli
 
Nairobi hospital imesema kwamba Magufuli hayupo huko. Ila mbona Magufuli amekataa kujitokeza hadharani?
Halafu hawa BBC Africa nao wanapenda umbea sana.



View attachment 1722347
Ajitokeze hadharani ili iweje kwamba wewe na wakenya wenzio munampangia magufuli au rais nini cha kufanya mbona akiwa chato mapumzikoni miezi miwili hamuulizi yuko wapi na hua hasikiki acheni ujinga 😀😀😀
 
Nairobi hospital imesema kwamba Magufuli hayupo huko. Ila mbona Magufuli amekataa kujitokeza hadharani?
Halafu hawa BBC Africa nao wanapenda umbea sana.



View attachment 1722347
Hii habari imezungumziwa na vyombo vingi vya habari Kote duniani ila kwa hawa najirani zetu, vyombo vya habari za Kenya zinawaharibia jina na kueneza uongo! 😂
 
Back
Top Bottom