Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.

Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT 😹😹

Lanes bana! LANES.

Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA
Kwa hiyo unataka kuiweka kenya na japan katika lane moja??!!

Aaah nilisahau kuwa uchumi wa kenya ni mkubwa kuzidi uchumi wa japan..
 
Hahahaha ninyi si mnajilinganisha na Japan, haya Em nisomee hapa kwa sauti 😀😀

👇👇👇

Japan remained the world's largest creditor at the end of 2019, with the net balance of external assets held by its government, companies and individual investors hitting a record ¥364.53 trillion ($3.40 trillion), the Finance Ministry said Tuesday.
Wakenya wengi ni vilaza,huwezi kuamini kuna baadhi ya mungiki wana amini kwamba wao wana uchumi mkubwa kuliko japan,eti kisa shilling ya kenya kwenye exchange inaonekana kuwa na thamani kuliko japan yen....kwa hiyo mkuu usishangae kuwaona wakenya waking'ang'ania japan japan japan


Ni wajinga sana
 
Hakuna cha maana amefanya,all African presidents are now building good roads,railway and Airports,, so magufuli is not special, bado country iko ile number 10 in Africa,I will salute magufuli the the GDP itapita ya kenya
Ungejua hiyo GDP serikali ya tz haina hata mpango nayo...hatuna mda wa kufikiria vitu za kijinga sisi
 
Kenya haiwezi kumiliki F16 hata kama ni used ndani ya kipindi cha miaka 50, ninyi mnamiliki F5 tena za zamani sana, hakuna nchi yoyote inayotumia hizo ndege sasa hivi
Acha utani wewe upande wa anga hamtuwezi
20201021_155551.jpg
20201021_155611.jpg
 
Hahahaha ninyi si mnajilinganisha na Japan, haya Em nisomee hapa kwa sauti



Japan remained the world's largest creditor at the end of 2019, with the net balance of external assets held by its government, companies and individual investors hitting a record ¥364.53 trillion ($3.40 trillion), the Finance Ministry said Tuesday.
Kwhyo japani ni swa kudaiwa deni zaidi ya mara mbili ya uchumi wao sio
 
wewe ndio kicha na nchi yako...kila siku mko humu kujifanya kunya nyeeenyeee pimbi wewe ....maisha yenu ni zaidi ya omba omba mnajifany mko na uhuru wa kuongea wakati mpka viongozi wenu wanatandikwa hadharani ...mlifanya nini bada ya kuona? Kila leo corruption inaongewa fala ww umesha sikia hata mkajikusanya kuandamana zaidi ya kulialia huko tweeter kma mongus...mko giidipi kubwa yet mnasumbuliwa na mafanikio ya Tz km hata ungekuwa na akili ya kuvukia barabara ulitakiwa ujue ..so trust me when i say we are 100 time better compared to you pathetic pretendersView attachment 1606782
Uzi wa startups mliukimbia
Hatujasahau kwanza, tuletee startups za wabongo tulinganishe na zetu...
Hapo nishakukimbiza tayari na ukirudi lazima utaacha akili burigi uje kw ajili kunengua tu
 
Back
Top Bottom